Mzee wa Upekuzi
Member
- Apr 18, 2011
- 20
- 8
Wana JF wote ninayofuraha kubwa sana leo hii kuachana na u guests wa JF na kuwa member kamili. Ni matumaini yangu nitajifunza mengi na kutoa changamoto nyingi kwa yale ninayo ya fahamu.
Pia msisite kunijuza kwa yale nitayoingia chaka kutokana na uchanga wangu. Ni imani yangu tupo pamoja.
Pia msisite kunijuza kwa yale nitayoingia chaka kutokana na uchanga wangu. Ni imani yangu tupo pamoja.