Ngono ya wizi inanoga kuliko tendo la ndoa katika Ndoa halali.

da,
inakamata sana ngono ya wizi.
ni tamu ile mbaya na ina kilevi, ukionja hutaki acha.
Jamani na mimi ni muhanga wa ngono hizi, napenda mademu wa watu ile mbaya,
sijui nifanyeje ili nijinusuru na ulevi huu.??

Bujibuji,
Kwani hao mademu wa watu wana nini ambacho mkeo hana? Ukishapata jibu unaweza kuanzia hapo kutafuta tiba.
 
Inabidi watu wawe wanafikirii ukimwi kabla ya ngono ya wizi. Ukijenga haya mazoea ya kufikiri ukimwi hakika huwezi kuibia.

Suppose UKIMWI unakuwa contained medically, au natumia condom muda wote. unashauri nini sasa?! Tuendelee kuiba?
 
Suppose UKIMWI unakuwa contained medically, au natumia condom muda wote. unashauri nini sasa?! Tuendelee kuiba?
Condom haizuii virus vya ukimwi kupita ndugu. Solution ni kuacha zinaa, ridhika na mkeo au mumeo.
 
Condom haizuii virus vya ukimwi kupita ndugu. Solution ni kuacha zinaa, ridhika na mkeo au mumeo.

Si kweli. Sisi wengine tungesha ukwaa siku nyingi sana. Tunaziamini ndiyo maana tunazitumia kwa makini sana. Pia, watengenezaji wa mipira ya kuzuia ukimwi (I mean Condoms) si watu kama wa DINI. Wale ni scientists. Achana na confusion za kidini. Confusion za kidini Zinaua wengi sana hizo.
 
Si kweli. Sisi wengine tungesha ukwaa siku nyingi sana. Tunaziamini ndiyo maana tunazitumia kwa makini sana. Pia, watengenezaji wa mipira ya kuzuia ukimwi (I mean Condoms) si watu kama wa DINI. Wale ni scientists. Achana na confusion za kidini. Confusion za kidini Zinaua wengi sana hizo.

ingekuwa condoms zinazuia ukimwi nadhani maambukizo ya ukimwi yangepungua hapa duniani, haswa huko bongo. Lakini ndio kwanza yanaongezeka siku hadi siku na watu wanatumia hizo ndom. ivyo condoms haizuii virus vya ukimwi , ila najua inazuia Mimba. Kuwa mwangalifu kijana.
 
Hakuna mwanaume au mwanamke anayetaka partner ambaye mwanamke/mwanaume mwingine hamtaki, plus kama ni mke/mume wa mtu kunakuwa hakuna complications nyingi.
 
ingekuwa condoms zinazuia ukimwi nadhani maambukizo ya ukimwi yangepungua hapa duniani, haswa huko bongo. Lakini ndio kwanza yanaongezeka siku hadi siku na watu wanatumia hizo ndom. ivyo condoms haizuii virus vya ukimwi , ila najua inazuia Mimba. Kuwa mwangalifu kijana.





1. Dada (kaka??!), tatizo lako wewe ni kama watu wa dini!. Kuwa na condom ni moja na kuitumia ni suala lingine! Watu wanatembea nazo mfukoni hawazitumii hata. Wengi sana. Pia watu wengi sana tuna tabia ya kuanza mapenzi na mtu then round ya tatu au nne ya sex (siku) mnajifanya tayari mnajuana. Peku peku inaanza. Wengi sana wako kwenye hiyo list yako.

2. Watenda ngono wengi huwa wanafanya wakiwa "bwi". Sasa unapolewa chances ya kumfikria mwenzako kuwa hana UKIMWI ni kubwa sana. No surprise kuwa watu wanazidi kuambukizwa Ukimwi daily.

3. Kuna issue ya circumstance. Unakutana na binti, kaumbuka ile mbaya. Akivua tu, tayari unakuwa kwisha habari yako!. Mnaanza roms, next; kama hamko makini, hiyo ni mechi ya peku peku!. Imeshanikumba mara kadhaa in the past.

Plus many factors,,, you name them!. Lakini ukitumia condoms in the right manner, huwezi pata UKIMWI. Hata siku moja.
 
Last edited:
Hakuna mambo ya love and affection na sijui kwenda kwenye dates au kufanya mambo ambayo normal couple uwa wanafanya.
u mean there is no emotional attachment? I doubt if that is always the case.Soma tena signature ya Nyamayao!
 
u mean there is no emotional attachment? I doubt if that is always the case.Soma tena signature ya Nyamayao!

Why would you want to get emotionally attached to something you can not have?

In my case nimeshawahi kuwa na uhusiano na a married woman and from the get go we both knew kuwa hatomuacha mumewe, kwa hiyo hakukuwa na feelings or emotional attachments(on my side).

I modified this quote from a song...lol
"I'm not trying to give you love and affection, just few minutes of perfection. Now go back home and be a good wife don't forget to put your ring back on"
 
Why would you want to get emotionally attached to something you can not have?

In my case nimeshawahi kuwa na uhusiano na a married woman and from the get go we both knew kuwa hatomuacha mumewe, kwa hiyo hakukuwa na feelings or emotional attachments(on my side).

I modified this quote from a song...lol
"I'm not trying to give you love and affection, just few minutes of perfection. Now go back home and be a good wife don't forget to put your ring back on"

Ebana eeehh....kama hujaacha huo mchezo nakushauri uache mara moja. Creeping with someones wife can cost you big time....I understand the thrill...but dang....the dangers it poses far outweigh the thrill you get from it!!!
 
Ebana eeehh....kama hujaacha huo mchezo nakushauri uache mara moja. Creeping with someones wife can cost you big time....I understand the thrill...but dang....the dangers it poses far outweigh the thrill you get from it!!!
Wengine ndio wanamsaidia huyo mke adumu kwenye hiyo ndoa, otherwise, ataishia kabisa, mume atakosa, watoto watakosa na nyumba itavunjika, lipi bora?.
Heri nusu shari..
 
Na wanaotembea na wadogo wa wake zao wa dada wa wake zao nao ni kufuata utamu wa ngono ya kuiba?
 
Na wanaotembea na wadogo wa wake zao wa dada wa wake zao nao ni kufuata utamu wa ngono ya kuiba?

...mnh, huenda wanajaribu kuhakikisha 'watavyousikilizia' hapo ni sawa na kule? :)
 
Na wanaotembea na wadogo wa wake zao wa dada wa wake zao nao ni kufuata utamu wa ngono ya kuiba?

Hapo ni fimbo ya karibu. Sometimes hawa shemeji zetu huwa na mizengwe sana. Hasa kama your my wife anakuwa na kelele sana. Huwa wanataka kulipiza kisasi. By the time wanakuja ku realize its too late wameshachonga mzinga kabisa.
 
mi ndo mana nimemruhusu hubby aende akape raha nje ilimradi arudi home mapema maana watoto wanamhitaji. Nimeamua kumruhusu ili apate raha ya ujana nje at the same time aendelee ku-act kama head of family. Hata tusiposex kabisa kwangu haina shida madam najua anapata raha na ampendaye nje. TATIZO NI KWAMBA AMECHUKIA SIKU HIZI WHY SIMUULIZI YUPO WAPI NA WHY NAMRUHUSU ATOKE NA OTHER WOMEN. BASI MI SIELEWI, I THOUGHT ANGEFURAHI NIKIMPA RUHUSA.
 
You are so clever gal, usiruhu mtu uliyekutana ukubwani akiwa na meno yake 32 akunyime furaha, we only live once, let him have any k he wants, live to the maximun keep on living wanawake wengi wa kitz wanaexist hawaishi its a bitter truth
mi ndo mana nimemruhusu hubby aende akape raha nje ilimradi arudi home mapema maana watoto wanamhitaji. Nimeamua kumruhusu ili apate raha ya ujana nje at the same time aendelee ku-act kama head of family. Hata tusiposex kabisa kwangu haina shida madam najua anapata raha na ampendaye nje. TATIZO NI KWAMBA AMECHUKIA SIKU HIZI WHY SIMUULIZI YUPO WAPI NA WHY NAMRUHUSU ATOKE NA OTHER WOMEN. BASI MI SIELEWI, I THOUGHT ANGEFURAHI NIKIMPA RUHUSA.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom