Ngono ya wizi inanoga kuliko tendo la ndoa katika Ndoa halali.

. kaka kama hujawahi kujaribu nakushauri usianzie kwa mkeo. Tafuta mzoefu ili uweze kujua kama inakufaa au la kama haikufai ishia huko huko wala usimwambie wifi. Ukianza kwa wifi moja kwa moja hukawii kweli kuzabwa kofi likifuatiwa na kunyimwa wiki nzima.... unataka huko karibu na mlango wa kutokea mtoto! Mna matatizo nyie
Haya nakuelewa na nnakubaliana na wewe MJ1 ila mamsap alisomaga pale jangwani miaka hivyo wanalinda bikra ka nini, wengi walikuwa wanatoa tiGo kwa sana sa sijui naye alikuwa! lakini naanza vipi? Yaani namwambia express yourself ama? jamani nisaidieni.
Makonyagi brush unatumia ya aina gani?
 
.......... Ni kweli unavyosema Yo yo kuwa tunaonekana kama tunatetea zinaa ila kusema ukweli haya mambo yapo na yanafanyika pamoja na kuwa watu wanaelewa fika ndoa ni nini. Sidhani kama kuna ubaya kujadili na kujaribu kufahamu haya mambo kwani yanatugusa sana kutokana na shuhuda mbalimbali za watu. "Tukisema hatuna dhambi tunajidanganya wenyewe"

Wangekuwa wanaelewa, wangefanya kila linalowezekana kuleta furaha ndani ya ndoa. Yale wanayoyatafuta nje wangehakikisha yanaletwa ndani. Hakuna cha utamu wowote ni ukengeufu na kukosa mwelekeo. Watu wanaongelea kutafuta furaha beyond nature? huo ndio mpango wa ndoa? Watanzania kama kweli tunajipenda hebu tujiulize wapi tumeanguka ili tujirekebishe na kurudi kwenye mstari wa maisha. Otherwise sioni future yoyote ya Tanzania kwa mwenendo wa maisha wa namna hiyo.
 
Tuna tatizo sisi waafrika tunavyochukulia ndoa (heshima za kindoa), na tendo la ndoa kama ni mchezo. Sasa mchezo ni mchezo. Unaweza ukacheza tu kwa uwazi na mwanandoa wako- Jee ndoa itachosha hapo? Mbona wenzetu wazungu haichoshi?[/QUOTE]

Wazungu? Mbona nao wanaachana sana tena kuliko hata sisi tusio wazungu!
 
hivi wewe ndio yule makonyagi jirani yangu wa jambo chat au sio wewe kama ni wewe naomba uni pm tafadhali tuonane butcher -- mimi sishabikii mapenzi ya wizi najua adhari zake bora uwe na mpenzi mmoja mnaeaminiana na kufnya mambo yenu most of all amua tu kama mnapendana na mmekubaliana kuweni kitu kimoja katika ndoa iliyobarikiwa haya mengine yote ni ya kupita tu
 
Wangekuwa wanaelewa, wangefanya kila linalowezekana kuleta furaha ndani ya ndoa. Yale wanayoyatafuta nje wangehakikisha yanaletwa ndani. Hakuna cha utamu wowote ni ukengeufu na kukosa mwelekeo. Watu wanaongelea kutafuta furaha beyond nature? huo ndio mpango wa ndoa? Watanzania kama kweli tunajipenda hebu tujiulize wapi tumeanguka ili tujirekebishe na kurudi kwenye mstari wa maisha. Otherwise sioni future yoyote ya Tanzania kwa mwenendo wa maisha wa namna hiyo.

Asante Sana Andindile
Tungekuwa tunaishi kijiji chetu wenyewe tungeweza kufanikiwa,,fikiria
Wewe ulimpeleka mpenzi wako kwa wazazi wako lini? Siku hizi watoto wa miaka kumi,, eeh Dad and Mum this is my GF haooo wanaelekea chumbani,,, tunaangalia tu
Sisi tulidanganywa watoto wananunuliwa, cjui wanadondoshwa na ndege, cjui mama ana kitambi,,,,now days? Thubutu ka hawajakuumbua!
Hivi majuzi tu niko na rafiki zangu wazungu,,, najua kabisa mmoja ni mke wa mtu na wote tunajua anatwambia,,, eh uno this is my BF.
Namuuliza mama mzee namjua akija na lile gobole lake twafa! Anasema,,, infact he knows that I have boyfriend and am not going home today, am going to spend a nite with my BF! Ha,,,, tutafika? na believe me or not soon yataanza huku kwetu. Na tulivyo wepesi kuiga, ni chap chap kila mtu na bf/gf.
 
Asante Sana Andindile
Tungekuwa tunaishi kijiji chetu wenyewe tungeweza kufanikiwa,,fikiria
Wewe ulimpeleka mpenzi wako kwa wazazi wako lini? Siku hizi watoto wa miaka kumi,, eeh Dad and Mum this is my GF haooo wanaelekea chumbani,,, tunaangalia tu
Sisi tulidanganywa watoto wananunuliwa, cjui wanadondoshwa na ndege, cjui mama ana kitambi,,,,now days? Thubutu ka hawajakuumbua!
Hivi majuzi tu niko na rafiki zangu wazungu,,, najua kabisa mmoja ni mke wa mtu na wote tunajua anatwambia,,, eh uno this is my BF.
Namuuliza mama mzee namjua akija na lile gobole lake twafa! Anasema,,, infact he knows that I have boyfriend and am not going home today, am going to spend a nite with my BF! Ha,,,, tutafika? na believe me or not soon yataanza huku kwetu. Na tulivyo wepesi kuiga, ni chap chap kila mtu na bf/gf.
hiyo ndiyo inaitwa gulobalaizesheni ambapo Mzee wa Ntwara aliwahi kuwa mwenyekiti-mwenza (Sijui kama mume mwenza inaruhusiwa afrika)
 
Tuna tatizo sisi waafrika tunavyochukulia ndoa (heshima za kindoa), na tendo la ndoa kama ni mchezo. Sasa mchezo ni mchezo. Unaweza ukacheza tu kwa uwazi na mwanandoa wako- Jee ndoa itachosha hapo? Mbona wenzetu wazungu haichoshi?
Halafu aliyekiwekea ugojwa sehemu yenyewe naye kaharibu kila kitu kwani tungejimwaga tuu bila wasiwasi sasa inabidi tulambe aisikrim iliyo kwenye nailoni bila kuitoboa.Hata hivyo kwanini kwenye ndoa mmoja akitaka kuonyesha ufundi anaambiwa mhuni na mwenzake,hii haiwezikuwa moja ya sababu za kukosa ubunifu na hivyo kuchokana kwenye ndoa?
 
Tuna tatizo sisi waafrika tunavyochukulia ndoa (heshima za kindoa), na tendo la ndoa kama ni mchezo. Sasa mchezo ni mchezo. Unaweza ukacheza tu kwa uwazi na mwanandoa wako- Jee ndoa itachosha hapo? Mbona wenzetu wazungu haichoshi?
Halafu aliyekiwekea ugojwa sehemu yenyewe naye kaharibu kila kitu kwani tungejimwaga tuu bila wasiwasi sasa inabidi tulambe aisikrim iliyo kwenye nailoni bila kuitoboa.Hata hivyo kwanini kwenye ndoa mmoja akitaka kuonyesha ufundi anaambiwa mhuni na mwenzake,hii haiwezikuwa moja ya sababu za kukosa ubunifu na hivyo kuchokana kwenye ndoa?
 
Andindile hayo mambo yapo huku juzi nilikuwa kwenye pasaka nyumbani mdogo wangu mmoja alipopata soda kaenda kwa jirani kumpa rafiki yake wanasom wote kuuliza kwa ukali akasema ni bf wake huyo ( kama it might be you ) aliangalia tamdhilia ndio akachota mambo yle kule akayaingiza katika maisha yake ya kawaida -- sasa waazazi wengi wanaafikiri yule bado mdogo kwahiyo hawamtilii mkazo na kumfuatilia sana sasa wakishtuka too late
 
Wangekuwa wanaelewa, wangefanya kila linalowezekana kuleta furaha ndani ya ndoa. Yale wanayoyatafuta nje wangehakikisha yanaletwa ndani. Hakuna cha utamu wowote ni ukengeufu na kukosa mwelekeo. Watu wanaongelea kutafuta furaha beyond nature? huo ndio mpango wa ndoa? Watanzania kama kweli tunajipenda hebu tujiulize wapi tumeanguka ili tujirekebishe na kurudi kwenye mstari wa maisha. Otherwise sioni future yoyote ya Tanzania kwa mwenendo wa maisha wa namna hiyo.

Asa kujiuliza huko unaulizaje Andindile kama si huku tunakofanya hapa? tunajaribu kujiuliza why mtu anatoka nje ya ndoa lengo si kujua tu why but kwa wale wenye ndoa itawasaidia kujua nini hc akufanya na kwa wale wanaofikiria kuingia itawasaidia pia unless niko nje ya mstari ndugu yangu.
 
Andindile hayo mambo yapo huku juzi nilikuwa kwenye pasaka nyumbani mdogo wangu mmoja alipopata soda kaenda kwa jirani kumpa rafiki yake wanasom wote kuuliza kwa ukali akasema ni bf wake huyo ( kama it might be you ) aliangalia tamdhilia ndio akachota mambo yle kule akayaingiza katika maisha yake ya kawaida -- sasa waazazi wengi wanaafikiri yule bado mdogo kwahiyo hawamtilii mkazo na kumfuatilia sana sasa wakishtuka too late

... Mie nilichoka siku moja mwanangu wa kufikia mwenye umri wa miaka saba aliponiambia 'Mom mimi nikifikisha fifteen lazima niwe na BF' nilichoka nikamwambia nani kakufundisha akasema mbona Bibi (Beatrice wa tamthilia ya My three sisters) anaye BF.

So ni kweli kabisa tusijifanye tunaishi katika kiota ambapo maadili yako au yanatakiwa kuwa intact. Lazima tujue ukweli wa yanayotokea, why yanatokea so that we know what should be done kuzuia furtehr mmomonyoko wa haya maadili yetu.
 
... Mie nilichoka siku moja mwanangu wa kufikia mwenye umri wa miaka saba aliponiambia 'Mom mimi nikifikisha fifteen lazima niwe na BF' nilichoka nikamwambia nani kakufundisha akasema mbona Bibi (Beatrice wa tamthilia ya My three sisters) anaye BF.

So ni kweli kabisa tusijifanye tunaishi katika kiota ambapo maadili yako au yanatakiwa kuwa intact. Lazima tujue ukweli wa yanayotokea, why yanatokea so that we know what should be done kuzuia furtehr mmomonyoko wa haya maadili yetu.

TV hizi jamani zinalemaza sana watoto kunavipindi usiwaruhusu waangalie kuwe na limit flani utakuta watu wananyonyana ndimi mtoto na baba wote wana angali unamfundisha nini huyo mtoto?
Kama kuna kitu anajifunza basi hata wewe unavo jivinjali na mwenzio muwe mnakula ndimi hadharani mbele ya watoto wenu wajifunze kama ni sahihi.
 
TV hizi jamani zinalemaza sana watoto kunavipindi usiwaruhusu waangalie kuwe na limit flani utakuta watu wananyonyana ndimi mtoto na baba wote wana angali unamfundisha nini huyo mtoto?
Kama kuna kitu anajifunza basi hata wewe unavo jivinjali na mwenzio muwe mnakula ndimi hadharani mbele ya watoto wenu wajifunze kama ni sahihi.

Ni kweli kabisa Fidel inabidi tujifunze kuwadhibiti ingawa muda mwingine ni ngumu hasa sie wenye kazi za kusafiri safiri. Yaani kila ukirudi nakuta msamiati mpya. Mambo yote ya kina Fataki Mzee wa ATM kanifungua masikio yeye. Cha ajabu sasa mie kwangu sina TV. Yaani nachoka kabisa.
 
WoS usikasirike ni kweli vitu vya wizi ni vitamu! waulize wale wa EPA hela zilivyokwa tamu. Na kumbuka kuwa penye Tamu na Chungu pia huwepo. Mtu anapoiba Penzi iko siku atakamatwa tu na hapo ndo chungu hutokea!
Sikufichi hapa nifanyapo kazi mara nyingi hutoka usiku sana. Kuna jamaa yangu kila wakati lazima umkute na PS wake wamo dimbani tena ofisini. Nikimuuliza jamaa akanambia we acha tu mazee hii kitu ni tamu si mchezo! Kwenye sofa ya ofisi kama si mezani. Haka ka mchezo kakanikumba na demu wa idara moja na mimi,,,,, nakwambia hivi siachi hata unambie nini,,,, ila mamsap anakaribia kugundua hapo cjui tena,,,,ila ni tamu!

Si ajabu naye mamsap anasema kuwa mzee anakaribia kujua. Ikitokea nadhani ngoma itakuwa droo. Usiwe na hofu, njoo tumu jamvini tutakupatia ushauri wa bure!!
 
tatizo hiki ni kizazi kipya tuko kiuzungu sana, kama mnabisha sasa hivi utasikia tz nako ndoa za mikataba zitaanza fungwa, nakumbuka mzee wangu mmoja aliniambia zamani walikua na mtindo wa kumfanya upya mke yaani unamsafirisha mke kwenda sehemu nyingine kisha akirejea home mzee lazima uwe unamtamani walikua wanafanya hivi kwa vipindi maalum, kingine ni mwanaume/mwanamke kufanya mambo bila mpaka,kisa mtu ameoa/kuolewa anajua kazi ishakwisha,bila kufahamu ndoa inahitaji juhudi kuifanya iwe hai, watu hawajitahidi kuwa na mvuto kwa mwenzie,mambo yanakwenda kwa mazoea na simnafahamu kitu cha mazoea hakina changamoto(na binadamu tunavyopenda changamoto) ndo hapo kitu cha kuiba kinakua kitamu
 
Jamani siamini macho yangu ninaposoma hii thread. ngoja nikamtafute kelly aje aone hii. anajifanya mgumu sana kumbe mambo yenyewe laini namna hii....lol
je kuna bibie anataka kujaribu?? anifate maabara
 
Penzi la wizi ni kweli ni tamu kwa kutumia formular ya 'The forbiden fruit is the sweetes'. Hii ndio kauli ya shetani kwa Eva wakati wa kumshauri aonje tunda.

Kama Mungu asingewakataza Adam na Eva kula 'tunda', wasingejua kuna tunda na mpaka leo wangekuwepo bustanini. Kitendo cha kukatazwa kikajenga curiosity, shetani alipomjaribia Eva, akaona utamu, na kumlazimisha adamu.

Asali kwenye penzi la wizi, imelalia kwenye spontenios, lazima mfanye kwa kujificha tena fasta huku mmeconceal na every time lazima mpretend there is nothing. Penzi hilo la wizi, litaendelea kunoga tuu as long as ni siri. Mambo yakiwa hadharani, utamu unakwisha.

Hata wew na mkeo, siko moja moja fanya surprise spontenous kwa kumvamia bafuni, au kama wototo wamelala, sebuleni kwenye kochi, mezani au hata sakafuni. Lazima wote mjifanye mna haraka msije mkafumwa.

Nikiwa Jeshini Makotupora, nilishajaribu Mitunduruni, Mizabibuni na kwenye lindo. Tulipopata nafasi ya kujinafasi rasmi, game haikuwa kali kama zile za mitunduruni. Ndio maana kiboko ya wachagga ni migombani au mikahawani, kwenye 6x6 ni gogo anakusomea gazeti!.

Nikiwa college nilisha cheza kila kona, kwenye ngazi, washroom, kwenye room ya mshikaji na demu wake, laboratory, darasani, kwenye gari, beach, kwenye fance mpaka kwenye open space pale viwanja vya gymkana -kumbe kuna patrol pale!. . By then it was fun.

Najaribu maramoja moja kumshtukiza wife anagoma, anaona hilo sasa ni tendo la heshima mpaka 6x6. Ndio maana wanaume wengi sio kwamba tuu wahuni, bali tunatoka nje in search of spark from spontenious. Hata neno kubadili mboga its the same search.
 
Penzi la wizi ni kweli ni tamu kwa kutumia formular ya 'The forbiden fruit is the sweetes'. Hii ndio kauli ya shetani kwa Eva wakati wa kumshauri aonje tunda.

Kama Mungu asingewakataza Adam na Eva kula 'tunda', wasingejua kuna tunda na mpaka leo wangekuwepo bustanini. Kitendo cha kukatazwa kikajenga curiosity, shetani alipomjaribia Eva, akaona utamu, na kumlazimisha adamu.

Asali kwenye penzi la wizi, imelalia kwenye spontenios, lazima mfanye kwa kujificha tena fasta huku mmeconceal na every time lazima mpretend there is nothing. Penzi hilo la wizi, litaendelea kunoga tuu as long as ni siri. Mambo yakiwa hadharani, utamu unakwisha.

Hata wew na mkeo, siko moja moja fanya surprise spontenous kwa kumvamia bafuni, au kama wototo wamelala, sebuleni kwenye kochi, mezani au hata sakafuni. Lazima wote mjifanye mna haraka msije mkafumwa.

Nikiwa Jeshini Makotupora, nilishajaribu Mitunduruni, Mizabibuni na kwenye lindo. Tulipopata nafasi ya kujinafasi rasmi, game haikuwa kali kama zile za mitunduruni. Ndio maana kiboko ya wachagga ni migombani au mikahawani, kwenye 6x6 ni gogo anakusomea gazeti!.

Nikiwa college nilisha cheza kila kona, kwenye ngazi, washroom, kwenye room ya mshikaji na demu wake, laboratory, darasani, kwenye gari, beach, kwenye fance mpaka kwenye open space pale viwanja vya gymkana -kumbe kuna patrol pale!. . By then it was fun.

Najaribu maramoja moja kumshtukiza wife anagoma, anaona hilo sasa ni tendo la heshima mpaka 6x6. Ndio maana wanaume wengi sio kwamba tuu wahuni, bali tunatoka nje in search of spark from spontenious. Hata neno kubadili mboga its the same search.

kula tano mkuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom