Ngono ya wizi inanoga kuliko tendo la ndoa katika Ndoa halali.

Nahisi mwanaume ana tendency ya kukariri ule mziki anaopigiwa kila wakipandisha milima na mamaa.Akifikiria kuna mtu mwingine huwa anapigiwa huo mziki lazima atachanganyikiwa. Halafu hivi vi michezo vya siku hizi vya Tigo ndo kabisaa.mtu hawezi ota bwana kwanini mkewe anatoka nje. Labda ni sababu ya kwenda kugawa Tigo mana ndani ya ndoa inataka roho ngumu kuomba au kugawa Tigo.
Ila ninachokiona ni kuwa ndoa nyingi za leo ni ndoa jina tu.Hatuthamini tena values za ndoa wajameni

Zinaitwa BORA NDOA na sio NDOA BORA!
 
INOGE WAP! UMERO TU UMEWAJAA,JAMANI NI HATARI,HIVI HAMUONI KUWA WAKATI WA TENDO HILO LA WIZI UNAKUA HAUNA RAHA BALI UNAKUWA NA WASIWASI.je ukipewa tunda tamu lakini ukaambiwa ni lawizi na mwenyewe aweza kutokea wakati wowote utalila kwa raha? acheni utani jamani nunueni matundayenu halali.
 
INOGE WAP! UMERO TU UMEWAJAA,JAMANI NI HATARI,HIVI HAMUONI KUWA WAKATI WA TENDO HILO LA WIZI UNAKUA HAUNA RAHA BALI UNAKUWA NA WASIWASI.je ukipewa tunda tamu lakini ukaambiwa ni lawizi na mwenyewe aweza kutokea wakati wowote utalila kwa raha? acheni utani jamani nunueni matundayenu halali.

...Mkuu utalibugia fasta utamu utausikilizia magegoni baada ya kulimeza, likikukwama potelea pote
 
... Mie nilichoka siku moja mwanangu wa kufikia mwenye umri wa miaka saba aliponiambia 'Mom mimi nikifikisha fifteen lazima niwe na BF' nilichoka nikamwambia nani kakufundisha akasema mbona Bibi (Beatrice wa tamthilia ya My three sisters) anaye BF.

So ni kweli kabisa tusijifanye tunaishi katika kiota ambapo maadili yako au yanatakiwa kuwa intact. Lazima tujue ukweli wa yanayotokea, why yanatokea so that we know what should be done kuzuia furtehr mmomonyoko wa haya maadili yetu.

...huenda na tafsiri tofauti ya u boy/girlfriend; hakuna ubaya teenager kuwa na boyfriend/girlfriend, la msingi wewe mzazi kuwa muwazi na mkweli katika kuwaeleza athari za kuvuka mipaka ya urafiki kuingia kwenye mapenzi.
 
Asa kujiuliza huko unaulizaje Andindile kama si huku tunakofanya hapa? tunajaribu kujiuliza why mtu anatoka nje ya ndoa lengo si kujua tu why but kwa wale wenye ndoa itawasaidia kujua nini hc akufanya na kwa wale wanaofikiria kuingia itawasaidia pia unless niko nje ya mstari ndugu yangu.

Ndugu yangu dhumuni la kuoa ni nini? Tutakapofanukiwa kujibu hili swali ndipo tuje kujibu wajibu wa kila mwanandoa katika kufanikisha uhai wa ndoa hiyo
 
Hichi ndio chanzo cha ukimwi kwenye ndoa , japo ngono ya nje inanoga lkn kumbukeni maambukizo ya ukimwi kwa sasa huko bongo wanandoa ndio wanaoongoza kwa kuathirika. Please tuwe makini na kama uliamua kuingia kwenye ndoa kwa hiyari yako ya nn kutoka nje? Hebu rekebisha hizo tofauti au vionjo unavyofata nje, mwambie mwenzako akufanyie.
 
Hichi ndio chanzo cha ukimwi kwenye ndoa , japo ngono ya nje inanoga lkn kumbukeni maambukizo ya ukimwi kwa sasa huko bongo wanandoa ndio wanaoongoza kwa kuathirika. Please tuwe makini na kama uliamua kuingia kwenye ndoa kwa hiyari yako ya nn kutoka nje? Hebu rekebisha hizo tofauti au vionjo unavyofata nje, mwambie mwenzako akufanyie.

Pretty, theoretically and hypothetically 100% yes, but practically unattainable!!.

Kama watu wangekuwa wanafikiria Ukimwi kabla ya kuanza ngono za wizi, hamu ingewaisha na biashara kuishia hapo. Mfano, kama ukimkumbuka mshikaji wako aliyekufa baada ya kupandisha kenchi na kujiharishia kama vile kafungua bomba la maji taka; hakika huwezi kuiba ngono. Bahati mbaya mawazo hayo hayawezi kuruhusiwa kuingia kwenye vichwa vya wazinifu hadi wamemaliza au wanapotakiwa kupima VVU. Ni chaguo letu, kuendelea kusota na ngono ya nyumbani isiyo na manjonjo au kupata raha na kupotea duniani baada ya muda mfupi. Inapofikia kuamua suala hiyo, naona tunakuwa na akili fupi kama ya kuku. Tutakwisha wote labda utokee muujiza!
 
Tena siku zote ngono ya wizi huwa hawatumii condom ni kavu kavu ili wamalize haraka tendo lao. sasa nichekie wakiwa kwenye foleni kwenda kupima anakumbukia wangapi aliuza nao mechi
be careful ni tamu lakini ........
 
Inabidi watu wawe wanafikirii ukimwi kabla ya ngono ya wizi. Ukijenga haya mazoea ya kufikiri ukimwi hakika huwezi kuibia.
 
Kumbe kama mnaona inanoga na kuifagilia kwa saaaaana, iweje humu ndani watu wanalialia wamemegewa na wanahasira kuliko - kiasi cha kupandisha munkari na kuwaacha wake/wapenzi wao?
Kwani huo wizi mnaufanya na nani?
Kwanini wanaofurahia wasione ni kawaida tu kwenye maisha na kuwa its not abig deal!?WATU WANAKASIRIKA NINI SASA?

Wao wanata wale vya wenzao tu, vya kwao vikiliwa basi hapakaliki...Si unajua mkuki kwa nguruwe.....
 
Nahisi mwanaume ana tendency ya kukariri ule mziki anaopigiwa kila wakipandisha milima na mamaa.Akifikiria kuna mtu mwingine huwa anapigiwa huo mziki lazima atachanganyikiwa. Halafu hivi vi michezo vya siku hizi vya Tigo ndo kabisaa.mtu hawezi ota bwana kwanini mkewe anatoka nje. Labda ni sababu ya kwenda kugawa Tigo mana ndani ya ndoa inataka roho ngumu kuomba au kugawa Tigo.Ila ninachokiona ni kuwa ndoa nyingi za leo ni ndoa jina tu.Hatuthamini tena values za ndoa wajameni

Dunia ya leo imebadilika, ziko njemba zinaomba TIGO ndani ya ndoa na kupewa, na baadhi ya wake wanasema kwanini wamnyime TIGO Mzee wakati wanajua anapenda. Kama anataka kuhangaika huko nje afanye tu kwa umalaya wake lakini siyo kwa kisingizio cha kunyimwa TIGO nyumbani ;) Mambo ya mwaka 47 na 2009 ni tofauti kabisa!!!
 
tatizo la wanandoa ni kila m2 kujifanya yupo serious, wanandoa wengi wanakuwa na uwoga wa kujaribu style tofauti kwa sababu utaulizwa na mwenzio umejifunzia wapi hii, kwa hiyo utakuta mwanandoa labda anapenda aina fulani ya sex lakini kwa sababu hana uwezo wa kuexpress kwa mwenzie anamua kwenda nje kupractise
kitu kingine nachokiona ni kwamba baada ya watu kuoana wanajinasibisha kwamba sasa wao ni wazee kwa hiyo utakuta mama anajiachia na kuanza kuwa rafu tofauti na wakati wa uchumba tena akiwa na watoto ni balaa zaidi, kwa hiyo utakuta mwanaume akiona kitu kiko smart anakifukuzia na kuanza kumega nje
 
tatizo la wanandoa ni kila m2 kujifanya yupo serious, wanandoa wengi wanakuwa na uwoga wa kujaribu style tofauti kwa sababu utaulizwa na mwenzio umejifunzia wapi hii, kwa hiyo utakuta mwanandoa labda anapenda aina fulani ya sex lakini kwa sababu hana uwezo wa kuexpress kwa mwenzie anamua kwenda nje kupractise
kitu kingine nachokiona ni kwamba baada ya watu kuoana wanajinasibisha kwamba sasa wao ni wazee kwa hiyo utakuta mama anajiachia na kuanza kuwa rafu tofauti na wakati wa uchumba tena akiwa na watoto ni balaa zaidi, kwa hiyo utakuta mwanaume akiona kitu kiko smart anakifukuzia na kuanza kumega nje
Hizo ndoa ni ndoa za zamani ndio zilikuwa na uoga wa kumwambia mwenzio akufanyie nini ili uridhike, lkn ndoa za siku hizi ni uwazi na ukweli. NI kuwa wazi kumwambia mwenzio nishike hapa au nyonya huku, au style hii ndio inanifanya nifike kunako.Ya nini kuoneana aibu na wakati mwili mmoja? sema kitu roho inataka, kuliko kwenda nje.
 
Hizo ndoa ni ndoa za zamani ndio zilikuwa na uoga wa kumwambia mwenzio akufanyie nini ili uridhike, lkn ndoa za siku hizi ni uwazi na ukweli. NI kuwa wazi kumwambia mwenzio nishike hapa au nyonya huku, au style hii ndio inanifanya nifike kunako.Ya nini kuoneana aibu na wakati mwili mmoja? sema kitu roho inataka, kuliko kwenda nje.

...dah, Pretty inaonekana mhudhuriaji mzuri 'kitchen parties' :)
 
Kwa nyakati za sasa uzinifu si kitu cha ajabu tena.Wahusika wanadai kufaidi uasherati kuliko tendo la ndoa.Kumekuwepo kuchokana kwa wawili walio katika ndoa na kufanya mmojawapo ajaribu kutafuta kuridhishwa nje ya ndoa.Jamii yahitaji kuelimishwa juu ya kuridhishana katika ndoa kwani itafikia mahali ndoa itakuwa ni ya jina tuu.Kinachoshangaza ni kuwa wahusika hubadilika baada ya kufunga ndoa au baada ya makubaliano ya kuoana.Nakaribisha elimu juu ya hili.

Jibu lake ni simple tu. Economic law of supply and demand. Bidhaa ikiwa adimu bei inakuwa kubwa na bidhaa ikiwa bwelele bei inashuka. The same applies even in love relationship. Kwa sababu mwenzi kwenye ndoa yupo siku zote ahaaa bei inashuka. Si utani hii ni kweli.
 
Kumbe kama mnaona inanoga na kuifagilia kwa saaaaana, iweje humu ndani watu wanalialia wamemegewa na wanahasira kuliko - kiasi cha kupandisha munkari na kuwaacha wake/wapenzi wao?
Kwani huo wizi mnaufanya na nani?
Kwanini wanaofurahia wasione ni kawaida tu kwenye maisha na kuwa its not abig deal!?WATU WANAKASIRIKA NINI SASA?

...WoS hujawahi sikia ule msemo, 'mkuki kwa nguruwe,...!' ???
 
da,
inakamata sana ngono ya wizi.
ni tamu ile mbaya na ina kilevi, ukionja hutaki acha.
Jamani na mimi ni muhanga wa ngono hizi, napenda mademu wa watu ile mbaya,
sijui nifanyeje ili nijinusuru na ulevi huu.??
 
da,
inakamata sana ngono ya wizi.
ni tamu ile mbaya na ina kilevi, ukionja hutaki acha.
Jamani na mimi ni muhanga wa ngono hizi, napenda mademu wa watu ile mbaya,
sijui nifanyeje ili nijinusuru na ulevi huu.??

...Simpo mkuu.
Tafuta dem bomba aliyeolewa kisha ongea na mumewe akukukuwadie mkewe. Naamini baada ya kutoka hospitali utakuwa umeacha mara moja hiyo ishu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom