ngoshwe
JF-Expert Member
- Mar 31, 2009
- 4,131
- 931
Takwimu zinaonyesha kuwa kuna Idara fulani za Serikali maambukizi ya Ukimwwi yapo juu sana, labda inatokana na kuona suala la ku-ngonoka ni jambo la kawaida sana.
Idara hizi ni pamoja na Mambo ya Ndani (hususan Polisi), Elimu (waalimu) na Ulinzi (Jeshini)...kuna jamaa yangu ananieleza kuwa kwa baadhi ya sehemu, mapolisi wa kike kutoa ofa ya ngono kwa maafande wao pengine sio jambo la ajabu ni sehemu tu ya maisha ili kuweza kupewa favour fulani ikiwemo kupandishwa cheo, kupandiwa kituo kizuri cha kazi nk..sina hakika kichoche kikubwa cha hili, Je, ni uelewa mdogo wa wahusika, mazingira ya kazi au?? na kwa nini katika Idara nyingine msukumo wa ngono upo finyu...??
Sina hakika, inadaiwa oia ukiacha maofisini, hata kwenye makazi ya makamanda (Quarters) dhana ya "Ngono shirikishi" miongoni mwa wanafamilia za makamanda wanaoishi Kotazi linazidi kushamili kila kukicha....na hili linapelekea familia nyingi kupotea.
Idara hizi ni pamoja na Mambo ya Ndani (hususan Polisi), Elimu (waalimu) na Ulinzi (Jeshini)...kuna jamaa yangu ananieleza kuwa kwa baadhi ya sehemu, mapolisi wa kike kutoa ofa ya ngono kwa maafande wao pengine sio jambo la ajabu ni sehemu tu ya maisha ili kuweza kupewa favour fulani ikiwemo kupandishwa cheo, kupandiwa kituo kizuri cha kazi nk..sina hakika kichoche kikubwa cha hili, Je, ni uelewa mdogo wa wahusika, mazingira ya kazi au?? na kwa nini katika Idara nyingine msukumo wa ngono upo finyu...??
Sina hakika, inadaiwa oia ukiacha maofisini, hata kwenye makazi ya makamanda (Quarters) dhana ya "Ngono shirikishi" miongoni mwa wanafamilia za makamanda wanaoishi Kotazi linazidi kushamili kila kukicha....na hili linapelekea familia nyingi kupotea.