Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 30,804
- 59,284
Kwahiyo kama huna kazi, huna mpenzi, hustahili vyote!
Nini kitanifanya nistahili?
Kwahiyo kama huna kazi, huna mpenzi, hustahili vyote!
Kweli vyote ni muhimu lakini usifanye mzaha na kupigika, umewahi kuumwa na njaa wewe? Hapo ndio utaujua umuhimu wa pesa.
Kuhusu ngono ni sera zako tu. Hata ukipigika unaweza kuongea vizuri na dada Lizzy akakupa hisani au smile akakupa mkopo.
Nini kitanifanya nistahili?
Sitochagua chochote kwasababu sipendi vitu vya kupewa pewa.Kwa mujibu wako, kuwa na kazi na mpenzi. Sasa kama huna kazi ambayo itakupa pesa unayostahili na huna mpenzi wa kukupa 'tunda'. Pale unapopewa offer na mtu, uchague kimojawapo, utachagua kipi?
Sitochagua chochote kwasababu sipendi vitu vya kupewa pewa.
what i know bin-Adam wa kwanza alitabasamu kwa mara ya kwanza alipomwona Eva.....kumbuka hawakuwa na "pamba" vle vle hii kitu ni asili tofauti na mpunga.......! ndugu ukiambiwa ushuke upewe hela utashuka?Ni kipi muhimu zaidi ya kingine. Ngono/tendo la ndoa au Pesa/mshiko/faranga???
ndugu ukiambiwa ushuke upewe hela utashuka?
Kwako lizzy anytime, ukijisikia unataka huduma ni PMNadhani wewe utafaa zaidi kutoa hiyo HISANI.Kweli vyote ni muhimu lakini usifanye mzaha na kupigika, umewahi kuumwa na njaa wewe? Hapo ndio utaujua umuhimu wa pesa.
Kuhusu ngono ni sera zako tu. Hata ukipigika unaweza kuongea vizuri na dada Lizzy akakupa hisani au smile akakupa mkopo.
Kama unauwezo wa kuhudumia tumbo chagua ngonoKweli vyote ni muhimu lakini usifanye mzaha na kupigika, umewahi kuumwa na njaa wewe? Hapo ndio utaujua umuhimu wa pesa.
Kuhusu ngono ni sera zako tu. Hata ukipigika unaweza kuongea vizuri na dada Lizzy akakupa hisani au smile akakupa mkopo.
Mkuu umenifurahisha hapo kwenye HISANI :lol:
Lakini kwa mimi mkulima nipo huku kijijini, chakula natoa shambani kwangu.
nyinyi mnaongea nini hapa, mbona mwantia kizunguzungu mie!
Kwako lizzy anytime, ukijisikia unataka huduma ni PM
lizzy kwa majibu!!
They go together ka Ugali na mboga...
lizzy kwa majibu!!
Mpe huyo anaehitaji, mimi sihitaji charity.
:lol: mpaka nimesurrender