MwafrikaHalisi
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 1,741
- 511
Ni kipi muhimu zaidi ya kingine. Ngono/tendo la ndoa au Pesa/mshiko/faranga???
Hamna!!
Sasa zile zawadi unazozipenda wewe zipo kundi gani?
bila n.g.o hiyo akili ya kutafuta pesa itoke wapi?
vyote mhimu
Mi sipendi zawadi, bali napenda kuona anaestahili anapewa.
Kama unastahili kimojawapo juu hapo which one woul you go for?
Sex nnayostahili ni ile inayotoka kwa mpenzi wangu (nayo sio zawadi kwasababu kila mmoja
anapata).
Vyote muhimu kutegemea na mtu, wakati, na muktadha.
Mi sijaelewa swali vizuri... ngono au pesa katika mazingira yapi? maana kwanza hivyo vitu siku hizi naona watu wanavipeleka pamoja pamoja...
Kweli vyote ni muhimu lakini usifanye mzaha na kupigika, umewahi kuumwa na njaa wewe? Hapo ndio utaujua umuhimu wa pesa.Vyote muhimu kutegemea na mtu, wakati, na muktadha.
Nimejikuta nikiwazia iwapo utajikuta katika mazingira ambayo unapaswa kuchagua kimojawapo tu ni kipi ungependelea? Na kipi unaweza kuishi bila kukipata?
Hmmm...
Nadhani wewe utafaa zaidi kutoa hiyo HISANI.Kweli vyote ni muhimu lakini usifanye mzaha na kupigika, umewahi kuumwa na njaa wewe? Hapo ndio utaujua umuhimu wa pesa.
Kuhusu ngono ni sera zako tu. Hata ukipigika unaweza kuongea vizuri na dada Lizzy akakupa hisani au smile akakupa mkopo.
Nistahili kutoka kwa nani?
Pesa nnayostahili ni ile nnayofanyia kazi (siwezi kuiita zawadi). Sex nnayostahili ni ile inayotoka kwa mpenzi wangu (nayo sio zawadi kwasababu kila mmoja
anapata). Kuna kitu ambacho ni muhimu zaidi, bila chenyewe sio pesa wala sex itakayokua na umuhimu kwako.