Kyalow
JF-Expert Member
- Mar 6, 2011
- 3,548
- 2,571
Kama mtoto wa chekechea vile. . .
no...mtoto wa chekechea majibu yake hayawezi kusimama hivyo...yani hujawahi kushindwa hoja wewe
Kama mtoto wa chekechea vile. . .
Ambae ni .....??
mi huwa nasoma comment zake nacheka mwenyewe...sijuhi lizzy ni mwanasheria!!
Mh! Swali gumu. Mkuu usitutege bana.
Vote mhm, bila kimojawapa waweza ukapoteza maisha
ngono 4life
Yule aliyechekelea HISANI!!
Yule aliyechekelea HISANI na aliyepropose HISANI wote ni ME, itakuwa ngumu kidogo wapeane hisani wao wenyewe :shock:
Kumbe nachekesha ehhh?