Ngoma za mashetani

Ngoma za mashetani

Ulipoanza maranzara, nilijua utapitia maeneo ya basi na kifumbini, rudi nyuma mpaka migombani mpaka utokee dumizi au utashuka kushoto kuelekea machinjioni kupitia soko mjinga mpaka kanisani kwa masista.

Mkuu google map inasaidia sana
Umeniacha hoi sana mkuu😀😀😀
Najua hujawahi fika kabisaa huko ila umepajua kwa hisani ya gugo mapu😀😀😀
 
bwana shemeji umeniwahi kuuliza hili swali

kwanza, samahani bwana kwa kutokupa taarifa ila nilichokuahidi ndicho nilichotekeleza

heshima yako bwana shemeji, habari za wikiend?
Wikiendi iko poa kabisa bwana shemeji

Mimi nimefurahi kua hukuleta longolongo, uliahidi utayamaliza na kweli ukafanya hivyo, hongera sana

Kuhusu kutonipa feedback usijali sana maadam yamekwisha basi mimi nimefurahi
 
Nwanae anaenyanyua mkono wake kumpiga mwanamke hata darasani hakuwah nyanyua mkono akajibu swali, nasubiri utekelezaji wa hiyo ruhusa.
hii ni ruhusu unajua bwana shemeji

nimeikubali mimi
 
Wikiendi iko poa kabisa bwana shemeji

Mimi nimefurahi kua hukuleta longolongo, uliahidi utayamaliza na kweli ukafanya hivyo, hongera sana

Kuhusu kutonipa feedback usijali sana maadam yamekwisha basi mimi nimefurahi
asante sana bwana shemeji....tufurahi sote

uzima upo lakini?
 
Nwanae anaenyanyua mkono wake kumpiga mwanamke hata darasani hakuwah nyanyua mkono akajibu swali, nasubiri utekelezaji wa hiyo ruhusa.
kwanza nilikuwa back bencher nadhani unaelewa sifa zetu wazee wa back
 
Back
Top Bottom