- Thread starter
- #221
Na kweli ningeliweza kuweka clip niliyoichukua kwa kuibia lkn privacy ya watuMambo yenyewe ndo kama hayo ukifika pale unahisi nywele kuwashaView attachment 875571View attachment 875573
Na kweli ningeliweza kuweka clip niliyoichukua kwa kuibia lkn privacy ya watuMambo yenyewe ndo kama hayo ukifika pale unahisi nywele kuwashaView attachment 875571View attachment 875573
Nimemiss sana kuziona nadhani huku nilipo sizioni 7bu ya tamaduni ingawaje ni mkoa huu huu wa tanga, ila kwa sehemu za pangani kule au muheza somewhere kigombe zinapigwa sana hizi ngomaMshana Jr Hapa mtaani kwa ndugu zangu wadigo leo ni siku ya tatu wanacheza ngoma za mashetani. Watu wamejaa, wengi. Magari huwezi amini wingi wake. Mbuzi, kondoo, kuku vinachinjwa , damu mbichi zinanyweka etc. Ebu tufahamishe ngoma za mashetani ndiyo kitu gani? Umuhimu wake ni upi?
Wanaziita hivyo, hapo ni full kupanda kwa mashetani kwa waliyonayo kwenye vichwa vyaoUmezijuaje kama zinaitwa za Mashetani? Au umeshazipa jina tayari mkuu?
Kwa ufupi ngoma na vinanvyohusiana navyo ni matawi ya shetani. Sasa kuanzia hapo kama unataka kujua umuhimu wake itakuwa unahitaji licha ya UHASI wake (negativity).
HaswaaaaBora umeuliza jirani, unakufaham kwa mwananyange?? Halaf naskia ukipita karibu kamauna jini kichwani waweza jiunganao kwenye ngoma yao, hapo itakua tukwa kibao
kipindi bado ni mdogo jirani yetu aliileta hiyo ngoma, basi Kuna mwanamke ndie alikua anapigiwa akapandisha, akadai aletewe makaa ya moto, akawa anachuka yale makaa na kuyaweka mdomoni anatafuna na kumeza. kile kitendo mpaka leo hii sijakielewa. maana ngoma ilvyoisha nilikua namfuatilia ili nimuone jinsi mdomo ulivyoungua lakini alikua mzima na ana piga story kama kawaida.Zile ngoma za kishirikina kuna washiriki wake hutumika kuleta taarifa ambazo hazijulikani.Hali hiyo ndiyo ramli yenyewe na anayeandaa hiyo ngoma humwita fundi,ndiye mganga anayeshughulikia mambo yote mpaka utoaji wa makafara kama uchinjaji wa kuku,mbuzi,kondoo nk.Ni kawaida kumwona yeyote mwenye maruhani kushiriki bila hata yeye mwenyewe kujitambua ikiwa atakuwa jirani na eneo la ngoma.
Tutake radhiNi washirikina sana...afu ndo wanasema mapenzi ndo yalikozaliwa....mengine hawasemi
! ukioa wale...ujue mmeoa wengi na atakufinyanga usijielewe...uone utamu tu!
Hizo ni tamaduni zetu watanzania hayo mnayoyafuata ni desturi ni mila za hao wakiowaletea,machifu wetu wengi walikuwa na imani zao hawakuwa watumwa wa kuamini kama wewe na mm ndio maana hata majina yao si ya kimitumba km lako.we jina km mkwawa.kimweli mangi mariale wapo wengi tu.kiufupi huyo jirani yako yupo light km umuonavyo.chukua hioHizo ngoma ni maarufu kwenye mikoa kama ya Tanga, Kigoma, Tabora, Mwanza na Dar na utashangaa kuna hata wasomi na watu wenye exposure huwa wanashiriki
Miye sijambo pia namshukuru Mola

Siombi radhi ..maana sijakosea..nimesema kweli ...sijahadithiwa mimi!Tutake radhi
Ngoma za makafara hizo...hapo matatizo shida fitina,majungu na fitina zote huwekwa wazi...ole wako mhusika ukataeMshana Jr Hapa mtaani kwa ndugu zangu wadigo leo ni siku ya tatu wanacheza ngoma za mashetani. Watu wamejaa, wengi. Magari huwezi amini wingi wake. Mbuzi, kondoo, kuku vinachinjwa , damu mbichi zinanyweka etc. Ebu tufahamishe ngoma za mashetani ndiyo kitu gani? Umuhimu wake ni upi?
Hivi zongo huwa ni nini hasa?na linavouma s mchezo,nilikua na safari zangu na njia lazika upite hapo pembeni ya nyumba iliokua inachezwa ngoma, niliyaona hivo
@mshana jrHivi zongo huwa ni nini hasa?
Hivi zongo huwa ni nini hasa?
Uchawi wireless unaokaa machoni...unakuwa transifered kupitia vibration waves za mwanga machoni...ni lazima connection ya eye to eye contact ifanyike ..ni kama vile infrared au Bluetooth...in fact origin za hizi ni uchawi wa zongo@mshana jr
kumbe leo umenijuza jamboUchawi wireless unaokaa machoni...unakuwa transifered kupitia vibration waves za mwanga machoni...ni lazima connection ya eye to eye contact ifanyike ..ni kama vile infrared au Bluetooth...in fact origin za hizi ni uchawi wa zongo
Natibu pia mvuto ndele chumaulete na madenikumbe leo umenijuza jambo
hahahaha mshana sasa me za nini hizi??Natibu pia mvuto ndele chumaulete na madeni
Nisaidie kupata wateja utapata kamishenihahahaha mshana sasa me za nini hizi??



mhhh halaf kuna siku ulinambia nikutafte baada ya mwezi kuisha ndio nakumbuka hapa kwema?? Hao wateja sasa kuwapata mshana, naogopa shirkiNisaidie kupata wateja utapata kamisheni![]()
Mshana Jr and Madame S toa neno maana Mshana unamiliki uwanja huu.... ( Ndugu yangu Kibao anafanya machukizo kwa Mungu!Kwa taarifa yenu hilo ni chukizo mbele za Mungu. Kuabudu miungu na kumwaga damu kwa nia ya kutoa kafara inaleta laana katika nchi na kitakachofuata ni majanga yenye kumwaga damu za watu, magonjwa, laana na Mungu kuondoa baraka zake katika nchi. Kwa macho utaona sawa lakni katika ulimwengu wa kiroho ni mambo mazito. Wanaomfahamu Mungu wa kweli wanahitaji kuomba na kufunga Mungu aweze kutusamehe na kuondoa hasira yake otherwise chamoto tutakiona. Utaona majanga ambayo yanaweza kufagia mji mzima kama vile mafuriko au Tsunami.