Ngoma za mashetani

Ngoma za mashetani

Dah mkuu! Mlikua mnajipigia ile mikate ya kumimina na tende na halua😀😀😀

Yaani kisha hamkudhurika wala nini, badala yake mlijiongezea afya tu😀😀😀
Na mpaka leo twadunda. Siku hizi naona wanaweka chano cha mkate wa majivu.
Kwa zamani ilikuwa pia njia ya kuonyesha uwezo maana ngoma hizi ni ghali sana ndio maana zimepungua kwa kuwa uchumi umeyumba.
 
Na mpaka leo twadunda. Siku hizi naona wanaweka chano cha mkate wa majivu.
Kwa zamani ilikuwa pia njia ya kuonyesha uwezo maana ngoma hizi ni ghali sana ndio maana zimepungua kwa kuwa uchumi umeyumba.
Ndio hapo sasa ujiulize kama zilikua zinasaidia kuongeza kipato kwa njia za kiimani mbona siku hizi wameacha sababu ya bajeti na vyuma kukaza? Si hayo mashetani yangekua yanaleta?
 
Hii nayo iwe ni moja ya vivutio vya utalii
Hiyo ngoma ya kucheza vifua wazi na maziwa nje kwa wanawake inaitwa kifudu, huchezwa na wadigo hujumuisha matusi s mchezo,nilisahau hilo jina kaka chano, nimeshawah kuta njia panda pia kuna mkate wa kumimina naona ni shirki tu, halaf skua najua majini huja kupitia binadam na kula nilijua wamefungiwa humo ndani wanakula asante kwa kunijuza zaidi
 
aisee nimeona aibu wallah, huyu n jirani yangu bana tunakua tunapishana tu
archduke mwambie asiwe na wasiwasi, mimi ni jirani ni kuwa hatujawahi kutana. Nipo hapa kwa ngoma zetu. Kibao sijamuona nadhani amesafiri. mambo moto mot, vimbuzi, vikuku, ngombe etc vinachinjwa chekwa chekwa. Lakini pia wamama warembo wapo, sio utani. Wengin wanatafuta kuondolewa mashetani yanayowaletea mikosi kukosa wachumba/wapenzi and the like. Wananiambia wazi wazi!
 
Hahahawewe utaondoka nayo hapo, kumbe kibao hayupo mpungaji ni nani sasa
archduke mwambie asiwe na wasiwasi, mimi ni jirani ni kuwa hatujawahi kutana. Nipo hapa kwa ngoma zetu. Kibao sijamuona nadhani amesafiri. mambo moto mot, vimbuzi, vikuku, ngombe etc vinachinjwa chekwa chekwa. Lakini pia wamama warembo wapo, sio utani. Wengin wanatafuta kuondolewa mashetani yanayowaletea mikosi kukosa wachumba/wapenzi and the like. Wananiambia wazi wazi!
 
Mshana Jr Hapa mtaani kwa ndugu zangu wadigo leo ni siku ya tatu wanacheza ngoma za mashetani. Watu wamejaa, wengi. Magari huwezi amini wingi wake. Mbuzi, kondoo, kuku vinachinjwa , damu mbichi zinanyweka etc. Ebu tufahamishe ngoma za mashetani ndiyo kitu gani? Umuhimu wake ni upi?
Wanawapunga mashetani, yani wanawapunguza hasira za kuwapelekesha kiti.
 
Dah! Milion nne ikarudi nzima nzima mkuu, hahahaa si mchezo aisee

Inabidi Serikali watumie watu kama hao ili kudhibiti ufisadi😀😀😀

Mtu akipiga hela ya uma anajikuta anaingiwa na pepo la kuzirudisha yeye mwenyewe kama alivofanyaga Ngeleja zile za mgao wake wa Escrow 😎😎😎
wanaitwa Psychics, hutumika sana India wa design iyo
 
Mshana Jr Hapa mtaani kwa ndugu zangu wadigo leo ni siku ya tatu wanacheza ngoma za mashetani. Watu wamejaa, wengi. Magari huwezi amini wingi wake. Mbuzi, kondoo, kuku vinachinjwa , damu mbichi zinanyweka etc. Ebu tufahamishe ngoma za mashetani ndiyo kitu gani? Umuhimu wake ni upi?
Mambo yenyewe ndo kama hayo ukifika pale unahisi nywele kuwasha
FB_IMG_1537714789933.jpeg
IMG_20180923_154629.jpeg
 

Attachments

  • FB_IMG_1537714789933.jpeg
    FB_IMG_1537714789933.jpeg
    43.5 KB · Views: 25
Back
Top Bottom