Hhh, unafiki ni mbaya,, kajiandae iko poa jamani, msiwe na ushabiki wa ajabuajabu,,.narudia tena,, huu wimbo wa diamond sidhani Kama umekamilika,, labda tuusubiri mwingine,am nat his fan lakini hajafikia hatua ya kutoa wimbo wa hiviBora hii...
Kuliko ile ya Kiba na Omary Nyembo..!


