Nifah
JF-Expert Member
- Feb 12, 2014
- 34,411
- 82,338
Ila haujauzidi ubaya wimbo wa ali kiba na abdu kiba kedekede cjui kebekebe unatoka tarehe 29 yaan wimbo n mbaya balaa

Ila haujauzidi ubaya wimbo wa ali kiba na abdu kiba kedekede cjui kebekebe unatoka tarehe 29 yaan wimbo n mbaya balaa

Team kiba ..poleeNgoma mbovu
Na nilicomment hivi makusudi nione utasemaje...target ilikuwa wewe
![]()
![]()
![]()
Sisikilizi,labda niusikie kwa bahati mbaya.
tcra haiusiki na mambo ya burudaniNa humu siku hizi kumekuwa kama instagram na facebook...duuh TCRA waje wakamate hawa watu wasio na staha..watu kama mmezaliwa na matusi..hii ni laana ..tuache ushabiki wa aina hii..!! Badilikeni wote mnaotukana...ni aibu kubwa..!!
Nimeipenda hii comment...wabongi bana...kweli una negative attitude kwa dai...!!Japo sijaisikiliza ni MBAYAAAAAAAAAA!
Ile inachukua tuzo africa..na kuutambulisha mziki wa bongo africa nzima na dunia nzima mkuu..Je kajiandae imeishia wapi mbn siisikiii
Mkuu...Na humu siku hizi kumekuwa kama instagram na facebook...duuh TCRA waje wakamate hawa watu wasio na staha..watu kama mmezaliwa na matusi..hii ni laana ..tuache ushabiki wa aina hii..!! Badilikeni wote mnaotukana...ni aibu kubwa..!!
Timu kiba weweNgoma mbovu
Anha ha ha ha ha haaa/........ imebidi ncheke tu,. endeleeni kuuponda ndo mwazidi wafanya watu waufuatilie. mwisho wa siku mwamzidishia mpunga u tube.Mwimbo mbaya
Hizo zitakuwa bangi mkuu....nakushauri acha haraka kabla aijakuletea matatizo.Basi watu tunatofautiana sana...
Mimi binafsi tangu nizaliwe sijawahi kusikia NGOMA tamu kama hii ya Diamond na NeYo..!
Tangu jana naisikiliza tu,mpaka nahisi nimeanza kuwakera watu hapa napoishi..!
Ahahaaaaah...Hizo zitakuwa bangi mkuu....nakushauri acha haraka kabla aijakuletea matatizo.
Afu iyo demo tu bado official releaseIko poa
jinsia yako tafadhariAhahaaaaah...
Haiwezi kuwa effect ya matumizi ya cannabis mkuu...
Nikejikuta nimevutiwa na huu wimbo tu..!
AhsanteNgoma mbovu knoma
km ww ulivyokuwa nyuma mbovu co?Ngoma mbovu knoma