miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,805
- 49,104
Kweli kabisa![]()
![]()
kwelii???
Kweli kabisa![]()
![]()
kwelii???
Haya nitakutumia sura yangu badaefanya nikuone basi...... kamanda
Njoo inbox ila usitaje neno "PESA " katika kipindi chote cha uhusianoKweli kabisa
Aisee hapanaNjoo inbox ila usitaje neno "PESA " katika kipindi chote cha uhusiano
Taja moneyAisee hapana
h aha hh aa..... jina tu linatosha!Haya nitakutumia sura yangu badae
Haya nakupah aha hh aa..... jina tu linatosha!
Sura hapana
Chagga ya wapi...!Haya nakupa
KilemaChagga ya wapi...!
chaa... mbonyi tafoKilema
Shicha mbechaa... mbonyi tafo
HahahaaaaaaTumugope shetani jaman wimbo mbayaaaaaaaa kama wimbo wa mchaka mchaka wa mgambo
Hujielew kumbe omba ueleweshwe bro from afrika wasanii walosain global deal na Sony n wawili tu ambao ni davido na Ali kiba...elewa maana ya "GLOBAL DEAL" hiyo walosaini akina rose muhando sijui nakaaya sumary was "AFRICAN DEAL" yaan muziki wao ungesambazwa afrika pekee bt ALIKIBA na DAVIDO muziki wao utasambazwa DUNIA NZIMA na SONY..so mnyonge mnyongen haki mpen and we have to stand at the middle anapofanya mtu zur mpongeze akikosea mkosoe so as to make sure that Bongoflavour keep growing.Ivi Sony ambayo hadi nakaya, rose muhando alikuwemo unajisifia eti unaifananisha na barca labda barca ya tandale
Sijaiskia bado naskia video ndo balaa zaid.Sana! We unaionaje
na usiione kabisa maana utazimiaSijaiskia bado naskia video ndo balaa zaid.
Iyo ni demo cyo official afu tokea juzi unausikiliza basi kama ingekuwa mbovu ungesikiliza Mara moja ukatupa kuleTokea juzi nimeusikikiza huu wimbo..sitaki kuamini kama ndo official release aisee. Diamond hawezi kuchemka kiasi hiki, wimbo ni mbovu sana.
Ww ndo hujielewi davido alisain mkataba na sony pande za state ambako kuna izo office za sony worldwide lkn kiba yy alienda kusain south Africa ambako ndo makao makuu ya sony africa...tofauti nyingne global deal na sony huwa wanatangaza wameingia na ww mkataba wa miaka mingp na kwa bei gan ambapo kwa davido walisema wamempa us dollar 1M asa boss wako alipewa sh ngpHujielew kumbe omba ueleweshwe bro from afrika wasanii walosain global deal na Sony n wawili tu ambao ni davido na Ali kiba...elewa maana ya "GLOBAL DEAL" hiyo walosaini akina rose muhando sijui nakaaya sumary was "AFRICAN DEAL" yaan muziki wao ungesambazwa afrika pekee bt ALIKIBA na DAVIDO muziki wao utasambazwa DUNIA NZIMA na SONY..so mnyonge mnyongen haki mpen and we have to stand at the middle anapofanya mtu zur mpongeze akikosea mkosoe so as to make sure that Bongoflavour keep growing.