Ngoma ya Diamond na Ne-yo imevuja

Ngoma ya Diamond na Ne-yo imevuja

Wabongo wqkiambiwa ukweli has povu haya povu mzee endelea kusubir MRISHO NGASA asajiliwe REAL MADRID au BARCELONA.
Ivi Sony ambayo hadi nakaya, rose muhando alikuwemo unajisifia eti unaifananisha na barca labda barca ya tandale
 
Anha ha ha ha ha haaa/........ imebidi ncheke tu,. endeleeni kuuponda ndo mwazidi wafanya watu waufuatilie. mwisho wa siku mwamzidishia mpunga u tube.
Its a bad song
Pussy.......
This song is worse than ile ya christian bella na kofi

Midundo haina plan, wameimba kama wanafukuzwa na nyoka

Mbaya sana hii

Diamond is an excellent musician, sijui kwanini kaimba huu utumbo
 
Back
Top Bottom