- Thread starter
- #41
Mawazo ya kimasikin ndo yanakusumbuahiyo ngoma haija achiwa kwa bahati mbaya kaka,tecnically ni kuuzima ule wimbo wa bwana mahipsi na Ali.
Mawazo ya kimasikin ndo yanakusumbuahiyo ngoma haija achiwa kwa bahati mbaya kaka,tecnically ni kuuzima ule wimbo wa bwana mahipsi na Ali.
hebu acha kusikiliza story za facebook huko! zamani sana hata kabla ya hiyo collabo ya ommy na alikiba haijafanyika mond alishasema atatoa wimbo wake na neyo kabla ya tour yake huko unyamwezini mwezi ujaohiyo ngoma haija achiwa kwa bahati mbaya kaka,tecnically ni kuuzima ule wimbo wa bwana mahipsi na Ali.
Wewe ukitoa uzi humu subiri comments tu,usimpangie mtu acomment nini,Hili ni Jukwaa Huru...#Huumchezohauhitajihasira_Tunasepanakijiji.Ww ndo umeanzisha mm nikamaliza so kama vipi get off me
ha haaa haaa naona umejaa upepoTatizo Nyie Mitimu Mavi mnaolipwa kuwapamba wanaumme wenzenu mnataka kusikia vitu mnavyopenda nyinyi tu,Hamtaki kusikia mawazo mbadala.
How old are U?hebu acha kusikiliza story za facebook huko! zamani sana hata kabla ya hiyo collabo ya ommy na alikiba haijafanyika mond alishasema atatoa wimbo wake na neyo kabla ya tour yake huko unyamwezini mwezi ujao
Itafte interview yake na wekend chatshow
Bila link kwa internet utaipataje sasaPromo za kijinga hizi.
wavujishe wao afu watangaze kwe kuweka link eti imevuja.
ha haaa haaaa umri tena! utakusaidia nini?How old are U?
Yako nzima iko wapi?Ngoma mbovu
Ili nijue na argue na mtu gani...ha haaa haaaa umri tena! utakusaidia nini?
Ngoma mbovu
Bora hii...wimbo mbaya sana
ImooooooooooooI want to marry yoo...domo kwa nini ana imitate wanaija sana mpaka anabore.... Zama zinakwishwa mark my words kama AY