Ngoma ya Diamond na Ne-yo imevuja

Ngoma ya Diamond na Ne-yo imevuja

Naona haujanielewa mkuu. Ni hivi mimi sina team kwanza. Halafu kama wimbo sio mzuri lazima niseme sipendi unafiki. Kajiandae, kidogo na huu wa diamond feat neyo zote hakuna kitu. Zinahitaji team zilizojaa unafiki ili zipate KICK ila ukweli unabaki pale pale nyimbo ni mbaya.

Sent from my HTC Desire 816 using JamiiForums mobile app
Hii imevuja bado official release haijatoka usiwe na haraka kujaji vtu....kuna vitu kibao havijakamilika so tuliza mshono
 
Napenda pale mnapojicompare na king kiba. Hahha nimesoma comments nyingi team domo mkipewa comments za kukosolewa mnataka kujustify kitu kwa kumtaja king kiba hahhaha. Werevu tunaelewa why.
Povu linavokutoka mm nimetoa kama mfano coz nyie ndo mnajifanya mnatoaga ngoma ambazo hazichuji mapema ndo maana nikatoa uwo mfano kuwa mbona kajiandae haijamaliza hata mwezi na ishafuria tyar
 
Hakuna promo nzuri mojawapo kama hii ya nyie msiompenda Diamond Platnumz, yaani mnamuongezea sana.

Nawapa big ahsante kwa kutuletee taarifa hii, msiishue hapo ili mimi na wengine tusipitwe.
 
kumpeleka neyo kwenye afro pop wakati yeye ni muimbaji wa rnb kumemshusha kiwango kabisaa,na huu wimbo hautakuwa na video ni mbaya sana kwa mara ya kwanza ameharibu domo

Kweli wimbo mbovu ndio shida ya kufanya nyimbo kwa kukurupuka..huwezi toa nyimbo nzuri kwa maandalizi ya siku moja tena kwa wasanii wanaoimba nyimbo za mahadhi tofauti
 
Kweli wimbo mbovu ndio shida ya kufanya nyimbo kwa kukurupuka..huwezi toa nyimbo nzuri kwa maandalizi ya siku moja tena kwa wasanii wanaoimba nyimbo za mahadhi tofauti
Acheni iwaingie pole pole mapovu yanvowatoka
 
Kweli wimbo mbovu ndio shida ya kufanya nyimbo kwa kukurupuka..huwezi toa nyimbo nzuri kwa maandalizi ya siku moja tena kwa wasanii wanaoimba nyimbo za mahadhi tofauti
mkuu ukiusikiliza huu wimbo haujakamilika kabisaa inaonyesha ndugu yetu hakujipanga kuendana na muziki anaoufanya neyo
 
mkuu ukiusikiliza huu wimbo haujakamilika kabisaa inaonyesha ndugu yetu hakujipanga kuendana na muziki anaoufanya neyo
Hawa jamaa wakiambiwa ukweli wanakuona hater. Ila ukweli utabaki palepale huu wimbo ni mbaya.
 
acha nikate mzizi wa fitna wimbo sio mbaya ila pia sio mzuri no comment.
 
Unajua ili uweshabiki was kibakuli unaitajika use na roho ngumu sababu unaeza on a mwenzako anafanikia lakini ukase a hana mafanikio ukiuliza sasa tutajie mafanikio ya kibakuli unaemsifia anashindwa kutajahawa mashabiku was king mswati wana shida
Wao hukalia mondi ataishia mwaka huu viroja huu ya viroja tu
 
Hawa jamaa wakiambiwa ukweli wanakuona hater. Ila ukweli utabaki palepale huu wimbo ni mbaya.
huyu Neyo labda angeimba na RNB wenzie kama Ben pol/jux au mtu HIP HOP ngoma ingekuwa hit song nzuri sana kupita maelezo
 
beat la afro pop kwenye wimbo neyo kaimba rnb na diamond kaimba afro pop kiasi kwamba wimbo umeimbwa bila kuweka aina moja ya radha halafu mitarumbeta kibao
 
HAKIKA NEYO ANGEFANYA NA AY INGEKUWA NGOMA KALI SANA KAMA HIZI AY FT SEAN KING STONE , AY FT ROMEO WITH LAMYA ,AY FT MISS TRINITY , AY FT P.SPUARE
 
Ngoma mbovu
Kwenye post yoyote kuhusu Ali na Diamond kabla sijareply comment ya mtu huwa lazima nimdukue kidogo, na ww nimekudukua nmeona una team yako kwa mantiki comment yako ni ya mahaba ya upande fulani
 
Waooooooo,kumbe hata afropop ni tamu hiviii,bonge la ngoma kutoka kwa next level MC's

Just Keep it up Diamond,haters never stay calm,they keep on discouraging you on everything you are doing man.
 
Back
Top Bottom