Ngoma ya Diamond na Ne-yo imevuja

Ngoma ya Diamond na Ne-yo imevuja

hii kokoro na ile ya neyo naona kokoro iko vzur zaid ila haya ni mawazo yangu
Kokoro iko vizuri sana mkuu..ile nyingine sielewi ni nyimbo ya aina gan ..ilikaa tu kwa dk 15 kwenye simu yangu..kokoro bado imebaki
 
Kokoro iko vizuri sana mkuu..ile nyingine sielewi ni nyimbo ya aina gan ..ilikaa tu kwa dk 15 kwenye simu yangu..kokoro bado imebaki
Yah naona hakuna tena yale matarumbeta na video za magari nazo hakuna kwenye hili wamebadilika
 
Mwenzenu yuko mbele kwa mbele kama tai, nyie pigeni mdomo tu.
Nope,sio ivyo mtu aambiwe anapokosea ukweli ndio utakaomfikisha mbele kwa mbele zaidi p square wamebugi kidogo tu cheki walivyododa na wanavyohangaika kujirudisha kwenye nafasi yao,wanaomkosoa ndio wanaotaka afike mbali nyie mnaomsapoti hata kwa vibovu ndio wanafiki wenyewe mnaonataka ashuke
 
Nope,sio ivyo mtu aambiwe anapokosea ukweli ndio utakaomfikisha mbele kwa mbele zaidi p square wamebugi kidogo tu cheki walivyododa na wanavyohangaika kujirudisha kwenye nafasi yao,wanaomkosoa ndio wanaotaka afike mbali nyie mnaomsapoti hata kwa vibovu ndio wanafiki wenyewe mnaonataka ashuke
Aise ndo nashangaa mkuu
 
We kama nani unasema hayo chambua na maisha yako saka hela acha wivu kwa mtoto wa mwenzio Wanok nok ndo mlivyo mnawanga mchana gooooo chibu chibudeee
 
We kama nani unasema hayo chambua na maisha yako saka hela acha wivu kwa mtoto wa mwenzio Wanok nok ndo mlivyo mnawanga mchana gooooo chibu chibudeee
Una elimu gani kwanza ..labda nianzie hapo kwanza mana siwez mipasho napenda kushindana kwa hoja sasa naona umekuja kimipasho hata kama akina khadija kopa hujaelewa hata nilichoandika...sorry am more than that.
 
Best naso?? Anyway Mzik wa diamomd sio mbaya lakkn nyimbo aliyoimba na neyo ndio mbovu tofaut na expectations zangu.
Kuna nyimbo Diamond anaimba target market yake sio Tanzania ni kuendelea kupata washabiki maeneo mengine.Salome ndio ilikuwa ya Tanzania na kama umegundua kwa sasa Diamond anajitahidi kuwashirikisha wasanii wake (Harmonize,Rayvan na Mavoko ) ili waweze kupata fanbase
 
Una elimu gani kwanza ..labda nianzie hapo kwanza mana siwez mipasho napenda kushindana kwa hoja sasa naona umekuja kimipasho hata kama akina khadija kopa hujaelewa hata nilichoandika...sorry am more than that.
Tunarudi palepaleElimu yangu itakusaidia nn unapenda kufatilia ya watu mbona povu ukiandika kimipasho najibu kimipasho
 
Best naso?? Anyway Mzik wa diamomd sio mbaya lakkn nyimbo aliyoimba na neyo ndio mbovu tofaut na expectations zangu.
Mbona unashtuka au Best Naso sio msanii? Waulize kanda ya ziwa ndo star wao
 
When I look at you...
.......
Niko mzima sababu yako wewe tu...

When you talk to me I hear the angles I can't even see.

I want to marry yo....o lalalalalaalaaaaa
Olalalalaaaaaa

Venye kupenda maradhi ya moyo nitampenda nani
Sio mfupa mwenzio kibogoyo...
Kutwa wanakumendea mi pressure kizunguzungu...

When you smile....when you smile...

Oooooh japo kidogo...eeeeh nideke deke...
Nidekeze mama...


Ooooh I want to marry you...o lalalalalalaaaaaa
Twende kwa mama baba...o lalalalalaaaaaa
Ah twende kwa baba na mama yanguuuu

Umenifanya nikausikiliza huu wimbo zaidi ya mara 3!
Unbelievable!


Lol nimefurahi umeupenda..
Mimi iko kwenye replay toka siku ya kwanza imetoka

Mistari kuntu!
 
Maajabu ya tizedi. Mashabik wa kibakuli wanamtaka dimond atengeneze mziki mzuri, sasa nashindwa kuelewa mziki mzuri wa dimond wao wa kazi gani.
 


Lol nimefurahi umeupenda..
Mimi iko kwenye replay toka siku ya kwanza imetoka

Mistari kuntu!
Hihiiiiiiii next time ikitoka ngoma ya chibu nitajikaushaaaaaa.
Maana sio kwa 'kunivuta' namna hii.

Hii ya kokoro naisikia juu juu tu,wala siitafuti.
 
Hihiiiiiiii next time ikitoka ngoma ya chibu nitajikaushaaaaaa.
Maana sio kwa 'kunivuta' namna hii.

Hii ya kokoro naisikia juu juu tu,wala siitafuti.


Nitafanya kokoro mpaka nihakikishe umesikiliza 'kokoro'!
 
Back
Top Bottom