Ulweso
JF-Expert Member
- May 24, 2016
- 23,106
- 28,051
Tena ndiye alikuwa Katibu huko Beijing.Lakini huyu si ndio wale walienda Beijing 1994?
Tena ndiye alikuwa Katibu huko Beijing.Lakini huyu si ndio wale walienda Beijing 1994?
Ndiye aliyewambia muanze kujifunza kutongoza mabinti sio kutumia pesa tu, anza kutongoza kwanza pesa baadaye ndiyo maana mkiwaoa wanawake wanawaendesha wanajua ni madomo zege.Mwanamke wa shoka ni mama yetu Getrude Mongela sifa zimfikie mungu ambariki.Anajua kutofautisha cheo na mambo ya nyumbani
Umemaliza mjadala. Wee kuwa na wanawake watano na hakikisha wote wanajua kuwa hawapo wao peke mbona watatia akili ata mavi yako watakula🤣🤣🤣🤣Dawa ya mwanamke siku zote ni mwanamke mwenzie, na hilo wanalijua na linawapa hofu sana........
Hapa mie ndio napoonaga hamna maana ya kuoa. Bora nijue tuu life napambana nalo mwenyewe basi. Sio eti ankaa na mtu ndani ya nyumba yeye ni kupokea tuu hatoi.Mfanyakazi mwezangu alioa Ke Dakatari kwa matarajio ya kampani kiuchumi.
Mwaka wa 8 sasa Me anaishi kwa maumivu makali rohoni sababu pesa ya Ke haijulikani inakokwenda, na hajawahi kununuliwa hata maji ya kunywa na Ke wake![]()
Kiuhalisia uko right kabisaAcha niwe mshamba, wakati bado nasaka maisha niliapa kutooa msomi Wala mwanamke mwenye kazi.kwasababu sioi mfanyakazi Bali naoa mtu wa kujenga naye familia
Nilifanikisha lengo langu, sijisifu Hadi leo sijawahi kutamkiwa neno lenye kuniumiza pamoja na kwamba ndoa haikosi changamoto.
Lakini nayoyaona kwenye ndoa za wenzangu, namshukuru sana MUNGU
Kubali sasa kuwa wanawake ni wadhaifu mno na wanahitaji ulinzi wa wanaumeHuyo Adam yeye ndiye alipewa maagizo na akatamka mwenyewe huyu ndiye msaidizi wangu, kitu kilimfanya ashindwe kwenda naye Eva bustanini kama sio uvivu wakushindwa majukumu yake? Aanze kulaumiwa Adam kwa kushindwa kuwa kichwa bora.
Sikubaliani na wewe kwa sababu "mwanamke yeyote asiye mtii mumewe" ni nyoka, ni shetani haswaa.Huu ujumbe hautabadilisha kitu ni malalamiko tu yameletwa, sidhani kama wasomi wenyewe wapo tqyari kubadilika, najua unakubaliana na mimi kuwa hawatabadilika.
Na hapa wanazumgumziwa wale walioolewa tayari na sio wanaogegedwa na viserengeti boy ambao hawajaolewa bado
Hata kama hukubaliani. Mashetani wataendelea kuwepo and they don't care anymore.Sikubaliani na wewe kwa sababu "mwanamke yeyote asiye mtii mumewe" ni nyoka, ni shetani haswaa.
Kumbuka shetani alikataa kubadilika baada ya kufanya kosa huko mbinguni akaasi mazima, hivyo hivyo mwanamke asiye mtii mumewe ni muasi ni shetani, moto wa jehanamu unamhusu.
Are you among them?Hata kama hukubaliani. Mashetani wataendelea kuwepo and they don't care anymore.
May beAre you among them?
Ushindwe na ulegee!May be