Haya someni hizo hapo juu mpate kujua kwa hakika kwanini haya yanatokea sasa.. Adam hakuwahi kukosa changamoto toka jinsia pinzani.. Toka Lilith mpaka Eva!
Baada ya kushindwana na Lilith, Mungu akamletea Eva lakini naye bado akazingua vilevile.. Hapa tunapata tafsiri gani?
Mchukulie Lilith ndio hawa wanawake wasomi wa kileo... Mostly they are beyond control! Na mchukulie Eva kama mwanamke asiyesoma wa kileo unamshape mwenyewe utakavyo.. Wengine wanafit kwenye model shaping yako. Wengine akishajua ABC wanakuwa kama Lilith

Hivyo basi Mwenyezi Mungu hakuona sababu ya kumtafutia babu yetu Adam dizaini ya tatu akajua nayo itazingua tuu ndio maana mwishowe akaja na suluhu ya kusema ISHINI NAO KWA AKILI
Kwamba mwanaume uwe mpole kama HUA (njiwa) lakini uwe mwerevu kama Nyoka (ibilisi

) Hiyo ndio akili ya kuweza kuishi na Sweet heart wako na mkafika mbali sana! Ukishindwa kuishi basi tambua huna akili!
Kuchapiwa hakukuanza leo

Je unajua mtoto wa kwanza wa Adam hakuwa wake!? Huyu ndio matokeo ya Eva kukutana na Nyoka pale Eden na kula tunda la mti wa kati.....lakini hii ikawa siri ya Eden.. Dah
Ya mwisho ni hapa!
Mungu akambariki Mfalme Suleiman kwa HEKIMA na UTAJIRI halafu akamuongezea bakshish ya LIBIDO

Jamaa akaoa WAKE halali wa ndoa 700 na bado wakawa hawamtoshi akaongeza na MASURIA (vimada) 300.. Salute kubwa sana kwa huyu mwamba!
Ila bado dhambi ya usaliti haikumuacha salama akamla mke wa mjakazi wake! Unafunzwa nini hapa!? Mwanaume HATOSHEKI...Na mwanamke ku cheat ni asili
msinipige mawe..

sio maneno yangu ni Maandiko
Siropoki tena!