Ngoja niropoke

Ngoja niropoke

Mfanyakazi mwezangu alioa Ke Dakatari kwa matarajio ya kampani kiuchumi.

Mwaka wa 8 sasa Me anaishi kwa maumivu makali rohoni sababu pesa ya Ke haijulikani inakokwenda, na hajawahi kununuliwa hata maji ya kunywa na Ke wake
Daa huyo kazidi sasa, ila wanaume huwa mnajisahau mwanzoni kabisa wa mahusiano, anajielewa anafanya majukumu yake vizuri asiyejielewa ndiyo hivyo anza kurekebisha mapema kabisa.
 
Elimu sio mbaya, fedha sio mbaya..lakini inakuwa mbaya pale inapoanza kumfanya Quuen atake kuwa king, haiwezekani!
 
Pole sana, ila sio wote wapo wenye malezi na makuzi mazuri.
Mmoja katika 100 na kizuri zaidi nilipitia mule mule kwa walimu, TRA, Airtel, Mjasiriamali, Precision Air, Wizara ya Ardhi.

Siku na-graduate Ke mmoja aliniambia akiwa sirias "Sasa ajipendekeze Me kunioa aone nitavyoishi naye kibabe, siko tayari kutumikishwa na Me nikiwa na kazi yangu"
 
Ngoja niropoke; wanawake wengi wasomi wana kakiburi ka maarifa kanaitwa "INTELLECTUAL ARROGANCE"
Hapa naona kama vile unafunga funga maneno kiongozi, usahihi ni kuwa elimu zao zimewafanya kuwa wajinga. Yaani hawana akili kabisa. Yaani kama kiumbe (Mwanamke) hakijui Kuna tofauti kati ya mwanaume na mwanamke hiyo Mwanamke ni mjinga sana.

Wanawake wa Leo wamefundishwa ya kuwa adui yake namba Moja ni mwanaume.

Shida Yao kwa ujinga wao harakati walizo letewa Zina historia yake, na wao hawakutaka kuijua historia yenyewe. Acha watumike kama bidhaa yenye thamani ndogo.
 
ule wa kipuuzi sana sijaufatilia nilisoma niliona umejaa ufilauni tu. but basically very hard to live with women who join marriage for their own and selfish objectives
Nilizingatia sana hapa

Hiki ni kisa cha kweli kabisa kilichonitokea kwenye maisha yangu miaka karibu ishirini iliyopita, natangulia kuomba radhi kwa yeyote yule atakaechukizwa na chochote kilichoandikwa humu.

Sijauleta huu uzi kwa malengo ya kumuudhi mtu yeyote na wala sijakipandisha hiki kisa humu juwaani kupromote mapenzi ya jinsia moja kama wengi watakavyofikiria

Nimeuleta huu uzi ili kuwaelimisha wazazi na walezi juu ya hatari iliyopo endapo watashindwa kuwalea watoto wao kwa upendo na kupelekea watoto kufikia maamuzi ya kutoroka nyumbani na kuangukia mikononi mwa watu wasio wazuri kama ilivyonitokea mimi


Nakumbuka siku moja wakati nikiwa na umri wa miaka kama tisa au kumi hivi niliamua kutoroka nyumbani kwetu, nyumbani nilipokuwa nikiishi mimi, baba yangu mzazi pamoja na mama yangu wa kambo. Nilifikia maamuzi magumu ya kupatoroka nyumbani kutokana na kuzidiwa kama sio kuelemewa na kikombe cha mateso na manyanyaso kutoka kwa mama yangu wa kambo.

Mama yangu huyu wa kambo alijua kutesa aisee. Alinitesa kwa kuninyima chakula, kunitukana matusi makali makali na wakati mwingine kunipigapiga tena bila sababu zozote zile za msingi.

Pia huyu mama yangu wa kambo alikuwa na tabia ya kunifanyisha kazi nzito nzito sana zilizo juu ya umri wangu na nakumbuka kuna wakati huyu mama alifikia hatua ya kuninyima hata sabuni ya kuogea na kunilazimu kuoga bila sabuni
 
Mmoja katika 100 na kizuri zaidi nilipitia mule mule kwa walimu, TRA, Airtel, Mjasiriamali, Precision Air, Wizara ya Ardhi.

Siku na-graduate Ke mmoja aliniambia akiwa sirias "Sasa ajipendekeze Me kunioa aone nitavyoishi naye kibabe, siko tayari kutumikishwa na Me nikiwa na kazi yangu"
Duu makubwa haya mbona hatari, kwahiyo ukapita pembeni kabisa
 
Nilizingatia sana hapa

Hiki ni kisa cha kweli kabisa kilichonitokea kwenye maisha yangu miaka karibu ishirini iliyopita, natangulia kuomba radhi kwa yeyote yule atakaechukizwa na chochote kilichoandikwa humu.

Sijauleta huu uzi kwa malengo ya kumuudhi mtu yeyote na wala sijakipandisha hiki kisa humu juwaani kupromote mapenzi ya jinsia moja kama wengi watakavyofikiria

Nimeuleta huu uzi ili kuwaelimisha wazazi na walezi juu ya hatari iliyopo endapo watashindwa kuwalea watoto wao kwa upendo na kupelekea watoto kufikia maamuzi ya kutoroka nyumbani na kuangukia mikononi mwa watu wasio wazuri kama ilivyonitokea mimi


Nakumbuka siku moja wakati nikiwa na umri wa miaka kama tisa au kumi hivi niliamua kutoroka nyumbani kwetu, nyumbani nilipokuwa nikiishi mimi, baba yangu mzazi pamoja na mama yangu wa kambo. Nilifikia maamuzi magumu ya kupatoroka nyumbani kutokana na kuzidiwa kama sio kuelemewa na kikombe cha mateso na manyanyaso kutoka kwa mama yangu wa kambo.

Mama yangu huyu wa kambo alijua kutesa aisee. Alinitesa kwa kuninyima chakula, kunitukana matusi makali makali na wakati mwingine kunipigapiga tena bila sababu zozote zile za msingi.

Pia huyu mama yangu wa kambo alikuwa na tabia ya kunifanyisha kazi nzito nzito sana zilizo juu ya umri wangu na nakumbuka kuna wakati huyu mama alifikia hatua ya kuninyima hata sabuni ya kuogea na kunilazimu kuoga bila sabuni
Japo sijakutana nao, si unajua wengine siku nyingine tuanpoteaga humu.
 
Back
Top Bottom