Ngoja niropoke

Ngoja niropoke

Bahati mbaya wengi hawaamini uumbaji wa Mungu. Wakiifahamu kweli ya uumbaji wa Mungu watapona.
Aaaamen
giphy.gif
 
Asante bora umesema wewe mimi niliogopa kusema hili mwanzoni maana mngenipopoa mawe.
Thread closed...anzisha nyingine ya kuwapa akili.
Ipo mbona kitambo kabisa labda nikupe link
 
Hapana usinipe link. Inawahusu waoaji

Kiendacho kwa mganga hakirudi
 

Kiendacho kwa mganga hakirudi
Ha haa sawa kaka
 
*Haya magorofa yaliyojengwa wamejenga wao
*Hizi lami na Barabara wametengeneza wao
*Jela huko wamejaa wanaume kisa harakati
*Izo shule wamesoma wafyatua tofali wao
*Uko jeshin wamejaa wanaume wanalinda nchi
Ngoja niishie hapa,Hao feminist activists wakae kwa kutulia pumbavu kabla hatujaacha kuoa waanze matangazo humu ya kutafuta mume

Siku wanaume tukitaka usawa kila eneo kuna mbwa zitalia sana
 
*Haya magorofa yaliyojengwa wamejenga wao
*Hizi lami na Barabara wametengeneza wao
*Jela huko wamejaa wanaume kisa harakati
*Izo shule wamesoma wafyatua tofali wao
*Uko jeshin wamejaa wanaume wanalinda nchi
Ngoja niishie hapa,Hao feminist activists wakae kwa kutulia pumbavu kabla hatujaacha kuoa waanze matangazo humu ya kutafuta mume

Siku wanaume tukitaka usawa kila eneo kuna mbwa zitalia sana
Elimu walizopata wengi wao zimewasababishia kakitu kanaitwa "Control Freak Disorder" (unajua ni kanini haka, soma hapa chini)

Ni kale ka akili ka kumtaka mwanamke amcontrol mwanaume na kumfanya mwanaume aenende vile mwanamke anataka (amuweke chini)
 
*Haya magorofa yaliyojengwa wamejenga wao
*Hizi lami na Barabara wametengeneza wao
*Jela huko wamejaa wanaume kisa harakati
*Izo shule wamesoma wafyatua tofali wao
*Uko jeshin wamejaa wanaume wanalinda nchi
Ngoja niishie hapa,Hao feminist activists wakae kwa kutulia pumbavu kabla hatujaacha kuoa waanze matangazo humu ya kutafuta mume

Siku wanaume tukitaka usawa kila eneo kuna mbwa zitalia sana
Huu ni mkwara tu.
Kutwa mnawaoa tunaona baada ya muda mnaanza kulialia. Mnashangaza
 
Pengine walipokuwa wanasoma waliambiwa maneno kama "Soma sana, tafuta fedha zako ili mwanaume asikusumbue kwa lolote lile" (hii ndo shida kubwa)

Kwahiyo wengi kuanzia hapo wakawa wanatembea na competetive mentality (fikra za kishindani) na muda wote wapo kinyume na jinsia ya kiume.

Kinachotokea, wakiolewa wanafanya mambo kama washindani (competetors) kwa wanaume wao na sio wapambanaji wenza (teammates)

Kitu kingine kinachowaharibu ni hizi FEMINISTS MOVEMENTS (harakazi zinazodaiwa kumpa nguvu mwanamke na kumkomboa kifikra)
Walio wasomi hawajishughulishi kutaka kujua lengo la hizo Movements. Wanastuka pale wanapojikuta muda wa kuolewa umepita na pengine wamejiingiza ndani sana kwenye maisha pinzani kijinsia.
 
Uncle Mshana shikamoo,ahsantee kwa kushare nasi,binafsi unaonaje ni mambo ya kweli hayo au kwa uzoefu wako kuna tofauti gani kati ya hawa intellectual women na wasio intellectual
 
Dear ladies, black brother wenu nawakubali kinoma na nafurahi kuwaona vile mnastrugle kupambania ndoto zenu (hongereni kwa hilo)

Lakini, jitahidi kadri uwezavyo fedha zako, elimu yako na cheo ulichonacho/utakachopata visikutie Kiburi mbele ya mumeo uliyenae/utakaekuwa nae.
Mbona umekopi na kupesiti Mshana, inakuwaje?
 
Uncle Mshana shikamoo,ahsantee kwa kushare nasi,binafsi unaonaje ni mambo ya kweli hayo au kwa uzoefu wako kuna tofauti gani kati ya hawa intellectual women na wasio intellectual
Uhalisia ni mwingi sana Emlth wengi wanashindwa kutofautisha kati ya mume na mwanaume
Si kila mwanaume ni mume
 
Back
Top Bottom