Wapi bhanaa. Wengine huanza ukubwani au wakishaanza kuambiwa "auntie umependeza"Ndivyo walivyo
Hapana usinipe link. Inawahusu waoaji😅Ipo mbona kitambo kabisa labda nikupe link
Hapana usinipe link. Inawahusu waoaji![]()
Ha haa sawa kakaNaomba kuongea na wadogo zangu wa kiume 18-30years
Utu uzima dawa! Mnakopita sasa sisi tulishapita salama, lakini kuna uhitaji wa kukumbushana machache, kupeana mbinu na kutiana moyo pia (hapa kwa sehemu hata wadogo zangu wa kike watahusika). Naongelea mabadiliko ya makuzi kihomoni, kimtazamo, kimahusiano na kifikra pia. Kwanza lazima...www.jamiiforums.com
Kiendacho kwa mganga hakirudi
Elimu walizopata wengi wao zimewasababishia kakitu kanaitwa "Control Freak Disorder" (unajua ni kanini haka, soma hapa chini*Haya magorofa yaliyojengwa wamejenga wao
*Hizi lami na Barabara wametengeneza wao
*Jela huko wamejaa wanaume kisa harakati
*Izo shule wamesoma wafyatua tofali wao
*Uko jeshin wamejaa wanaume wanalinda nchi
Ngoja niishie hapa,Hao feminist activists wakae kwa kutulia pumbavu kabla hatujaacha kuoa waanze matangazo humu ya kutafuta mume
Siku wanaume tukitaka usawa kila eneo kuna mbwa zitalia sana
)Huu ni mkwara tu.*Haya magorofa yaliyojengwa wamejenga wao
*Hizi lami na Barabara wametengeneza wao
*Jela huko wamejaa wanaume kisa harakati
*Izo shule wamesoma wafyatua tofali wao
*Uko jeshin wamejaa wanaume wanalinda nchi
Ngoja niishie hapa,Hao feminist activists wakae kwa kutulia pumbavu kabla hatujaacha kuoa waanze matangazo humu ya kutafuta mume
Siku wanaume tukitaka usawa kila eneo kuna mbwa zitalia sana
😂😂😂 Nimecheka kifala hadi nimebinuka ,🤣Siku wanaume tukitaka usawa kila eneo kuna mbwa zitalia sana
Walio wasomi hawajishughulishi kutaka kujua lengo la hizo Movements. Wanastuka pale wanapojikuta muda wa kuolewa umepita na pengine wamejiingiza ndani sana kwenye maisha pinzani kijinsia.Pengine walipokuwa wanasoma waliambiwa maneno kama "Soma sana, tafuta fedha zako ili mwanaume asikusumbue kwa lolote lile" (hii ndo shida kubwa)
Kwahiyo wengi kuanzia hapo wakawa wanatembea na competetive mentality (fikra za kishindani) na muda wote wapo kinyume na jinsia ya kiume.
Kinachotokea, wakiolewa wanafanya mambo kama washindani (competetors) kwa wanaume wao na sio wapambanaji wenza (teammates)
Kitu kingine kinachowaharibu ni hizi FEMINISTS MOVEMENTS (harakazi zinazodaiwa kumpa nguvu mwanamke na kumkomboa kifikra)
Mbona umekopi na kupesiti Mshana, inakuwaje?Dear ladies, black brother wenu nawakubali kinoma na nafurahi kuwaona vile mnastrugle kupambania ndoto zenu (hongereni kwa hilo)
Lakini, jitahidi kadri uwezavyo fedha zako, elimu yako na cheo ulichonacho/utakachopata visikutie Kiburi mbele ya mumeo uliyenae/utakaekuwa nae.
Uncle Mshana shikamoo,ahsantee kwa kushare nasi,binafsi unaonaje ni mambo ya kweli hayo au kwa uzoefu wako kuna tofauti gani kati ya hawa intellectual women na wasio intellectual
Uhalisia ni mwingi sana Emlth wengi wanashindwa kutofautisha kati ya mume na mwanaume