Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 42,508
- 94,624
Ha haaa balaaAcha tu, ila kuna kipindi mkoa mmoja Mama alikuwa na waume 2 na wote anaishi nao kwake, walijikuta wapo pale kwa pamoja akawambia watulie waishi wote, mpaka mke alipofariki.
Ha haaa balaaAcha tu, ila kuna kipindi mkoa mmoja Mama alikuwa na waume 2 na wote anaishi nao kwake, walijikuta wapo pale kwa pamoja akawambia watulie waishi wote, mpaka mke alipofariki.
Nimuache babu yako unioe weweWajukuu hata Beberu anao, kwani Ke wasio kwenye ndoa hawana wajukuu?![]()
Hatulalamiki bali tunatoa msimamo wa kimaandiko kwamba "mwanaume ni kichwa" lazima tuwaongeze nyie viumbe dhaifu.Huwezi mbadilsha mwanamke msomi mwenye misimamo yake akubaliane na mambo ya kiboya(according to wao).
Solution ni muache kuwaoa...
mnalalamika as if mmelazimishwa kuwaoa...there are so many good girls wasiosoma sijui kwanini hamtaki kuwaoa.
Hao wasomi hawatabadilika na miaka inavyoenda itakuwa worse zaidi.
Acheni kiherehere bwana. Mnalalamika sana Mshana tatizo nini?
Ilikuwa Katavi ha ha ha na alipofariki taarifa tuliipata, ila inahitaji moyo wawili daa!Ha haaa balaa



Yani nilikutana na Ke wasomi 6, kwa nnje ni wife materials tupu lakini jiwekee ndani sasa ujionee vitukonimecheka kwa sauti.



Huu ujumbe hautabadilisha kitu ni malalamiko tu yameletwa, sidhani kama wasomi wenyewe wapo tqyari kubadilika, najua unakubaliana na mimi kuwa hawatabadilika.Hatulalamiki bali tunatoa msimamo wa kimaandiko kwamba "mwanaume ni kichwa" lazima tuwaongeze nyie viumbe dhaifu.
Kumbuka Eva alidanganywa kiboya sana na nyoka, you know why?
Bila mwanamume mwanamke hana akili kabisa na ndio maana mnagegedwa hovyo hovyo na viserengeti boy (sio kuolewa) baada ya talaka, zingatieni huu ujumbe wa black bro.
Hakuna namna, lakini si anakuwa kamchagua mwenyewe?![]()

Mfanyakazi mwezangu alioa Ke Dakatari kwa matarajio ya kampani kiuchumi.Hakuna namna, lakini si anakuwa kamchagua mwenyewe?![]()

Kuna boya anakula mema ya nchiMfanyakazi mwezangu alioa Ke Dakatari kwa matarajio ya kampani kiuchumi.
Mwaka wa 8 sasa Me anaishi kwa maumivu makali rohoni sababu pesa ya Ke haijulikani inakokwenda, na hajawahi kununuliwa hata maji ya kunywa na Ke wake![]()

Kila siku mnaambiwa pesa ya mke usiipigie mahesabu.Mfanyakazi mwezangu alioa Ke Dakatari kwa matarajio ya kampani kiuchumi.
Mwaka wa 8 sasa Me anaishi kwa maumivu makali rohoni sababu pesa ya Ke haijulikani inakokwenda, na hajawahi kununuliwa hata maji ya kunywa na Ke wake![]()
Hakika kwa 100%, huwa namwambiaga Ke wangu, malezi tunayowalea/tutayowalea watoto wetu ndiyo matunda ya kupatikana kwa Ke Mwema au Me bora kwa ndoa za kizazi cha baadaye.Kwenye hili makuzi ni kitu muhimu sana.. Soma ule uzi wa kaka muarabu una mengi ya kujifunza! Demi
Huyo Adam yeye ndiye alipewa maagizo na akatamka mwenyewe huyu ndiye msaidizi wangu, kitu kilimfanya ashindwe kwenda naye Eva bustanini kama sio uvivu wakushindwa majukumu yake? Aanze kulaumiwa Adam kwa kushindwa kuwa kichwa bora.Hatulalamiki bali tunatoa msimamo wa kimaandiko kwamba "mwanaume ni kichwa" lazima tuwaongeze nyie viumbe dhaifu.
Kumbuka Eva alidanganywa kiboya sana na nyoka, you know why?
Bila mwanamume mwanamke hana akili kabisa na ndio maana mnagegedwa hovyo hovyo na viserengeti boy (sio kuolewa) baada ya talaka, zingatieni huu ujumbe wa black bro.
Sina maana hiyo, isipokuwa ikikupendeza usimfanye Babu yangu akafa kabla ya wakati wake ilihali Me sahihi tumejaa teleNimuache babu yako unioe wewe

Pole sana, ila sio wote wapo wenye malezi na makuzi mazuri.Yani nilikutana na Ke wasomi 6, kwa nnje ni wife materials tupu lakini jiwekee ndani sasa ujionee vituko
Si kupigwa vile kwa vitu vizito hadi nilibakia skeleton tupu kwa stress![]()
Wasomi wasomi eeeeh...![]()
ndio upi huo wa kubadilishwa jinsia au???!!!Kwenye hili makuzi ni kitu muhimu sana.. Soma ule uzi wa kaka muarabu una mengi ya kujifunza! Demi
Ngoja nimalize nae uzeeSina maana hiyo, isipokuwa ikikupendeza usimfanye Babu yangu akafa kabla ya wakati wake ilihali Me sahihi tumejaa tele![]()
Adam alianza kushindiwa kwa Lilith... AKAKIMBIWAHuyo Adam yeye ndiye alipewa maagizo na akatamka mwenyewe huyu ndiye msaidizi wangu, kitu kilimfanya ashindwe kwenda naye Eva bustanini kama sio uvivu wakushindwa majukumu yake? Aanze kulaumiwa Adam kwa kushindwa kuwa kichwa bora.

