Nyie juzi tu hapa mmetutangazia mgao umeisha mpaka january leo moshi mjin hapa siku ya pili hamna umeme na hakuna taharifa zozote za maana. Mnataka sisi tuwaeleweje au tuwatukanie wazazi ndo mjue mnatukwaza kiasi gani? Achen mambo ya ajabu bana!!!!??
tushaonekana wajinga sana...hawajamaa siku hizi wanaongea wanavyojua wao, yani akiamka asubuhi anafikiria nini akaongee na wananchi usanii mtupu hata hawafikirii inatuathiri kiasi gani.."one day yes"
Hapa Dar ,Mikocheni,Tegeta hakuna umeme kutoka juzi,Ngeleja alisema mgao kwishne mwezi October kumbe zilikuwa ni porojo tu,hao ndio viongozi wa Magamba,Magamba ziiiii
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.