naona dogo bahati zinamdondokea tuu!wadau kama hayo ni ya kweli naomba dogo apewe ushauri na ajengwe kisaikolojia,vile vile ajifue vya kutosha kabla hajaenda.kila la kheri kijana!!
....Atakalia benchi mpaka atoe malengelenge!!!!Sasa mkuu habari inaonekana nzuri, tatizo hujaweka background i.e facts za kutosha au ungetwambia umesoma kny gazeti fulani au mtandao etc tuelewe vizuri kinachoendelea! Anyway labda ni tetesi, pengine kuna members wanadetails zaidi!
...Tawilee!!! Kiwango cha akili zao kinalingana na kiwango cha mpira wanaocheza bongo hapa....huwezi kuingiza mtu Ngasa kwenye premier...IN SHORT,tanzania bado haijawa na mchezaji wa ku cheza premier league
naona dogo bahati zinamdondokea tuu!wadau kama hayo ni ya kweli naomba dogo apewe ushauri na ajengwe kisaikolojia,vile vile ajifue vya kutosha kabla hajaenda.kila la kheri kijana!!
kabla ya kuondoka ajifunze kuchuma machungwa ingawa kule atakutana na matunda itamsaidia kuona kama kazi ya kawaida na si utumwa