Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,771
- 41,036
Mapema leo Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano Mhe. Samuel Sitta amemuomba radhi Naibu wake kwa kutumia neno "kukurupuka" alipomtaka asiongoze mjadala muhimu wakati alipotaka kwenda Marekani.