Rev. Kishoka
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 4,526
- 1,529
Tunayefanya naye kazi anatutia sana moyo. Maana haagalii saa wala nini ni mzigo tu. Ukichelewa kumpa update anakupigia kwanza wewe. Ana ku-update kazi ulizompa amefikia wapi kisha na yeye andemand umefikia wapi. Sometime ni vigumu kwenda na speed yake lakini tunaenda vizuri mpaka sasa.
Sasa kama kuna wivu basi ngoja tuwasikie . . .
Laiti hata asilimia 30 ya wateule wangekuwa kama yeye, tungepiga hatua....