We Know Next
JF-Expert Member
- Sep 9, 2010
- 814
- 380
Ni vipi unawalinganisha Raisi wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania na Makamu wa Mwenyekiti wa Chama cha Siasa? Hivi umejitafakari kweli?Ni mwaka wa tatu sasa Lisu amekuwa akiwahadaa mazombi wake kuwa atahutubia baraza la usalama na vikao vikubwa kama hivi. Cha kushangaza raisi Samia amefanikiwa kwa muda mchache tu alioingia.