Mzee makoti
JF-Expert Member
- Jul 27, 2016
- 2,595
- 3,085
Mi ni yule niliyekutoa usichana wako!!Ivi wew ni me au ke!? Una mawazo mgando sn jitafakari usijeingia mirembe
Mi ni yule niliyekutoa usichana wako!!Ivi wew ni me au ke!? Una mawazo mgando sn jitafakari usijeingia mirembe
Aisee siko APA kumuongelea MTU ,wew mbona uelew wako mdogomaybe, nyie endeleeni kumuenzi dikteta,mazuzu nyie
Inaonyesha jinsia yako kua ni keMi ni yule niliyekutoa usichana wako!!
Wai chattle kufagilia makaburi mbu,,zi weweInaonyesha jinsia yako kua ni ke
Wai Chatttle kafagilie kaburi dada,wenzio washatangulia Tangu janaMkutano wa UNGA hauna faida yoyote kwa mwananchi yeyote Dunia nzima... Elewa kwanza hilo.
Badala ya kujenga hoja unaleta siasaMi ni yule niliyekutoa usichana wako!!
Wai ndio nini ?...Wai Chatttle kafagilie kaburi dada,wenzio washatangulia Tangu jana
Nyinyi washamba wa Chato ifike muda sasa mkubali yule mungu wenu ametwaliwa na Mungu wa kweli, na sasa tunakwenda na mama mpaka 2030.Wai ndio nini ?...
Kama Kuna uwezekano huo naunga mkono hoja kuwa Rais Samia Suluhu Hassan awe Rais wa United States of Africa, ili Tanzania iongozwe na Rais kutoka Upinzani.Mama anazidi kukubalika duniani yupo tayari kuwa Rais wa ile United States of Africa
Tunaambiwa amefanya mazungumzo na Rais wa Comoro na wa Sudani ya kusini. Ama kweli tuna safari ndefu!Kwa lipi aliloifanyia Dunia?
Unafaida kubwa sn agenda yamsingi inayo enda kuzungumziwa pia ni uharibifu wa hali ya hewa Duniani hilo tu linagusa kila mtu katika huu ulimwengu wa fuju jua hilo kwanza.Mkutano wa UNGA hauna faida yoyote kwa mwananchi yeyote Dunia nzima... Elewa kwanza hilo.
Mwananchi anapata manufaa gani kwenye mkutano wa UNGA na mingine ya pembezoni?.... Dadavua tu hiyo Mada, hayo mengine uliyoandika waachie wanaoshabikia siasa za majitaka!Nyinyi washamba wa Chato ifike muda sasa mkubali yule mungu wenu ametwaliwa na Mungu wa kweli, na sasa tunakwenda na mama mpaka 2030.
Unafaida kubwa sn agenda yamsingi inayo enda kuzungumziwa pia ni uharibifu wa hali ya hewa Duniani hilo tu linagusa kila mtu katika huu ulimwengu wa fuju jua hilo kwanza. Ukame wewe huoni, joto ulioni na nk.Mwananchi anapata manufaa gani kwenye mkutano wa UNGA na mingine ya pembezoni?.... Dadavua tu hiyo Mada, hayo mengine uliyoandika waachie wanaoshabikia siasa za majitaka!
Tena hizo ni nchi muhimu sana kwetu kibiashara.Tunaambiwa amefanya mazungumzo na Rais wa Comoro na wa Sudani ya kusini. Ama kweli tuna safari ndefu!
Washamba wa sukumagang mnajulikana tu kwa mawazo yenu ya kijima.International exposure ni jambo muhimu kwa kiongozi wa nchi. Huko anakutana na maraisi wenzake wengi kwa urahisi zaidi na kunabiloshana mauzoefu ya kuongoza nchi.Unaongea kishabiki badala ya kujenga hoja itakayoleta Tz endelevu
Wew Kibaraka wa mabeberu usie na aibuWashamba wa sukumagang mnajulikana tu kwa mawazo yenu ya kijima.International exposure ni jambo muhimu kwa kiongozi wa nchi. Huko anakutana na maraisi wenzake wengi kwa urahisi zaidi na kunabiloshana mauzoefu ya kuongoza nchi.