New Delhi: Tembea ujionee

New Delhi: Tembea ujionee

Mkuu zile ni Siasa za kale naweza sema kwa sasa zishaisha... Wanasiasa huwapa pesa waandamanaji kisha huchagua jambo la kufanya wanaweza ziba njia n.k so ile ya kupiga Waafrica ilikuwa ni kwa kumkomoa Waziri Mkuu alipoandaa mkutano na viongozi wa Africa... ili wasuse lakini mkutano ulifanyika baada ya viongozi kueleweshwa... black Money now ni kama imededishwa baada ya pesa kubadilishwa so hakuna pesa za mchezo mchezo tena.. na Mhindi haandamani bila pesa kwai wanajua faida ni yako wewe wao wakishamaliza maandamano wanarejea kwenye shughuli zao tu...India Maandamano ni sehemu ya kipato... STUKA Kwety huwa tunasombwa na matrucks
Aisee ...kweli tembea uone ...jamaa hawataki kutumiwa kibwege ...sasa ikitokea wakafa kwenye hayo maandamano je ? !

Sent using Jamii Forums mobile app
 
1. Ukitaka kuwa bilionea anzisha biashara ya kuuza honi za magari na pikipiki hapo Newdelhi.
2. Kuna baashi ya maeneo mama NOIDA bajaji zinapita upande wowote wa barabara so usishangae wakati unaenda ukakutana na bajaji zinarusi ya ni vururu vururu.
3. Ni nadra sana kuwaona polisi yani polisi ni mmoja mmoja sana.
4. Usishangae kuona ng'ombe wanakula majalalani kama mbwa.
5. Bia zinauzwa kwa kificho sana si rahisi kuziona bar kama bongo hapa.
6. Wamejitahidi sana kuwaelimisha wagu wao kuhusu kulipa kodi wao wanaiita GST, so utakaponunua kitu ata kwa maduka madogo madogo lazima utalipa kodi na lazima utapa risiti.
7. Bureau de change zipo congrolled sana, na ukienda badili pesa lazima uwe na vitambulisho halali.
8.
 
Nimependa harakati zao za maendeleo na miundombinu yao,kuna vitu vya maendeleo vya kuiga kama hivyo lakini siasa uchwara tu


Bila kuacha kukojoa barabarani tena mchana kweupe sioni raha ya maendeleo wanayopigania
 
1. Ukitaka kuwa bilionea anzisha biashara ya kuuza honi za magari na pikipiki hapo Newdelhi.
2. Kuna baashi ya maeneo mama NOIDA bajaji zinapita upande wowote wa barabara so usishangae wakati unaenda ukakutana na bajaji zinarusi ya ni vururu vururu.
3. Ni nadra sana kuwaona polisi yani polisi ni mmoja mmoja sana.
4. Usishangae kuona ng'ombe wanakula majalalani kama mbwa.
5. Bia zinauzwa kwa kificho sana si rahisi kuziona bar kama bongo hapa.
6. Wamejitahidi sana kuwaelimisha wagu wao kuhusu kulipa kodi wao wanaiita GST, so utakaponunua kitu ata kwa maduka madogo madogo lazima utalipa kodi na lazima utapa risiti.
7. Bureau de change zipo congrolled sana, na ukienda badili pesa lazima uwe na vitambulisho halali.
8.
Namba 4 nlishangaaa sana! Unaweza Ona foleni kumbe mbele Ng'ombe anakula!
 
Mkuu hapo GB ROAD nishatimba sana enzi zangu kwa miaka mitatu kufuata PAPUCHI YA KIHINDI- nilikuwa naingia namba 72 kwa jamii ya wanepal hivi, we mkuu ulikuwa na koloni room namba ngapi..tukumbushane bwa Shekhe..
Aaah! Aaah! Aaah! Wewe jamaa wewe!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom