New Delhi: Tembea ujionee

Mkuu hapo GB ROAD nishatimba sana enzi zangu kwa miaka mitatu kufuata PAPUCHI YA KIHINDI- nilikuwa naingia namba 72 kwa jamii ya wanepal hivi, we mkuu ulikuwa na koloni room namba ngapi..tukumbushane bwa Shekhe..
Hahahahahaaaaaa hahahahahaaaaaa hahahahahaaaaaa u man killed me... Kolon
 
hahah

ahahahaha GB road kaka siku ya kwanza sijatimba mshikaj wangu mmoja alikuwa anasoma Punjab , mji wa Chandighar akaniambia hapo kuna watoto wengi paka wakichina kinepal, nikawa navuta picha itakuwa bonge la sehemu , nikachukua Rickshaw nilikuwa mitaa ya Rajiv Chowk usiku nakula mtungi, kwenda pale kujionea hayo mazingira balaa, kwenye ngazi unapishana na watu mia wanapanda mia wanashuka, uwanja wa fisi unasubiri, unagonga ishu kwenye vitanda vya chaga tupu, paka msuli ukanikamata , bei ni rupee 500 tu ilikuwa, what an experience , mimi nahisi nyumba ilikuwa 60 fulani mayb au 70 aswell
Siku jamii ikikolapse ntaliaa ka chiz
 
Delhi nilipenda;
1. Nauli kwa Ethiopian Airlines ni cheap kuliko KQ (Dar-NBO -Dar).
2. Airport yao Classy (hakuna mikelele ya matangazo ya kipuuzi).
3. Hotel/bidhaa nafuu kuliko Dubai
4. Usafiri/domestic nafuu-auto rickshaw.
Ni kweli. Ila jamaa mitaani ni wachafu. Muhindi anaweza kupark gari pembeni ya barabara kuu ili akojoe tu.
 
Tanzania ukiwa unamiliki gari ka hizo unaonekani maskini.
Ni ulimbukeni. New Delhi wazazi wa mtaa mmoja wanaweza kujipanga na kukodi Bajaj 1 tu iwapeleke na kuwarudisha watoto shule ili kupunguza makali ya school bus fees. India zipo Bajaj zinabeba abiria 10.
 
Safi sana kw makala nzr.. Nachowachukia wahindi Ni ubaguz tu.. Ila napenda muvi zao.. Na Ningependa kufika kwnz Kolkota (Calcuta) kabla Ya New Delhi
 
Nasikia ni wabaguzi sana, kuna ripoti ya binti wa kiTanzania kupigwa na kuvuliwa nguo hadharani.
Sitaki kuhukumu kwa ile ripoti na kufanya nao kazi. Je Kuna ukweli juu ya hilo? Kama ndiyo, uliwezaje kuhimili maisha ya huko kukiwa na ubaguzi kama huo?
Ndio mkuu, ilitokea Chuo cha Bangalore,.. Ambapo mschana wa kibongo alivuliwa nguo hadharan kw kosa ambalo hakulitenda.. Yote hayo ni tabia za kibaguzi za wahindi
 
Kwenye suala la papuchi hapo nakuunga mkono kwa asilimia 200! Tena afadhali hata huko Delhi kuna sehemu unaweza kununua, sehemu nyingi sana tena miji mikubwa kuliko ya bongo hakuna papuchi ya kununua au ya kuishika mkono uisalimie:D:D. I had the longest dry season ever over there, ndipo nikatambua useja unawezekana.
 
Back
Top Bottom