New Delhi: Tembea ujionee

New Delhi: Tembea ujionee

Dadavua kidogo.
c_beer_image.jpg
 
Nimependa style yenu mlioishi India mibongo mingi tunajiita Diaspora tulioishi ulaya na marekani tunapinga sana.. yaani
 
Dawara+20170306_125719.jpg
Bengaluru: Inasemekana ni mji wa 5 kwa ukubwa nchini India.
 
kitu nilichokipenda India ni kwamba unaweza kukata nauli ya siku nzima. ukiwa na pirika za hapa na pale hamna kudaiwa nauli apo
 
kitu nilichokipenda India ni kwamba unaweza kukata nauli ya siku nzima. ukiwa na pirika za hapa na pale hamna kudaiwa nauli apo
Nlikuwa natumia zaido oto kule zina bei ndogo balaa. Yaan kwa rupee 100 unaweza kutoka kariakoo hadi kibaha pale mzani
 
Ila wana bia yao moja hivi nimeisahau jina ni tam kama soda na ipo kwenye rangi ya fanta papo, orange, na pineaple
 
kitu nilichokipenda India ni kwamba unaweza kukata nauli ya siku nzima. ukiwa na pirika za hapa na pale hamna kudaiwa nauli apo

Au unaita Uber au Ola...zile bajaj zao (auto) unakuta zina mita kabisa haina kuibiana hapo
 
Sasahivi india ndio nchi inayoongoza kwa matukio ya ubakaji, ni kawaida kusikia msichana wa kihindi amebakwa tena mara nyingi huwa ni ( mande) gang rape, hata wageni watalii wamekumbwa na hio dhoruba.
halafu ni wabaguzi sana miongoni mwao kuna mambo ya low caste na high caste,rangi ya ngozi,umaskini/utajiri,/wadhifa,dini nk
 
Number 10 Yanga na Tawala inawahusu..
12 Tutapata tabu sana sisi tusio kwenda eneo bila hata kupiga kamoja kapuchi cha wenyeji..
Naomba kuwakilisha..
 
Hiyo namba 7 kama ni kweli basi ina maana wakaazi wa New Delhi wote wana kansa?!

Namba 9 upo sahihi kabisa,India madereva wengi wanaendesha Magari huku wanapiga honi hovyo tu! Niliwahi kumuuliza Muhindi mmoja "kwanini mnapiga honi hovyo?" Akanijibu hata yeye hajui!! Amezaliwa nae amekuta tu hiyo tabia ipo!!

Namba 10 hizo Bajaj miji mingi India wanaziita "Rikshoo"

Kingine ambacho mgeni atapata tabu ni jinsi ya kupata chakula ambacho hakijatiwa pilipili!! Muhindi hata ukimwambia "usiweke pilipili" lazima ataweka tu coz ya mazowea yao,

Ila wahindi wengi wanatilia sana mkazo masomi,wengi wako bussy kuitafuta elimu,pia ni watu wenye "Akili" sana na ni wepesi wa kuelewa jambo.
Mkuu umepotelea wapi? Nakukumbukaga sana na avatar picha yako ya fidel castro. Naona ukaibadilisha na luis farrakhan
 
Ni wakwepaji wazuri wa kulipa kodi. Wanaolipa kodi ni wafanyakazi na wafanyabiashara wa wadogo na wakati. Wanasema kama big fish wangelipa kodi inavyostahili India ingekuwa on another level.
 
Back
Top Bottom