Rich Pol
JF-Expert Member
- Oct 11, 2013
- 7,877
- 5,694
Sasa mbona unatuuliza sisi tena?Duu..huko Mumbai ndy washenzi kabisa..mm nishaitwa MAKANDAA..huko..unajuwa makanda kwa KIHINDI nn?
Sasa mbona unatuuliza sisi tena?Duu..huko Mumbai ndy washenzi kabisa..mm nishaitwa MAKANDAA..huko..unajuwa makanda kwa KIHINDI nn?
Yupo mkuu mmoja anasema hajawahi kunyanyaswa...ndy namuuliza swali...pengine kishakimbia...ila MAKANDAA...KIHINDI.. Kiswahili ni SOKWESasa mbona unatuuliza sisi tena?
NamastraNamastee
Ndugu yangu mi huwa naletewa ticket tu toka ubalozini. Wahindi wanapendaKenya airway ndo cheap kuliko zote zinazofika bombey, jaribu Kenya airway
Bangarole na mumbai
Ahahahaa, .... ding dingMkuu hapo GB ROAD nishatimba sana enzi zangu kwa miaka mitatu kufuata PAPUCHI YA KIHINDI- nilikuwa naingia namba 72 kwa jamii ya wanepal hivi, we mkuu ulikuwa na koloni room namba ngapi..tukumbushane bwa Shekhe..
Hahahahaa aisee mkuu wameadvance kila kitu hadi style ya kuomba!Kuna maskini wa kutisha pengine kuliko hata bongo, ni India yote kwa ujumla! Omba omba wa kule anaweza kukufata anaomba umbli mrefu kama Kariakoo mpk Manzese, anaomba tu, mpk umpe!
Nlikutana na kitu moja inaitwa kingfisher ipo kama bavaria 8.6 iliniumbua mazeeBangalore pametulia sana na hakuna fujo fujo...Goa nimekaa wiki moja ni mji wa kitalii na vinywaji ni bei rahisi sana..
Delhi nlipita kwa siku moja tuu na naweza sema uwanja wao wa ndege ni moja kati ya viwanja bora duniani.
Hyo kingfisher ya mwendo kasi, ahahahaaNlikutana na kitu moja inaitwa kingfisher ipo kama bavaria 8.6 iliniumbua mazee
Kingfisher ni aina ya bia mkuuTatizo India mwenye nacho anacho kweli. Asienacho hana kweli. Hakunaga afadhali.