New Delhi: Tembea ujionee

New Delhi: Tembea ujionee

Maisha yao ya kawaida sana kama yetu ila maskini wa huku kamzizi umaskini maskini wa India omba omba wakutosha, wapiga debe pia wapo. Tofauti niliyoiona huku mitumba ipo ila kidogo sana na vitu vyao ni fixed price no bargain
Ni kweli Mkuu. India omba omba omba anakuomba mpk unahisi atakukaba!
 
India tajiri ni tajiri kweli kweli. Maskini ni Maskini kweli kweli. Kuna maghorofa ya kufa mtu na kuna watu wanalala ktk vibanda vya mabox. Kuna wanaolala ktk viambaza. India kuna Guta zinabeba watu. Baiskeli zinabeba watu. Ndio nikasema TEMBEA UJIONEE.
Aiseee....kweli kama alivyosema mdau hapo juu....Wahindi rangi tu hizo.
Ngoja hili sakata la Makonda liishe, tukapige patroo huko
 
Ndio msiwe mnawakubali kirahisi rahisi. Ukitaka kumuumiza Mhindi Kariakoo, mwambie umekaa India, afu mtajie machaka yao. Lazima afunge mdomo wake.
Sio kuwakubali....tatizo gia wanazokuja nazo.
Afu kama unavyojua, sie ni kama wanyama tuko mbugani...tunawinda na kuwindwa
Tunatumia trick ya "nyoka"
 
Sio kuwakubali....tatizo gia wanazokuja nazo.
Afu kama unavyojua, sie ni kama wanyama tuko mbugani...tunawinda na kuwindwa
Tunatumia trick ya "nyoka"
Haaa. Haaa. Haaa. Haaa. Haaa. Nikuelewa. Siwalaumu tena.
 
Waingereza waliicha serikali Kolkata (sema tu Karakata) lakini wahindi wenyewe wakahamisha makao kwenda New Delhi! Wengi wanachanganya, NEW DELHI na DELHI ni vitu viwili tofauti, Delhi ipo ndani ya New Delhi, kiufupi Delhi ni eneo ndani ya New Delhi na New Delhi ndio makao makuu ya India.

  1. Kwa wataalamu wa Mipango-miji, maeeneo mengi ya New Delhi yalipangwa na Muingereza mtaalamu wa Mipango-miji: aitwae Edwin Lutyens na kwa heshima yake, New Delhi pia huitwa Lutyens Delhi.

  2. Eneo la viwanda lijulikanalo kama Delhi – Mumbai Corridor, ambalo ujenzi wake haujakamilika, litaja kuwa mradi mkubwa wa miundombinu duniani huku ukiwa ndani yake na Majiji 24, Mitambo ya nishati 2, viwanja vya ndege 6, viwanda 23, Bandari 2 na Barabara ya njia 6 ya urefu wa Km 1500. Wachambuzi wanasema, mradi huu ni kama vile wahindi wamedesa idea ya mradi kama huo ujulikanao kama Tokyo-Osaka industrial corridor wa Japan.

  3. Katika utafiti uliofanywa na Global Metro Bench NOVA na CoMET, usafiri wa umma (Mwendokasi) ujulikanao kama Delhi Metro (Mabasi na Treni. Kwa upande wa Mabasi ya Delhi Metro, ndio mfano halisi wa UDART yetu, kuanzia muundo mpaka rangi, cha tofauti ni kuwa, wao hawana Vituo na bara bara maalum kama sisi DSM) ndio mtandao wa usafiri wa pili kwa ukubwa duniani. Usiniulize kuhusu Mwendokasi wetu. Treni, lina mabehewa kwa ajili ya wanawake tu, mara nyingi ni mabehewa matatu ya mwisho, na pia wanawake wanaruhusiwa kugombania na kuingia mabehewa ya abiria wote, wake kwa waume. Marufuku mwanaume kuingia behewa la wanawake!

  4. Uwanja wa ndege wa Indira Gandhi International Airport (IGIA) ni wa 4 kwa ubora duniani mpaka kufikia 2010, na wahindi wanaamini kwa sasa, uwanja huo ndio wa kwanza kwa ubora!

  5. Kwa idadi ya watu, New Delhi ina watu wanaokadiriwa kuwa zaidi ya 18m na hii inaufanya mji huu kuwa namba 6 kwa idadi ya watu!

  6. May mwaka 2014, New Delhi ulitajwa na (WHO) kuwa ndio Jiji lenye hewa chafu zaidi duniani.

  7. Kama huvuti sigara wala bangi, na ukawa unaishi New Delhi, uwepo wako pale ni sawa na kuvuta sigara 10 kwa siku, wanasema hii ni sawa na kupata kansa ndani ya mwezi mmoja! Kama unavuta piga hesabu mwenyewe!

  8. Msongamano wa Magari ndani ya New Delhi ni sawa sawa na msongamano wa Magari katika jiji la London nchini Uingereza! Kama Tanzania, New Delhi madereva wanaendesha wakiwa upande wa Kulia wa gari!

  9. Haijathibitika rasmi, lakini ukae ukijua New Delhi, madereva wanapenda kupiga honi za gari kupitiliza, karibia gari zote zimebandikwa sticker kwa nyuma HORN PLEASE! New Delhi pekeake ina Magari 7m mpaka kufikia 2014!

  10. Tanzania wanaita BAJAJ, kule New Delhi zinaitwa Autos. Na zipo nyingi sana, na nyingi zina rangi ya kijani na njano! Huenda wanatuenzi wa Tanzania!

  11. Wakazi wa New Delhi wanaitwa Delhite. Na wengi wao hawajui English. Wanapenda na ni wepesi kuwasaidia wageni kuwapa maelekezo, japokuwa wana uhakika hawaelewani lugha na pia hawaelewi anachosema mgeni.

  12. Ni ngumu kupata papuchi India, na hasa ukiwa mgeni, na hali ni mbaya zaidi ukiwa Mweusi. Mtaa maarufu kwa biashara ya papuchi Jijini New Delhi ni GB Road, cha kushangaza zaidi, madada poa wa mtaa huu wanakaba, wanaiba na kupora chocote alichokuja nacho mteja kuanzia, hela, simu, wallet, mikufu n.k.

    Police wanalijua vizuri eneo hili, na mara nyingi huvamia na kusomba kila waliemkuta hapo! Inakadiriwa kuwa, GB (Garstin Barstion) Rd ina machangu 10,000+ (zaidi ya elfu 10).
  13. Wanyama Mbwa na Ng'ombe wanaongoza kuzagaa mitaani, tena mitaa iliyo busy na yenye watu wengi kama vile Msimbazi kwa Kariakoo. Mara nyingi Ng'ombe huzurura pasi na mmiliki kuwepo. Mgeni anahitaji kuwa makini ili kuulizia wapi Nyama ya Ng'ombe inauzwa la sivyo unaweza kuingia matatani! Ng'ombe ni sehemu ya imani ktk ibada zao na kuna maeneo strictly sio tu haiuzwi, hata kuulizia ni mwiko!
  14. Kama unataka ustaarabu, baki na Tanzania yako, New Delhi kuna maeneo ustaarabu ni 0. New Delhi ni rahisi kabisa Dereva kupark gari pembeni na kuanza kukojoa ktk barabara iliyo busy mf Morogoro rd yetu. Hii inatokea mchana kweupeee! Kwa kifupi wahindi ni wachafu kwa maeneo mengi!
  15. Ahsante sana Lucknow Univ. Tembea uone! Soma uelimike!
View attachment 468845
Nimefika katika huu mji. Mengi ya uliyoandika ni sawia na hakika kabisa
 
Sio kuwakubali....tatizo gia wanazokuja nazo.
Afu kama unavyojua, sie ni kama wanyama tuko mbugani...tunawinda na kuwindwa
Tunatumia trick ya "nyoka"
Nikupe kisa kimoja. Wakati nipo shule pale New Delhi, nikawa nimezoena na wahindi wengi, wanachuo na lecturers.

Siku moja chuoni pale nikakutanishwa na Mhindi, ndg wa lecturer wangu. Mhindi yule katika maongezi yetu, alikuwa anatumia baadhi ya maneno ya Kiswahili.

Kumbe yule bwana amekaa Tanzania miaka mi4! Alikaa sana Arusha. Wacha ataje mitaa. Vitongoji. Hotel. Mabasi. Vyote vya Arusha.

Yule Mhindi akawa analazimisha urafiki, ukaribu na Mimi. Akafika point akanambia kwa shida yoyote ile, nimuambie yeye, na yeye atahakikisha sipati tabu yoyote ndani ya New Delhi. Nikaogopa.

Nikaogopa kwamba kwa maisha yetu Bongo, Mwanaume kumuambia Mwanaume mwenzie maneno kama hayo sio kitu kidogo. Ikabidi nianze kumkwepa. Nae akazidi kunfata fata. Nikimuuliza anachokitaka kwangu, anasema no, just friendship. Mmmh.

Ikabidi nimuambie wifi yako wa Kinaminibia niliekuwa nae class moja. Akanishauri turipot kwa uongozi wa chuo. Kituko. Kumbe bwana yule alizingua Tanzania ktk kampuni ya wahindi wenzie Arusha. Wakampiga chini. Viza sijui vibali vikaexpire. Akarudi India. Maisha India magumu. Analia usiku. Analia mchana. Kinachomliza ni Tanzania. Nimuunganishie mchongo wa kumrudisha Tanzania. Yaani alikuwa lazima arudi Tanzania.
 
Nimefika katika huu mji. Mengi ya uliyoandika ni sawia na hakika kabisa
Mkuu ulipata kutembelea yale masoko yao? Palika Bazaar? Nehru Place?
 
Nikupe kisa kimoja. Wakati nipo shule pale New Delhi, nikawa nimezoena na wahindi wengi, wanachuo na lecturers.

Siku moja chuoni pale nikakutanishwa na Mhindi, ndg wa lecturer wangu. Mhindi yule katika maongezi yetu, alikuwa anatumia baadhi ya maneno ya Kiswahili.

Kumbe yule bwana amekaa Tanzania miaka mi4! Alikaa sana Arusha. Wacha ataje mitaa. Vitongoji. Hotel. Mabasi. Vyote vya Arusha.

Yule Mhindi akawa analazimisha urafiki, ukaribu na Mimi. Akafika point akanambia kwa shida yoyote ile, nimuambie yeye, na yeye atahakikisha sipati tabu yoyote ndani ya New Delhi. Nikaogopa.

Nikaogopa kwamba kwa maisha yetu Bongo, Mwanaume kumuambia Mwanaume mwenzie maneno kama hayo sio kitu kidogo. Ikabidi nianze kumkwepa. Nae akazidi kunfata fata. Nikimuuliza anachokitaka kwangu, anasema no, just friendship. Mmmh.

Ikabidi nimuambie wifi yako wa Kinaminibia niliekuwa nae class moja. Akanishauri turipot kwa uongozi wa chuo. Kituko. Kumbe bwana yule alizingua Tanzania ktk kampuni ya wahindi wenzie Arusha. Wakampiga chini. Viza sijui vibali vikaexpire. Akarudi India. Maisha India magumu. Analia usiku. Analia mchana. Kinachomliza ni Tanzania. Nimuunganishie mchongo wa kumrudisha Tanzania. Yaani alikuwa lazima arudi Tanzania.
Dah!!
Ulikuwa unaanza kujipigia mdogo mdogo.
Ila kama una contact zake, ni -Pm nimsaidie kuwa wakala wake hapa Tz.
But unajua sisi watafutaji tunakutana na visanga vya kila aina...huyo atatulia tu akiingia kwenye 18 yangu mkuu.
Nje ya mada: Huyo m-namibia wako ndo permanent au alikuwa wa kukukausha baridi kwa wakati huo?

Ila Wahindi hawana ladha, sijui wa huku Dar...ila wa kule Njiro, hakuna kitu.
Labda kwa kuwa nao wanavuta cha Ara
 
Dah!!
Ulikuwa unaanza kujipigia mdogo mdogo.
Ila kama una contact zake, ni -Pm nimsaidie kuwa wakala wake hapa Tz.
But unajua sisi watafutaji tunakutana na visanga vya kila aina...huyo atatulia tu akiingia kwenye 18 yangu mkuu.
Nje ya mada: Huyo m-namibia wako ndo permanent au alikuwa wa kukukausha baridi kwa wakati huo?

Ila Wahindi hawana ladha, sijui wa huku Dar...ila wa kule Njiro, hakuna kitu.
Labda kwa kuwa nao wanavuta cha Ara
Paragraph yako ya mwisho nimecheka sana. Wewe sio mtu Mzuri. Yule Mhindi namba zake za simu nilishapoteza, lakini nina E-mails zake, ngoja nitakuchekia. Mnamibia ilikuwa wa kuvuta muda tu, shule iishe nirudi Bongo. Tulimalizana baada ya Graduation. Si unajua waafrika tumefeli ktk Distance love!
 
Paragraph yako ya mwisho nimecheka sana. Wewe sio mtu Mzuri. Yule Mhindi namba zake za simu nilishapoteza, lakini nina E-mails zake, ngoja nitakuchekia. Mnamibia ilikuwa wa kuvuta muda tu, shule iishe nirudi Bongo. Tulimalizana baada ya Graduation. Si unajua waafrika tumefeli ktk Distance love!
Hapo hapo....yaani hapo sijui kwa nini
Ila chanzo kikuu ni ninyi kuanzisha michepuko mkienda kikazi.

Ok...we cheki e-mail zake, twaweza wekeza.
Ila dada wa watu akajua kafika on point...kumbe.
Dhambi sana ulifanya...sie wanawake tunajijuaga.
 
Hapo hapo....yaani hapo sijui kwa nini
Ila chanzo kikuu ni ninyi kuanzisha michepuko mkienda kikazi.

Ok...we cheki e-mail zake, twaweza wekeza.
Ila dada wa watu akajua kafika on point...kumbe.
Dhambi sana ulifanya...sie wanawake tunajijuaga.
Hapana sikufanya dhambi. Mnamibia alinihitaji sana Mimi kuliko Mimi nilivomuhitaji, kweli nakuambia!
 
Indian women look so beautiful and attractive when young, but they tend to age terribly
Ukipewa mhindi mzee unaweza hata kukimbia dadeki
 
India tajiri ni tajiri kweli kweli. Maskini ni Maskini kweli kweli. Kuna maghorofa ya kufa mtu na kuna watu wanalala ktk vibanda vya mabox. Kuna wanaolala ktk viambaza. India kuna Guta zinabeba watu. Baiskeli zinabeba watu. Ndio nikasema TEMBEA UJIONEE.
Kama ile ya kwenye movie ya Mr bones hahahahhaa
 
Mkuu ulipata kutembelea yale masoko yao? Palika Bazaar? Nehru Place?
Nilifika Nehru place. Ila nilipita tu, kwa sababu kazi zangu hasa zilikuwa North East India, jimbo la Bihar na kidogo jimbo la Madhya Pradesh.
  1. Mbwa wamezagaa India mpaka kero, na hawana mwenyewe.
  2. Nyati wanafugwa kwa ajili ya maziwa, na wamenenepa sana wale nyati wao.
  3. Jamaa ni wachafu sana mitaani, taka kila kona.
  4. Wako vizuri sana kwenye miundombinu, mpaka vijijini
  5. Wanathamini SANA shule (elimu). Kila kona ni mabango ya tuisheni tu, tofauti na sisi tumejaza mabango ya waganga wanao boost nguvu za kiume!
 
Back
Top Bottom