Ni ngumu kupata papuchi India, na hasa ukiwa mgeni, na hali ni mbaya zaidi ukiwa Mweusi.
Aisee hii ni kweli, kuna mtoto wa ndugu yangu alikuwa anasoma huko India mambo ya uhandishi, wiki jana tumemzika: kisa ni kwamba alivyokuwa hapo India alipata demu wa kihindi, wahindi wakachukia walifika chumbani kwake (hostel) akiwa na roommate wake wakamtoa nje, wakamnyang'anya yule mwenzie simu, na yeye ni mtanzania, wakamnyonga kisha wakamrusha kutoa ghorofani hadi chini, yaani maiti ilikuwa inatisha, japo walimshonashona kichwa! kijana mbiiichii kazaliwa 1994!