Trust me hii ni kiki, diamond ana mapungufu mengi ila kwa kuchagua wanawake wenye sura nzuri na shape hajambo.

Zuchu sura hana ,shape hana hapana hii ni kiki diamond kaipanga.

Hamonise ka trend sana, sasa kaona atafute kiki aongelewe.

Kuna mtu anakubali ukweli huu?
Dada bakisha na akiba ya maneno
.
 
Kabisaa yaani akibeba mimba imekuba kwake mazima!atajuta kuzaliwa na ataona rangi zote!
Yaani Zuchu na akifanya masikhara mziki utaishia hapo!!

Hajajifunza yule kaka sijui ana nini maana sio kwa wanawake kujilengesha hukoo!!!
Pesa pesa pesa reymage
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom