Zari (or Jari) is an even thread traditionally made of fine gold or silver used in traditional Indian, Bangladeshi and Pakistani garments, especially as brocade in saris etc. This thread is woven into fabrics, primarily of silk, to make intricate patterns and elaborate designs of embroidery called zardozi. Zari was popularised during the Moghul era, the port of Surat was linked to the Meccan pilgrimage route which served as a major factor for re-introducing this ancient craft in India.
During the Vedic ages, the gold embroidery was associated with the grandeur and regal attire of gods, kings, and literary figures (gurus){as shown in the movies}.
Zari is the main decorative material in most silk saris and ghararas. It is also used in other garments made of silk, like lehengas (skirts), cholis (blouses), kurtas, and dhotis.
Inaweza ikawa sio jambo la kushangaza kwa nchi yetu, lakini ni kwanini kwenye mambo ya maana hawahudhurii mf. Mikutano ya Siasa na maandamano ya vyama vya upenzani, n.k?
TELEVISION YA TAIFA MNAFELI PAKUBWA SANA!
Anybody say something please.
This is the best couple that ever existed in Bongo flavour industry
Semaa Mondi nae vipi !! Kwani hiyo saa shing ngapi!?
Au anahamisha mjadala wa Saa ya Madame President.!?🤗🤗
Nifah p'se.. say whatever..
Hellow africa
Sikutegemea Zari kwenda element kuspend sio hazi yake yeye alitakiwa kwenda maeneo kama wavuvi kempu, karambezi, sea crif, cape town huko ndiko anaweza tumia pesa pale anagawa tu
Katika kanda ya Video iliotokea katika mtandao wa kijamii wa YouTube, diamond alitokea wazi na kuelezea ni kwanini alizungumza na mama watoto zari aka Boss Lady licha ya kuonyesha dalili ya kumtaka Nadia katika filamu inayozungumuziwa mtaani hivi sasa- Young Famous & African
Unaeza jionea mkanda...
Hatimaye tetesi zimekuwa kweli! Diva wa music Bongo Sukari, Zuchu anatoka na boss wake aliyemtoa kimuziki yaani Diamond Platnumz.
Jana wamenaswa Hyatt Regency wakijiachia full mahaba kiss and touch everywhere. Yasemekana anataka kumuoa[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]
Kabla ya kuwa na...
Zari amefichua miongoni mwa sababu zilizomfanya kumwacha staa wa bongo Diamond Platnumz ni kwa sababu ya kutokuwa mwaminifu mfululizo.
Anasema wasichana walikuwa wengi na katika baadhi ya matukio, kulikuwa na mimba zinazohusika.
Akizungumza wakati wa mahojiano ya wazi na Toke Makinwa, Zari...
Mwanasoshalaiti na mjasiriamali Zari Hassan amewakemea watu ambao wamekuwa wakimkosoa baada ya video inayoonyesha chupi aliyovalia kusambaa mitandoni.
Kwenye video hiyo ambayo ilirekodiwa wakati wa sherehe za kuadhimisha siku yake ya kuzaliwa, Zari anaonekana akiwa anasakata densi huku akiwa...
Haya basi mwanasoshaliti na mjasiriamali Zari Hassan ameweka wazi kwamba aliolewa mara moja katika maisha yake. Kulingana na Zari akiwa kwenye mahojiano na Bizz alisema kwamba ndoa yake ilikuwa kati yake na mumewe mwendazake Ivan Semwanga. Zari alifahamika sana baada ya kuwa mpenzi wake staa wa...
This is what I have been expecting from Zari , Sasa mastaa wabongo mtulie mjifunze maana ya reality show kwa Zari sio reality show zenu hizo fake za Instagram, can’t wait for this [emoji91]
Can’t wait for this , hii show itakua ni , wabongo mkae mkao wa kula mjifunze maana ya reality show sasa...
Ninachompendea Muna ana Tabia ya kujipendekeza kwa watu waliofanikiwa. Muna Siku hizi ka upgrade uchawa, kutoka kuwa mbeba mapochi wa wema, lulu hadi kuwa Karibu na bosslady Zari , kweli muna mtoto wa mjini anajua kutumia fursa, ana akili sana za biashara.
Tunaomjua muna wa miaka hiyo ambaye...
Msanii wa muziki Bongo, Gigy Money amefunguka na kudai kuwa ana mpango wa kuzaa na mtoto wa kwanza wa Zari The Bosslady.
Muimbaji huyo akipiga stori na SnS Tanzania (Simulizi na Sauti) amesema atafanya hivyo ili Zari aweze kumuheshimu kama mkwe wake.
"Sasa Zari, mimi ninachokuaidi kitu kimoja...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.