New Boko Haram video emerged

Acha upimbi wewe kasome huo uislam vyema kenge wewe...ALLAH ANAJISIFU KUWA MWONGO ALIYEPINDUKIA NA UGAIDI NDIO UMEWAPA USHINDI..wewe si kenge wa kwanza asiyejua uislam na mwenye majigambo kuwa anjua dini....tafura we have made victor by terror uone utapana nini na nini..?ndio maaa mpo kimya hamthubutu wakemea magaidi kwa kuchafua dini ..kazi ni kuwanyamazisha waliochoshwa na huo ugaidi wenu..kenge wewe..hata wewe kuchangia upotoshaji ni ugaidi kwa vipimo vya uislam..kuwaahadaa akafiri ili wasiwe pamoja huku magaidi wa kumwaga damuw akichanja mbuga ni dhawabu ktk uislam..vipi UONGO MTAKATIFU UMEISHIA WAPI?
 

Kumbe waliwateka ili wenzao waachiwe huru? na si kwa ajili ya kuwauza?

Hao ni POW.

Kimenuka!
 
Unataka kusema nini hapo? Kwani kuna ajabu Osama kufa ? Kweli makafiri mmelewa na hii dunia na ndo mana hata kifo mnakiogopa.Waislam tunajua kila nafsi itakufa na kwa Allah tutarudi. Na mwenye kuipigania dini ya Allah ndo mwenye heshima zaid kwake.

pole. tena pole sana.
hamuogopi kifo kwa kujitoa muhanga?
hata elimu ya dunia haiwasaidii
 

Pumba as usually.
 
Kawaulize wenzenu wa palestina wao ndio watakupa jibu sahihi kabisa.

Ungelielezea tu Wapalestina wana nini? Sina haja ya kwenda kuwauliza wao. annabrenda (myahudi mweusi) Miafrika ndivyo ilivyo.
 
Last edited by a moderator:
Kama boko haram hawapo financed na mataifa ya magharibi, basi wa kutatua huu mgogoro ni serikali ya Nigeria peke yake.
Otherwise ni sinema zile zile kama za September11 na Westgate.
 
Unajikomba kwa saudi arabia? Mbona hao ni madhalimu wenzenu zaman sana.Nambona tushawatangazia vita zaman hao
Mkuu subirini kichapo,sasa mbona mnajikomba kuanza kujipendekeza kuanzisha mazungumzo,ooh,tubadilishane! endeleeni kuwaficha moto unawafuata huko vichakani,kama mmezoea kuao bila kutoa mahari sasa hii itawatokea puani,bila kujali kwamba mnamfuiata jamaa yenu aliyeoa mtoto wa miaka 9 wala nini.Kama mkuu wenu osama alikutwa kama kinda la njiwa hao boko haram ni nini bwana?
 
Vitabu vya mungu tunavisoma lakini hatuvielewi kilichoandikwa ndio maana yanatokea haya,kama vitabu vya mungu vingeeleweka haya ya mabinti wala yasingetokea inasikitisha sana na kuumiza sana,kama ww unayesoma huu uzi una utimamu wa akili itakusononesha sana na utajiuliza kwann mabinti??? Tunashindwa kutafakari vitabu vya dini inavyopaswa tunasoma juu juu na hatutafakari kwa kina matokeo dini zinatumika vibaya sana,

Kwa waislam na dini zingine vitabu vya dini c vitabu vya hadithi za kawaida vinahitaji heshima yake tunajidanganya sana na mwisho wake hujuta.

Eee mungu wasaidie hao watekaji wawe na akili zao timamu kutambua kuwa dini c igizo.
 

[h=2]Break with Elijah Muhammad[/h]Philosophical differences with King were one thing; a rupture with Elijah Muhammad proved much more traumatic. In 1963, Malcolm X became deeply disillusioned when he learned that his hero and mentor had violated many of his own teachings, most flagrantly by carrying on many extramarital affairs; Muhammad had, in fact, fathered several children out of wedlock. Malcolm's feelings of betrayal, combined with Muhammad's anger over Malcolm's insensitive comments regarding the assassination of President John F. Kennedy, led Malcolm X to leave the Nation of Islam in 1964.
That same year, Malcolm X embarked on an extended trip through North Africa and the Middle East. The journey proved to be both a political and spiritual turning point in his life. He learned to place the American Civil Rights Movement within the context of a global anti-colonial struggle, embracing socialism and pan-Africanism. Malcolm X also made the Hajj, the traditional Muslim pilgrimage to Mecca, Saudi Arabia, during which he converted to traditional Islam and again changed his name, this time to El-Hajj Malik El-Shabazz.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…