New Boko Haram video emerged

New Boko Haram video emerged

Yaani hawa boko ni wapuuzi sana. Inashangaza kuona wana hadi mafundi wa makanzu huko huko maporini. Jwtz wasaidie hawa watoto.
 
Piga ua hapo kupigwa miti baadhi ya hao mabinti ni suala la lazima na sio ombi.Hata nyie mnaosema sijui nini na nini mngekuwa ndio hao waasi mngewapiga miti vile vile.
 
Sipati picha nafsi za \baadhi ya wazazi zikavyokuw akwasasa baada ya kuona picha za watoto wakiwa salama, japo ni kifungoni ila kuwepo kwao hai ni jambo muhimu zaidi naamini.

Hakika huyu jamaa anatuchafua tu sisi na #DiniYetu
 
Kwanini magaidi wakisikia MOSSAD wameingia mahali wanatishika sana?sasa hivi wanataka kubadilishana mateka wakati mara ya kwanza walisema wanawauza
tatizo unasema kwa ushabiki.hao waisrael wameingia leo.suala la kubadilisha na wafungwa wa boko lipo tangu juzi,unabisha sema nikupe link.
 
sifikirii kama wataua wamefanyiwa hivyo labda mmoja au wawiwli lakini sidhani kama itakua imetokea kufanyiwa mass rap. itakua ni unyama wa aina yake kabisa

Kama watekaji walisema kuwa "watawauza" watashindwa nini kuwabaka?
 
mara chache sana watekwaji wa aina hii kuuwawa kirahisi, watekaji wanakuwa wanalenga kudai mambo fulani fulani.

Hizo ni issue(s) za kutengenezwa, kwani dalii hizo hapo kwenu haziknekani ...!?

Kila nchi inaingizwa mkenge kwa namna stahiki yake.
 
Yaani hawa boko ni wapuuzi sana. Inashangaza kuona wana hadi mafundi wa makanzu huko huko maporini. Jwtz wasaidie hawa watoto.

Weye muandishi na kitaaluma chako wataka tuaminisha kuwa hujui ni picha/ imani/ lengo gani latakiwa kwendelea ziharibu nchi kupitia vita vya kidini ......!?

Hapo MAKAFIRI pia wamo wangi mno tena wanazidi WAISLAAMU, si mageni kwa wenye kijitambua.

Hiyo ni sawa na Story ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar, ila sasa ukweli wake wananchi na wapenda amani bila kusahau mabadiliko wameanza kuufichua UKWELI ulokuwa umefichwa muda wa myaka takriban 50.

Na ntarejea ....
 
Matukio kama haya omba na uendelee kuyasikia kwa majirani zako tu....hii inanikumbusha kaka zangu waliofukiwa kwenye machimbo kule shinyanga machungu yake ni zaidi ya kuteswa na kuachiwa huru....al in al yote ni mateso tu...Inshaallah Allah atatia wepesi kwa hili
 
kwani walikuwa wakristo tu au mchanganyiko? yaani hawa boko haramu jamani wasije wakawaua tu
 
Boko Haram ni haramu kweli. wawapelekee kitimoto hao!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom