New Boko Haram video emerged

New Boko Haram video emerged

i have 😕 with that up right logo of BOKO HARAM guns with Koran whats does it mean???
 
Ngoja obama afanye vitu vyake! Boko haramu wanatumia vibaya dini ya Allah..
 
Hicho ndicho kilichotokea kwa wadada hao....wamesilimishwa na kupewa nguo za heshima za kiislam(majalabib)..na inasemekana wanapiga swala tano kama kawaida....haya yamethibitishwa na video iliyorushwa hewani na kundi hilo kupitia kituo cha BBC....kwa maelezo zaidi tembelea BBC swahili.com ujionee mwenyewe.
==========================================


140512101658_nigeria_boko_haram_abducted_girls_512x288_getty_nocredit.jpg

Wasichana ambao kundi la Boko Haram liliwateka nyara

Kiongozi wa kundi la Boko Haram Abubakar Shekahu amesema kuwa atawaachilia huru wasichana waliotekwa nyara iwapo tu wapiganaji wa kundi hilo wanaozuiliwa na serikali ya Nigeria wataachiliwa huru.
Katika kanda mpya iliyotolewa na kundi hilo, kiongozi huyo, amesema kuwa wasichana hao waliweza kusilimu katika kipindi cha wiki nne zilizopita tangu watekwe nyara.
Kanda hiyo inaonyesha zaidi ya wanawake miamoja wakiwa wamevalia hijabu na kuswali. Abubaka Shekau anasema kuwa wanawake hao ni wasichana waliotekwa nyara na kundi hilo.
Walitekwa nyara kutoka katika shule yao mjini Chibok, Kaskazini Mashariki mwa nchi hiyo
Rais wa Ufaransa amejitolea kuwa mwenyeji wa mkutano utakaotafuta njia za kupambana na Boko Haram.
Chanzo:BBC
 
Tuombe Mungu wapatikane wakiwa hai na wasifanyiwe vitendo viovu.
 
Hata kama wameslim si kwa matakwa yao bali kwa kulazimishwa
 
Hilo swali la kwanza umeuliza kichwa chako kikiwa kimetengana na mwili? Hiari gani chini ya mateso na vitisho vya kuuawa? We uko wapii?

Mbona matusi tena, kiongozi wa Boko H kajigamba kuwa na wasichana wote wasilimu, sasa kuuliza kama wamefanya hivyo kwa hiari ni wendawazimu?
 
Kwanini magaidi wakisikia MOSSAD wameingia mahali wanatishika sana?sasa hivi wanataka kubadilishana mateka wakati mara ya kwanza walisema wanawauza
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom