Ndikwega
R I P
- Feb 1, 2012
- 5,979
- 5,529
na ndo masubiri hapooooooooo......!!!!! Maana nasikia ujuo wao umeleta sura mpya....
Israel wanatisha. Hawa Boko haramu ni kuangamiza kabisa.
na ndo masubiri hapooooooooo......!!!!! Maana nasikia ujuo wao umeleta sura mpya....
Kuwa hai si kuwa salama......watott wale wamebakwa sana!
Chanzo:BBC
![]()
Wasichana ambao kundi la Boko Haram liliwateka nyara
Kiongozi wa kundi la Boko Haram Abubakar Shekahu amesema kuwa atawaachilia huru wasichana waliotekwa nyara iwapo tu wapiganaji wa kundi hilo wanaozuiliwa na serikali ya Nigeria wataachiliwa huru.
Katika kanda mpya iliyotolewa na kundi hilo, kiongozi huyo, amesema kuwa wasichana hao waliweza kusilimu katika kipindi cha wiki nne zilizopita tangu watekwe nyara.
Kanda hiyo inaonyesha zaidi ya wanawake miamoja wakiwa wamevalia hijabu na kuswali. Abubaka Shekau anasema kuwa wanawake hao ni wasichana waliotekwa nyara na kundi hilo.
Walitekwa nyara kutoka katika shule yao mjini Chibok, Kaskazini Mashariki mwa nchi hiyo
Rais wa Ufaransa amejitolea kuwa mwenyeji wa mkutano utakaotafuta njia za kupambana na Boko Haram.
Kwa wanaotaka kuona pic ya mateka.
https://mobile.twitter.com/BBCBreaking/status/465805744638816257?p=v
Kuwa hai si kuwa salama......watott wale wamebakwa sana!
Hilo swali la kwanza umeuliza kichwa chako kikiwa kimetengana na mwili? Hiari gani chini ya mateso na vitisho vya kuuawa? We uko wapii?
wanasura za huzuni , wapo peku! jamani wanatia huruma sana! Tumuombe Mungu awanusuru huko walipo...
Kuwa hai si kuwa salama......watott wale wamebakwa sana!