Ndugu yangu unapoamua kusema kitu au kuposti jambo kama hili kwanza naomba ulifanyie uchunguzi usikurupuke.
Hao waliomfanyia huyo mwanamke sio boko haramu usieasingizie na huyo aliepigwa mawe hio ilikua ni bora kwa kosa alilolifanya na ndio hakali kwake na hakuonewa nami naunga mkono hao boko haramu ni waislamu na km wamemuuwa mwanamke basi na huyo mwanamke ni muislamu mwenziwao
Kuna aya za kuruani katika hio video zinasomwa na kujirejea rejea unazijua maana yake tafsi yake iko hivi mungu alietuumba anasema:- " msikaribie zina hakika ya zina ni uchafu na mtakopomshuhudia mtu kazini akiwa mwanamke ama mwanamme na bado hajaolewa basi wapigeni bakora mia kila mmoja na usikuingieni imani kwao kwa kuacha kutekeleza amri ya mungu na kama 1 au wote wameshawahi kuingia katika ndoa basi wapigeni mawe hadi kufa kwao"
Unapohukumiwa adhabu hii na walimwengu wenzio basi kwa mungu hutohukumiwa na kuulizwa kwa dhambi hio ila utahukumiwa kwa dhambi nyengine.
Na mtu ili ahukumiwe kupigwa mikwajua au mawe lazima ashuhudiwe na watu 4 waliokua na akili timamau ama akiri kwa mdomo wake kua amezini ndio ahukumiwe tena akiri mara 4 kua amefanya
Makafiri hawahusiki na adhabu hii ni kwa waumini tuuu (WAISLAMU)
Sent from my HTC Desire S using JamiiForums mobile app