New Boko Haram video emerged

New Boko Haram video emerged

Mbakaji mkubwa wee unaposema lazima watakuwa wamebakwa una maana gani nyie ndo mnalala na wenenu angalia mimacho yake."nyimbo mbaya halelewi mwana"

Watu wenye busara washaelewa msimamo wako katika hili zahma.......hutaki Boko Haram wakosolewe!
 
Watu wenye busara washaelewa msimamo wako katika hili zahma.......hutaki Boko Haram wakosolewe!

mbona hawa hamwakosoi?

www.theblaze.com/stories/2014/03/05/pope-francis-reportedly-hints-that-catholic-church-could-tolerate-some-gay-civil-unions/
 
Ndugu yangu unapoamua kusema kitu au kuposti jambo kama hili kwanza naomba ulifanyie uchunguzi usikurupuke.

Hao waliomfanyia huyo mwanamke sio boko haramu usieasingizie na huyo aliepigwa mawe hio ilikua ni bora kwa kosa alilolifanya na ndio hakali kwake na hakuonewa nami naunga mkono hao boko haramu ni waislamu na km wamemuuwa mwanamke basi na huyo mwanamke ni muislamu mwenziwao

Kuna aya za kuruani katika hio video zinasomwa na kujirejea rejea unazijua maana yake tafsi yake iko hivi mungu alietuumba anasema:- " msikaribie zina hakika ya zina ni uchafu na mtakopomshuhudia mtu kazini akiwa mwanamke ama mwanamme na bado hajaolewa basi wapigeni bakora mia kila mmoja na usikuingieni imani kwao kwa kuacha kutekeleza amri ya mungu na kama 1 au wote wameshawahi kuingia katika ndoa basi wapigeni mawe hadi kufa kwao"

Unapohukumiwa adhabu hii na walimwengu wenzio basi kwa mungu hutohukumiwa na kuulizwa kwa dhambi hio ila utahukumiwa kwa dhambi nyengine.

Na mtu ili ahukumiwe kupigwa mikwajua au mawe lazima ashuhudiwe na watu 4 waliokua na akili timamau ama akiri kwa mdomo wake kua amezini ndio ahukumiwe tena akiri mara 4 kua amefanya

Makafiri hawahusiki na adhabu hii ni kwa waumini tuuu (WAISLAMU)

Sent from my HTC Desire S using JamiiForums mobile app
Hv unafahamu ni watu wangapi dunian wanahukumiwa kupigwa mawe had kufa kimakosa...namaanisha mara nyingine hao mashahid wa4 huwa si wakwel au kutokana na sababu moja au nyingine mf chuki wanaeza kuagree kuwa mtu amezini lakin kumbe isiwe kweli....mara nyingine watu wanapigwa mawe had kufa alaf mwisho wa siku inagundulika kuwa kumbe walikufa kimakosa....na pind inapugundulika hvyo tear inakuwa mtu amefariki na hakuna uezekano wa kuurudisha uhai wake....kutaka kufamu au kuamin ninachokisema ukaitafute Movie inayoitwa THE STONING OF SOLAYA ni movie abayo imebase kwenye true story....ni mwandishi aliyaona yaliyotokea na kuamua kuitungia movie ile situation yote....itafte utaelewa namaanisha nini
 
Dini ya Mnyanzi MUungu......Dini ya aman........Inamthamini saaana mwanamke!!!!!!!!!!!!!!!??????????
 
daaaah serikali fungia viroba tafadhali hali ya wanainchi inazidi kua mbayaaa kimawazo. :A S cry:
 
Hv unafahamu ni watu wangapi dunian wanahukumiwa kupigwa mawe had kufa kimakosa...namaanisha mara nyingine hao mashahid wa4 huwa si wakwel au kutokana na sababu moja au nyingine mf chuki wanaeza kuagree kuwa mtu amezini lakin kumbe isiwe kweli....mara nyingine watu wanapigwa mawe had kufa alaf mwisho wa siku inagundulika kuwa kumbe walikufa kimakosa....na pind inapugundulika hvyo tear inakuwa mtu amefariki na hakuna uezekano wa kuurudisha uhai wake....kutaka kufamu au kuamin ninachokisema ukaitafute Movie inayoitwa THE STONING OF SOLAYA ni movie abayo imebase kwenye true story....ni mwandishi aliyaona yaliyotokea na kuamua kuitungia movie ile situation yote....itafte utaelewa namaanisha nini
Yesu alipiga chini huo ushenzi uliokuwa unaendekezwa na wayahudi: Luka 11.37-54....Malaya wakuwa na wanunuzi wakubwa wa malaya wanaishi ktk nchi za kifalme za kiislam.Wana mfumo wa ku procure malaya unatoa ajira kubwa sana kwa wakusanyajai malaya.NI mfumo wa kuua masikini.Wanawapa wenginge sheria wasizoweza zifuata.Ni km CCM wanavyohukumu masikini ktk wizi wakati wanawalinda na kuwatukuza wezi wanaoibia watu wengi kwa mara moja kwa kuiba hazina ya nchi. Wote wamelaaniwa wenye dini hii na serikali zilizo km ya ccm.I LOVE CHRISTIANITY MY LORD JESUS
 
nimeunganisha na tukio la kutekwa kwa mabinti ambalo lilitokea mwaka huu mkuu.
Don't take it too emmotional Mr. moderator.

Hata mimi nimeunganisha na tukio la kutekwa kwa mabinti ambalo limetokea mwaka huu, sasa tatizo liko wapi?
 
Hawa thelathini ulowaonesha hapa ni wako ww na mtume wako Paulo

Ha ha ha ha hakika wewe utakua sio wa allah na haupiganii dini ya mnyaaazi muungu ,unakataa mabikra!Hivi wanawake nao wakitetea dini yenu wanapewa nini ???
 
Yesu alipiga chini huo ushenzi uliokuwa unaendekezwa na wayahudi: Luka 11.37-54....Malaya wakuwa na wanunuzi wakubwa wa malaya wanaishi ktk nchi za kifalme za kiislam.Wana mfumo wa ku procure malaya unatoa ajira kubwa sana kwa wakusanyajai malaya.NI mfumo wa kuua masikini.Wanawapa wenginge sheria wasizoweza zifuata.Ni km CCM wanavyohukumu masikini ktk wizi wakati wanawalinda na kuwatukuza wezi wanaoibia watu wengi kwa mara moja kwa kuiba hazina ya nchi. Wote wamelaaniwa wenye dini hii na serikali zilizo km ya ccm.I LOVE CHRISTIANITY MY LORD JESUS

Ni kweli wafalme na wafanyabiashara wakubwa wa kiharabu ndo kamchezo kao to procure girls around the globe.

http://www.gq-magazine.co.uk/girls/...nka-radakovich-on-sex-in-prince-jefris-harems
 
Ha ha ha ha hakika wewe utakua sio wa allah na haupiganii dini ya mnyaaazi muungu ,unakataa mabikra!Hivi wanawake nao wakitetea dini yenu wanapewa nini ???

"Na wala msiwatukanie makafiri dini zao wasije kukutukania MUNGU wenu kwani hakika wao wapo katika upotevu na nyinyi mko katika haki" sasa nadhani hiki ulichokiweka nadhan ni katika picha mnazoabudu makanisani mwenu
 
"Na wala msiwatukanie makafiri dini zao wasije kukutukania MUNGU wenu kwani hakika wao wapo katika upotevu na nyinyi mko katika haki" sasa nadhani hiki ulichokiweka nadhan ni katika picha mnazoabudu makanisani mwenu

Haujajibu hoja
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom