New Boko Haram video emerged

New Boko Haram video emerged

Alafu wenyewe halisi watakuambia uislamu umemtukuza sana mwanamke na kumuweka katika nafasi ya juu. Kutukuzwa kwenyewe ndio huku?
 
mnafiki mkubwa wewe. unatetea watu kupigwa mawe hadi kufa?? huyo Mungu wenu kama ndio anafundisha hivyo ni heri kusiwe na Mungu. watu na akili zenu mnafundishwa kubehave kama mbuzi.
So many evils are done in the name of God.
 
Ndugu yangu unapoamua kusema kitu au kuposti jambo kama hili kwanza naomba ulifanyie uchunguzi usikurupuke.

Hao waliomfanyia huyo mwanamke sio boko haramu usieasingizie na huyo aliepigwa mawe hio ilikua ni bora kwa kosa alilolifanya na ndio hakali kwake na hakuonewa nami naunga mkono hao boko haramu ni waislamu na km wamemuuwa mwanamke basi na huyo mwanamke ni muislamu mwenziwao

Kuna aya za kuruani katika hio video zinasomwa na kujirejea rejea unazijua maana yake tafsi yake iko hivi mungu alietuumba anasema:- " msikaribie zina hakika ya zina ni uchafu na mtakopomshuhudia mtu kazini akiwa mwanamke ama mwanamme na bado hajaolewa basi wapigeni bakora mia kila mmoja na usikuingieni imani kwao kwa kuacha kutekeleza amri ya mungu na kama 1 au wote wameshawahi kuingia katika ndoa basi wapigeni mawe hadi kufa kwao"

Unapohukumiwa adhabu hii na walimwengu wenzio basi kwa mungu hutohukumiwa na kuulizwa kwa dhambi hio ila utahukumiwa kwa dhambi nyengine.

Na mtu ili ahukumiwe kupigwa mikwajua au mawe lazima ashuhudiwe na watu 4 waliokua na akili timamau ama akiri kwa mdomo wake kua amezini ndio ahukumiwe tena akiri mara 4 kua amefanya

Makafiri hawahusiki na adhabu hii ni kwa waumini tuuu (WAISLAMU)

Sent from my HTC Desire S using JamiiForums mobile app

Uslsmu bwana,sheria za kijinga kabisa hizi,etu ukishuhudia mtu kazni piga mawe hadi afe.!kwenye dunia ya nani.?
 
Wafahamu Mwamedi alisema nini kuhusu Kafiri? yule anayemuita mwenzie kafiri ndie kafiri... Waislam wanaabudu Mungu Mwezi nadhani ndio haswa wahusika mwamedi alicheza mchezo mchafu kuwatega waumini ni trick za shetani tu

mwamedi ndo nani?
 
Kiongozi wa kundi la Boko Haram Abubakar Shekahu amesema kuwa atawaachilia huru wasichana waliotekwa nyara iwapo tu wapiganaji wa kundi hilo wanaozuiliwa na serikali ya Nigeria wataachiliwa huru.
Katika kanda mpya iliyotolewa na kundi hilo, kiongozi huyo, amesema kuwa wasichana hao waliweza kusilimu katika kipindi cha wiki nne zilizopita tangu watekwe nyara.
Kanda hiyo inaonyesha zaidi ya wanawake miamoja wakiwa wamevalia hijabu na kuswali. Abubaka Shekau anasema kuwa wanawake hao ni wasichana waliotekwa nyara na kundi hilo

1. Je, ni kweli wasichana hao wamesilimu kwa hiari yao?
2. Au ndio ile dhana ya dini ya ncha ya upanga imerudi!?
=========================================================



article-2626019-1DC5502500000578-136_634x353.jpg
140512101658_nigeria_boko_haram_abducted_girls_512x288_getty_nocredit.jpg

Wasichana ambao kundi la Boko Haram liliwateka nyara

Kiongozi wa kundi la Boko Haram Abubakar Shekahu amesema kuwa atawaachilia huru wasichana waliotekwa nyara iwapo tu wapiganaji wa kundi hilo wanaozuiliwa na serikali ya Nigeria wataachiliwa huru.
Katika kanda mpya iliyotolewa na kundi hilo, kiongozi huyo, amesema kuwa wasichana hao waliweza kusilimu katika kipindi cha wiki nne zilizopita tangu watekwe nyara.
Kanda hiyo inaonyesha zaidi ya wanawake miamoja wakiwa wamevalia hijabu na kuswali. Abubaka Shekau anasema kuwa wanawake hao ni wasichana waliotekwa nyara na kundi hilo.
Walitekwa nyara kutoka katika shule yao mjini Chibok, Kaskazini Mashariki mwa nchi hiyo
Rais wa Ufaransa amejitolea kuwa mwenyeji wa mkutano utakaotafuta njia za kupambana na Boko Haram
article-2626019-1DC5526500000578-222_634x353.jpg
.
Chanzo:BBC
 
ukweli utajulikana. Kihoro kimeanza kuwaingia baada Marekani na Ufaransa kuingilia kati nini?
 
Kiongozi wa kundi la Boko Haram Abubakar Shekahu amesema kuwa atawaachilia huru wasichana waliotekwa nyara iwapo tu wapiganaji wa kundi hilo wanaozuiliwa na serikali ya Nigeria wataachiliwa huru.
Katika kanda mpya iliyotolewa na kundi hilo, kiongozi huyo, amesema kuwa wasichana hao waliweza kusilimu katika kipindi cha wiki nne zilizopita tangu watekwe nyara.
Kanda hiyo inaonyesha zaidi ya wanawake miamoja wakiwa wamevalia hijabu na kuswali. Abubaka Shekau anasema kuwa wanawake hao ni wasichana waliotekwa nyara na kundi hilo

1. Je, ni kweli wasichana hao wamesilimu kwa hiari yao?
2. Au ndio ile dhana ya dini ya ncha ya upanga imerudi!?
Maswali yako hayana maana yeyote tunachoangalia na kutamani ni kuona hao mabinti wanaachiwa wakiwa salama
 
Kiongozi wa kundi la Boko Haram Abubakar Shekahu amesema kuwa atawaachilia huru wasichana waliotekwa nyara iwapo tu wapiganaji wa kundi hilo wanaozuiliwa na serikali ya Nigeria wataachiliwa huru.
Katika kanda mpya iliyotolewa na kundi hilo, kiongozi huyo, amesema kuwa wasichana hao waliweza kusilimu katika kipindi cha wiki nne zilizopita tangu watekwe nyara.
Kanda hiyo inaonyesha zaidi ya wanawake miamoja wakiwa wamevalia hijabu na kuswali. Abubaka Shekau anasema kuwa wanawake hao ni wasichana waliotekwa nyara na kundi hilo

1. Je, ni kweli wasichana hao wamesilimu kwa hiari yao?
2. Au ndio ile dhana ya dini ya ncha ya upanga imerudi!?

ni ni kulazimishwa tuu, hivi kuna madhehebu mangapi ya uislam? hivi Tanzania wapo pia waislam wa namna hiyo ya boko haram? mbona wanawake wa kiislam wanasoma tuu vizuri tz
 
India na Israel nao wameongeza nguvu katika kuwatafuta nankuwaokoa wasichana waliotekwa.
Chanzo bbcswahili.

Kwanini asioneshe walipo!!!!!!!
Hawajipendi!!!!!?!!
 
BREAKING NEWS: Boko Haram release chilling videos of missing Nigerian schoolgirls and reveal they have all been forced to convert to Islam and will only be released if Islamist prisoners are freed


  • The schoolgirls captured by Boko Haram have been paraded on video
  • More than 200 girls have been abducted by Islamist militants Boko Haram
  • Governor of state where they were seized claims to know where they are
  • Kashim Shettima said he'd received reports of sightings of the girls
  • Archbishop of Canterbury calls for negotiations with the terrorist group
By TED THORNHILL and JACK DOYLE and JASON GROVES
PUBLISHED: 07:02 GMT, 12 May 2014 | UPDATED: 10:47 GMT, 12 May 2014
427 shares
6
View
comments


The schoolgirls kidnapped by Islamic militant group Boko Haram have been paraded on video.
The terror group said all of them had been converted to Islam while being held and all were shown wearing headscarfs.

The group's leader said that it will release them in exchange for militant prisoners being freed.

Scroll down for video

article-2626019-1DC5502500000578-136_634x353.jpg


+19

Chilling: The schoolgirls were paraded on video by Boko Haram

article-2626019-1DC541F400000578-653_634x286.jpg

Captured: The video shows the girls wearing the full-length hijab and praying in an undisclosed rural location

Missing schoolgirls footage reveals they have converted to Islam

video-undefined-1DC5812F00000578-570_636x358.jpg







article-2626019-1DC548F900000578-741_634x316.jpg


+19

Deal: Boko Haram said the schoolgirls would not be released until all militant prisoners were freed
article-2626019-1DBBA15500000578-184_634x415.jpg


+19

The suspected leader of the Nigerian Islamist group, Imam Abu Muhammad Ibn Muhammad Abubakar Ash Shekawi, also known as Abubakar Shekau, at an undisclosed location in Nigeria


article-2626019-1DC5526500000578-222_634x353.jpg


+19

Extremist group Boko Haram seized 276 girls who were taking exams at a school in Borno's north-eastern village of Chibok on April 14

article-2626019-1DC551E600000578-703_634x355.jpg


+19

The flamboyant leader of the terror group addresses the camera, offering Nigerian authorities a deal







Some girls on the 17-minute-long video, which was obtained by news agency AFP, spoke to camera, and looked extremely nervous.

The video, which appeared to show around 100 girls, was aired after the governor of the Nigerian state from where the schoolgirls were kidnapped said that he knew where some of them are being held.
Kashim Shettima, the Governor of Borno, said that he'd received reports of sightings of the girls and had passed on this information to the military.
Extremist group Boko Haram seized 276 girls who were taking exams at a school in Borno's north-eastern village of Chibok on April 14. Some managed to escape, but around 200 remain missing.
Mr Shettima told the
BBC: ‘We've got reports of them being sighted in some locations – which we have conveyed to the relevant military authorities, for them to cross-check, verify and get additional information on the accurate location of the daughters.'
His comments came as the Archbishop of Canterbury, Justin Welby, called for negotiations with the terrorist group over the fate of the missing girls.
The Archbishop, who has acted as a hostage negotiator in Nigeria on behalf of the Church in the past, said the girls were at ‘colossal' risk.
‘They are in the hands of a very disparate group which is extremely irrational and difficult to deal with – and utterly merciless,' he told BBC Radio Four's The World This Weekend programme.
article-2626019-1DC4746300000578-595_634x389.jpg


+19

Borno state Governor Kashim Shettima said that he'd received reports of sightings of schoolgirls kidnapped by extremist group Boko Haram

article-2626019-18D7997E00000578-462_634x409.jpg


+19

Talks: The Archbishop of Canterbury Justin Welby has called for negotiations with Boko Haram



article-2625817-1DBE051000000578-980_634x517.jpg


+19

Support: David Cameron and CNN's Christiane Amanpour with the Twitter campaign's hashtag


article-2626019-1DC4A97000000578-257_634x533.jpg


+19

Outrage: Boko Haram seized 276 girls who were taking exams at a school in Borno's north-eastern village of Chibok on April 14


article-2625817-1DA89BCE00000578-295_634x416.jpg


+19

Michelle Obama shared this photo of herself along with the caption 'Our prayers are with the missing Nigerian girls and their families'

The Archbishop said he had negotiated in the past with a predecessor group of Boko Haram and suggested it might be ‘possible' to strike a deal – although he warned it was ‘questionable' who was in charge of the group.

More...


  • On the border of war: The displaced and the desperadoes living on the fringes of Syria's bloodshed
  • One dead and six injured including seven-year-old boy after gunman opened fire at a toddler's birthday party

He added: ‘You have a very, very difficult inner core (of Boko Haram) and I think negotiations there are extremely complicated, though it needs to be tried.
'And then it goes out and out in different layers of commitment and understanding and involvement. There needs to be active negotiation and contact with all those different layers.'
The Archbishop leads the Anglican communion worldwide, which has about 18 million members in Nigeria, making it the second largest Christian church.


article-2625817-1DA8C16400000578-565_306x423.jpg


+19


article-2625817-1DA8A59D00000578-145_306x423.jpg


+19



Amy Poehler (right) and Malala Yousafzai (left) tweeted their support for the Bring Back Our Girls campaign

Meanwhile, Prime Minister David Cameron has joined a Twitter campaign aimed at encouraging the return of the schoolgirls.
The PM followed Michelle Obama and celebrities including Cara Delevingne by holding up a sign saying #Bring Back Our Girls as he appeared on the Andrew Marr show on Sunday morning.
Mr Cameron said the government would do ‘what we can' to rescue more than 200 girls abducted by Islamist militants Boko Haram.


article-2622999-1DA8BB1D00000578-499_634x205.jpg

Hilary Clinton was among those who tweeted in support of the campaign, which encourages military intervention to recover the girls who were kidnapped by Boko Haram rebels on April 14

But he indicated military action was not imminent, saying Britain cannot just ‘pile in and do whatever we'd like'.
Mr Cameron said he had spoken to Nigerian president Goodluck Jonathan to offer assistance and confirmed counter-terrorism and intelligence experts are on the ground with the Americans.
‘We stand ready to do anything more that the Nigerians would want,' he said.
But he also pointed out the practical difficulties of any rescue operation. ‘It's immensely complicated because they are probably in this deep area of jungle that is three times the size of Wales,' he said.
The Twitter campaign yesterday drew support from the Pope, who wrote on the site: ‘Let us all join in prayer for the immediate release of the schoolgirls kidnapped in Nigeria. #BringBackOurGirls.'
Christiane Amanpour, a reporter with CNN, asked the PM to join the campaign as she sat with him on the sofa.
She praised the campaign which she said was ‘really getting to the people in Nigeria' but said she worried its bubble might burst with nothing concrete having been done.
There are fears that the schoolgirls have been split up into different groups, taken across the border into neighbouring countries and may be sold on as sex slaves.
Yesterday, amid further kidnappings and a bomb attack on a bridge, one teenage girl who escaped from the group said the kidnapping was ‘too terrifying for words.'
Science student Sarah Lawan, 19, described how the girls were taken from their school before dawn and forced into a truck.
When they got down she and a friend ran off.
Abubakar Shekau, the leader of Boko Haram said last week he would sell the remaining captives as slaves for as little as £7.
Boko Haram has killed more than 1,500 people this year as it steps up its campaign of violence. The name of the groups means ‘Western education is forbidden'.

Anne Hathaway rouses 'Bring Back Our Girls' rally in Los Angeles

video-undefined-1DAEE80C00000578-506_636x358.jpg







article-2625817-1DAA5A4300000578-425_306x423.jpg


+19


article-2625817-1DAA541400000578-362_306x423.jpg


+19



Alex Chung (left) and Leona Lewis (right) have also joined the campaign by handwriting the messages



article-2622999-1DA8A5A500000578-739_634x354.jpg


+19

Kevin Frazier and Thea Andrews, co-hosts of The Insider, shared this photo via Twitter


article-2625817-1DBB98E300000578-515_634x626.jpg


+19

Support: Cara Delevingne holds up a sign with the hashtag #bringbackourgirls

Mrs Obama said she and the President were ‘outraged and heartbroken' over the abduction.
‘In these girls, Barack and I see our own daughters,' she said, referring to Malia, 15, and Sasha, 12.
‘We see their hopes, their dreams and we can only imagine the anguish their parents are feeling right now.'
Nigeria's President Goodluck Jonathan is under intense pressure to act, as he faces a growing threat from militants.
article-0-1D9622CB00000578-650_634x403.jpg


+19

Demonstration: Women protest outside Nigeria's parliament in Abuja, trying to prompt officials to bring back the schoolgirls abducted by Islamist militants, Boko Haram
article-0-1D801D7800000578-419_634x419.jpg


+19


Anger: Another woman holds a placard at a demonstration in Lagos, Nigeria, pleading for the return of the kidnapped children

article-0-1D96079300000578-863_634x400.jpg


+19


Militant: The leader of Boko Haram, Abubakar Shekau, vows to sell the hundreds of schoolgirls kidnapped in northern Nigeria for as little as £7 during a video message
Yesterday Boko Haram was blamed for a bridge blowing up and for further kidnappings.
Last week the Mail revealed British Special Forces were on standby to help rescue the girls.
That was despite resistance among senior military personnel to putting boots on the ground.


Read more:
Boko Haram release chilling videos of missing Nigerian schoolgirls and reveal they have all been forced to convert to Islam and will only be released if Islamist prisoners are freed | Mail Online
Follow us:
@MailOnline on Twitter | DailyMail on Facebook
 
Kiongozi wa kundi la Boko Haram Abubakar Shekahu amesema kuwa atawaachilia huru wasichana waliotekwa nyara iwapo tu wapiganaji wa kundi hilo wanaozuiliwa na serikali ya Nigeria wataachiliwa huru.
Katika kanda mpya iliyotolewa na kundi hilo, kiongozi huyo, amesema kuwa wasichana hao waliweza kusilimu katika kipindi cha wiki nne zilizopita tangu watekwe nyara.
Kanda hiyo inaonyesha zaidi ya wanawake miamoja wakiwa wamevalia hijabu na kuswali. Abubaka Shekau anasema kuwa wanawake hao ni wasichana waliotekwa nyara na kundi hilo

1. Je, ni kweli wasichana hao wamesilimu kwa hiari yao?
2. Au ndio ile dhana ya dini ya ncha ya upanga imerudi!?

Hilo swali la kwanza umeuliza kichwa chako kikiwa kimetengana na mwili? Hiari gani chini ya mateso na vitisho vya kuuawa? We uko wapii?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom