Habari wadau
Muda si mrefu nilikuwa natazama documentary ya familia ya beckham Netfilx inayokimbiza sana huko netflix nikajifunza vitu kuhusu ndoa za kisasa
1. Wanandoa mnapaswa mfanane.. yaani mwanamke awe female version ya huyo mwanaume and vice versa. Hii namaanisha mwenza anapaswa awe na purpose ambayo kama angezaliwa jinsia nyingine angefanya vitu kama mwenza wake.
Beckham na victoria life purpose zao zimewafanya wadumu na wawe na ndoa tamu sana.. ndio maana netflix wamewalipa mabilioni. Na kutengeneza documentary ya ndoa yao.
2. Ndoa nzuri ni ile inayofungwa wanandoa mkiwa na bado wadogoo. Safari ya ukuaji wenu iwakute kwenye ndoa. Ndoa inapaswa ifungwe ujanani sio kwenye utu uzima.. beckham na victoria walifunga ndoa wakiwa 23s... phase zote zilizofata za maisha wamepitia pamoja kama wanandoa.
3. Ndoa haipaswi kuwa na long distance relationship. Wanandoa mnapaswa muishi nyumba moja siku zote. Isipokuwa dharura za safari za muda mfupi
4. Ndoa ni watoto. Watoto wanaunganisha sana wanandoa.. na ni vizuri hao watoto wakazaliwa mapema.. ili wakuwe na nyinyi wazazi.. early 30s. Iwakute mmeshamaliza kuzaa watoto wote mbaki kupambana na malezi tu. Pia mwanamke akiwa 20s uzazi unakuwa mwepesi sana.. mimba anabeba kwa urahisi na kuzaa anazaa kwa wepesi. Kuchelewa kuzaa sio sahihi.
5. Pesa ifate pesa. Wanandoa pande zote wawe wanatoia familia zinazofanana maisha.. na pia kwenye harakati za utafutaji mfanane fanane.. beckham akiwa superstar mancherster utd late 90s.. alifunga ndoa na victoria beckham na yeye akiwa muimbaji aliyefanikiwa kwenye kundi la spice girls...kila mtu alikuwa na pesa zake na maisha yake yaliyonyooka hakuna kusema mtu mmoja anamnyonya mwenzake..
Kwa wenye account netflix na wanaopenda documentary ni vizuri tukaitazama hiyo documentary netflix.
Nimejifunza Ndoa inapaswa iwe furaha.. sio vita
Nimeweka na video ya kina beckham ya mwaka 2023 wakiwa wanacheza wimbo ule ule walioucheza siku ya harusi yao mwaka 1999.. miaka 25 iliyopita
Muda si mrefu nilikuwa natazama documentary ya familia ya beckham Netfilx inayokimbiza sana huko netflix nikajifunza vitu kuhusu ndoa za kisasa
1. Wanandoa mnapaswa mfanane.. yaani mwanamke awe female version ya huyo mwanaume and vice versa. Hii namaanisha mwenza anapaswa awe na purpose ambayo kama angezaliwa jinsia nyingine angefanya vitu kama mwenza wake.
Beckham na victoria life purpose zao zimewafanya wadumu na wawe na ndoa tamu sana.. ndio maana netflix wamewalipa mabilioni. Na kutengeneza documentary ya ndoa yao.
2. Ndoa nzuri ni ile inayofungwa wanandoa mkiwa na bado wadogoo. Safari ya ukuaji wenu iwakute kwenye ndoa. Ndoa inapaswa ifungwe ujanani sio kwenye utu uzima.. beckham na victoria walifunga ndoa wakiwa 23s... phase zote zilizofata za maisha wamepitia pamoja kama wanandoa.
3. Ndoa haipaswi kuwa na long distance relationship. Wanandoa mnapaswa muishi nyumba moja siku zote. Isipokuwa dharura za safari za muda mfupi
4. Ndoa ni watoto. Watoto wanaunganisha sana wanandoa.. na ni vizuri hao watoto wakazaliwa mapema.. ili wakuwe na nyinyi wazazi.. early 30s. Iwakute mmeshamaliza kuzaa watoto wote mbaki kupambana na malezi tu. Pia mwanamke akiwa 20s uzazi unakuwa mwepesi sana.. mimba anabeba kwa urahisi na kuzaa anazaa kwa wepesi. Kuchelewa kuzaa sio sahihi.
5. Pesa ifate pesa. Wanandoa pande zote wawe wanatoia familia zinazofanana maisha.. na pia kwenye harakati za utafutaji mfanane fanane.. beckham akiwa superstar mancherster utd late 90s.. alifunga ndoa na victoria beckham na yeye akiwa muimbaji aliyefanikiwa kwenye kundi la spice girls...kila mtu alikuwa na pesa zake na maisha yake yaliyonyooka hakuna kusema mtu mmoja anamnyonya mwenzake..
Kwa wenye account netflix na wanaopenda documentary ni vizuri tukaitazama hiyo documentary netflix.
Nimejifunza Ndoa inapaswa iwe furaha.. sio vita
Nimeweka na video ya kina beckham ya mwaka 2023 wakiwa wanacheza wimbo ule ule walioucheza siku ya harusi yao mwaka 1999.. miaka 25 iliyopita