Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 62,090
- 156,480
aisee
shuleni... ukimsalimu mwalimu good morning atajibu nn??Waweza jumpa mtu yeyote shkamoo japo ktk jamii zetu zaidi ni kwa wakubwa. Pia sidhani kama neno shkamoo lina maana kwa kingireza
Kwiooo wakee
Shikamoo (kwa?)Hiyo ni salam iliyotokana na kiharabu..
Kwa kiinglish, its just, Good morning (kwa asubuhi), Good afternoon (kwa mchana) na Good evening ( Kwa Jioni na usiku)
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa mbona kibongo bongo ukimsalimia mzee wako au mtu alokuzidi umri kwa salam hizo ulizotaja ataona umemkosea heshimaHiyo ni salam iliyotokana na kiharabu..
Kwa kiinglish, its just, Good morning (kwa asubuhi), Good afternoon (kwa mchana) na Good evening ( Kwa Jioni na usiku)
Sent using Jamii Forums mobile app