Deejay nasmile
JF-Expert Member
- Nov 8, 2011
- 5,759
- 5,287
Nijuavyo mimi ni neno la kumpa heshma mtu aliyekuzidi umri.Sasa maswali yangu ni
1.Ni kuanzia tofauti ya miaka mingapi ndo unaweza kumpa mtu neno hili.
2.Na pia kwa kizungu tutasemaje?
1.Ni kuanzia tofauti ya miaka mingapi ndo unaweza kumpa mtu neno hili.
2.Na pia kwa kizungu tutasemaje?