Msaada wa kujua maana ya neno 'Mshua'

Dakxir

Member
Jan 20, 2018
44
97
Wana JamiiForums naomba msaada wa kujua nini maana ya neno MSHUA. Wakati gani hutumika, mazingira gani husika, jinsia gani hutumia na ni muhusika ni nani hasa anapaswa kuitwa MSHUA.

Hovi karibuni nimekuwa naliskia sana hili neno MSHUA haswa napokutana na jamii tofauti hata pale unapokutana na mtu kwa mara ya kwanza 😳😳utashangaa linatangulia neno MSHUA. Kwanini MSHUA?

Nakuwa nashangaa 👺👺👺hasa napoitwa MSHUA. Kwa umri nina miaka 28, mpaka najiuliza au nimekuwa kibabu👴👴👴 kwenye muonekano wa macho ya watu.

Naudhika na hili neno MSHUA😣😣😣😣.

Msaada niondokane na hii stress ya hili neno MSHUA🙇🙇✍️✍️
 
Wana jamiiforum naomba msaada wa kujua nini maana ya neno MSHUA. Wakati gani hutumika, mazingira gani husika,jinsia gani hutumia na ni muhusika ni nani hasa anapaswa kuitwa MSHUA.hivi karibuni nimekuwa naliskia sana hili neno MSHUA haswa napokutana na jamii tofauti hata pale unapokutana na mtu kwa mara ya kwanza 😳😳utashangaa linatangulia neno MSHUA. Kwanini MSHUA?? Nakuwa nashangaa 👺👺👺hasa napoitwa MSHUA.. kwa umri nina miaka 28..mpaka najiuliza au nimekuwa kibabu👴👴👴 kwenye muonekano wa macho ya watu.naudhika na hili neno MSHUA😣😣😣😣..msaada niondokane na hii stress ya hili neno MSHUA🙇🙇✍️✍️
vijana kwa vijana wanaweza kuitana mshua

mtoto anaweza kumuita baba yake mshua, lakini sio wakati anaongea na baba yake...yaani kwenye mazungumzo ya vijana kwa vijana
 
Wana jamiiforum naomba msaada wa kujua nini maana ya neno MSHUA. Wakati gani hutumika, mazingira gani husika,jinsia gani hutumia na ni muhusika ni nani hasa anapaswa kuitwa MSHUA.hivi karibuni nimekuwa naliskia sana hili neno MSHUA haswa napokutana na jamii tofauti hata pale unapokutana na mtu kwa mara ya kwanza utashangaa linatangulia neno MSHUA. Kwanini MSHUA?? Nakuwa nashangaa hasa napoitwa MSHUA.. kwa umri nina miaka 28..mpaka najiuliza au nimekuwa kibabu kwenye muonekano wa macho ya watu.naudhika na hili neno MSHUA..msaada niondokane na hii stress ya hili neno MSHUA

Niaje mshua hauna buku apo
 
Naudhika na hili neno MSHUA😣😣😣😣.

Msaada niondokane na hii stress ya hili neno MSHUA🙇🙇✍️✍️
Mtoto wa Kiume punguza Emoj kwenye maandishi yako.

MSHUA ni msemo tu wa Mtaani, ambao vijana wa kiume huitana. Kama hutaki kuitwa Mshua basi waambie wanaokuita wasikuite.

YAJUE YA KUZINGATIA, ili uache kuwa na stress na mambo madogo kama hayo.

Focus na vitu vya msingi kwenye maisha yako. Automatic utaacha kukasirika kwa vitu vidogo.

Be a Man, Stay Stoic.
 
Mtoto wa Kiume punguza Emoj kwenye maandishi yako.

MSHUA ni msemo tu wa Mtaani, ambao vijana wa kiume huitana. Kama hutaki kuitwa Mshua basi waambie wanaokuita wasikuite.

YAJUE YA KUZINGATIA, ili uache kuwa na stress na mambo madogo kama hayo.

Focus na vitu vya msingi kwenye maisha yako. Automatic utaacha kukasirika kwa vitu vidogo.

Be a Man, Stay Stoic.
Ahsante sana
 
Mshua imetokana na M-sure,
sure ni neno la kiingereza lenye maana ya yenye uhakika isiyo na mawaa.....kwahiyo inaonekana wewe ni mtu asiye mbabishaji, yaani boss , tajiri.
hunaga mamluki, hauna mbambamba, ukifa hauozi, na ukioza haunuki !
 
Mshua imetokana na M-sure,
sure ni neno la kiingereza lenye maana ya yenye uhakika isiyo na mawaa.....kwahiyo inaonekana wewe ni mtu asiye mbabishaji, yaani boss , tajiri.
hunaga mamluki, hauna mbambamba, ukifa hauozi, na ukioza haunuki !
Mhhh😂😂😂 babalevo
 
Back
Top Bottom