Makubwa haya mimi ningemuomba Maggid atuletee kipande cha hotuba ya Mandela aliposema hivyo!.. maanake haiingii akilini kabisa. I can bet Mandela hakuwahi kusema hivyo....falsafa yenye walakini... yeye kachagua mti mmoja, aliotaka kuuona na akaamua kwingine kuna msitu, aliotaka yeye uwe!!!
in history we all have shrubs, bushes, forests and trees... no tall nor short trees...
The question here is what defines a tree?
Thanks mkuu...Makubwa haya mimi ningemuomba Maggid atuletee kipande cha hotuba ya Mandela aliposema hivyo!.. maanake haiingii akilini kabisa. I can bet Mandela hakuwahi kusema hivyo....
FMES, Hata kama mtu mmoja hawezi kuongoza kwani mti mrefu ndio huongoza msitu? Au maana yake nzuri ingekuwa kwamba Dr.Slaa pekee si msitu ni miongozi mwa wananchi (msitu) hivyo kumwonda yeye haina maana umeuvunja msitu...
Mi sijaona tall tree wala jungle katika context hii Tanzania. Si chama twawala wala upinzani.
Those who can lead do not, those who do cannot.
Kuna mfano wa chama kisichokuwa na nguvu ya makada. Wakati John Garang wa SPLM alipouawa kwa ajali ya ndege, hakuna ndani ya SPLM aliyekuwa na hakika ya nini kifanyike. Kwamba ni mke na mtoto wa John Garang waliosimama mbele ya kamera za waandishi wa kimataifa kujaribu kuelekeza nini John Garang angependa kifanyike kilidhihirisha udhaifu wa SPLM. Kwamba SPLM ni John Garang na kinyume chake. SPLM ilikuwa ni chama mtu. Na hilo ni Neno La Leo.
Majjid Mjengwa- Nimekuwa nikifatilia post zako nyingi hapa JF lakini unaonekana kutoa post zako zikiionesha kuwa una mission flani you need to accomplish, sitaki kukukatisha tamaa juu ya mission yako lakini style unayoitumia haijificchi kwani unapo andika kuhusu jambo flani jaribu to PUT ALL FACTORS IN PERSPECTIVE kwani umekuwa ukilazimisha watu waamini unacho amini bila kufanya analysis ya kina na inayohitaji kupata facts zilizojaa hoja zilizojitosheleza.
Katika kuonesha huo upungufu wako mfano ulio utoa wa SPLM na JOHN GARANG sio hai kwani JOHN GARANG alikuwa na wasaidizi wengi sana na ambao walikuwa mstari wa mbele kuendeleza mapambano ya kijeshi na GARANG alikuwa symbol ya movement na kuwakilisha movement nje ya nchi na kisiasa zaidi, hata mazungumzo yaliyokuwa yanafanyika kuleta amani SUDAN YA KUSINI hayakuwa yanawakilishwa na JOHN GARANG PEKEE BALI JOPO LA wanaharakati kutoka SUDAN YA KUSINI, na hata baada ya Kifo cha John Garang hakuwa tabu kupata mlithi wake ambae ni SALVA KIIR, na akina Dr. Ann Itto, Gen. Dominic Dim Deng na hawa hapa chini ndo makamanda wa SPLA wanaoendeleza mapambano mpaka leo hii.
Current leaders of the Sudan People's Liberation Army:
Hivyo sijakuelewa ulikuwwa na maana gani kutoa mfano huo, inawezekana huna facts za kutosha au una INSULT OUR INTELLIGENCY!
- Gen. Salva Kiir Mayardit, Commander-in-Chief of SPLA
- Lt. Gen. Paulino Matip Nhial, Deputy Commander-in-Chief of SPLA
- Lt. Lt Gen. Nhial Deng Nhial, Minister for SPLA Affairs
- Lt Gen. James Hoth, Chief of General Staff
Na kwa Taarifa yako SALVA KIR amefanikiwa zaidi kuliko hata JOHN GARANG kwani muda si mrefu SUDAN YA KUSIN WATAPIGA KURA YA MAONI ITAKAYOAMUA HATMA YAO YA KUUNDA JAMHURI INAYO JITEGEMEA YA SUDAN YA KUSINI. Nadhani ulihitaji kufanya reseach kidogo tu kabla ya kutaka kuwalisha watu uongo ambao haujazingatia all facts na mfano usiokuwa hai.
Ningependa sana uwe unazingatia facts sio kuchakachua mifano ili tu uweze kuhalalisha unachotaka kuwasilisha, kwa hizo facts hapo juu ningekuomba uwe muungwani kwa kutuomba radhi au ku recycle your post.
Natanguliza shukrani zangu kwa kutujali.
Omarilyas said:Here is the scenario: "UKOMBOZI" unafanikiwa, Chochote kinatokea kwa Rais Slaa, Makamo wake hakuna anayetakiwa kumjua hadi sasa zaidi ya jina lake na kuwa anatoka Zanzibar (we all know kuwa kama sio hitaji la katiba wala asingekuwepo)........So the real power will remain with who..........FREEMAN MBOWE, Chairman and Prime Minister (The guy learned a lot from Lowassa)....utamalizia mwenyewe kitakachofuata.......
Post kama hizi na hii ya Mjengwa huhitaji hata kupoteza muda wako kuwaelewesha .... inatakiwa tu tuandike rubbish...Kitu kimoja unasahau,
Kutokana na nguvu zilizokuwa zimemzunguka John Garang matokeo yake ni kuwa mara baada ya kufariki kwake na vision yake ya Sudan moja yenye usawa ikatupwa. Wakaibuka kina Salva Kiir na wenzake with ile hidden intention ambayo ni succession by any means...Nadhani kilichoendelea wakati na baada ya uchaguzi wao mwezi July unakijua....Kinachofuatia baada ya referendum dalili hazifichi......
This tells a lot about political organisations zenye kujinasibu na ajenda ya UKOMBOZI. Always with hidden agenda ambayo wenye nayo huwa tayari kujificha nyuma ya kinara wa "UKOMBOZI", huwa zinaibuka wazi mara baada ya kinara kuondoka ama kuondolewa na mara nyingi huwa na remifications zake ambazo huathiri wale ambao walipaswa kukombolewa. No wonder u see people like Museveni hawako tayari kuondoka ama kuondolewa kwani wanajua hayo ya hidden ajenda.
Inapokuja na "ukombozi" wa Tanzania, na kwa kuangalia propaganda zinazoendeshwa kumzunguka KINARA Slaa pekee ni kuwa wenye kuendesha UKOMBOZI huo wanajua kuwa ukifunua zaidi ya Dr Slaa na ajenda ya ukombozi utakuta mengi yasiyo na sura za kuvuti kwa wale wanaopaswa kukombolewa....
Here is the scenario: "UKOMBOZI" unafanikiwa, Chochote kinatokea kwa Rais Slaa, Makamo wake hakuna anayetakiwa kumjua hadi sasa zaidi ya jina lake na kuwa anatoka Zanzibar (we all know kuwa kama sio hitaji la katiba wala asingekuwepo)........So the real power will remain with who..........FREEMAN MBOWE, Chairman and Prime Minister (The guy learned a lot from Lowassa)....utamalizia mwenyewe kitakachofuata.......
Just like in Zanzibar with Maalim as Pragmatic and bridge builder...but u know who will fill his position if anything happen???? Will the reconciliation agenda have chance to survive or IT WILL BE OUR TURN TO SUPPRESS and EAT ENOUGH?? Well, atleast CUF have more developed institutions and party discipline.
Kitu kimoja unasahau,
Kutokana na nguvu zilizokuwa zimemzunguka John Garang matokeo yake ni kuwa mara baada ya kufariki kwake na vision yake ya Sudan moja yenye usawa ikatupwa. Wakaibuka kina Salva Kiir na wenzake with ile hidden intention ambayo ni succession by any means...Nadhani kilichoendelea wakati na baada ya uchaguzi wao mwezi July unakijua....Kinachofuatia baada ya referendum dalili hazifichi......
This tells a lot about political organisations zenye kujinasibu na ajenda ya UKOMBOZI. Always with hidden agenda ambayo wenye nayo huwa tayari kujificha nyuma ya kinara wa "UKOMBOZI", huwa zinaibuka wazi mara baada ya kinara kuondoka ama kuondolewa na mara nyingi huwa na remifications zake ambazo huathiri wale ambao walipaswa kukombolewa. No wonder u see people like Museveni hawako tayari kuondoka ama kuondolewa kwani wanajua hayo ya hidden ajenda.
Inapokuja na "ukombozi" wa Tanzania, na kwa kuangalia propaganda zinazoendeshwa kumzunguka KINARA Slaa pekee ni kuwa wenye kuendesha UKOMBOZI huo wanajua kuwa ukifunua zaidi ya Dr Slaa na ajenda ya ukombozi utakuta mengi yasiyo na sura za kuvuti kwa wale wanaopaswa kukombolewa....
Here is the scenario: "UKOMBOZI" unafanikiwa, Chochote kinatokea kwa Rais Slaa, Makamo wake hakuna anayetakiwa kumjua hadi sasa zaidi ya jina lake na kuwa anatoka Zanzibar (we all know kuwa kama sio hitaji la katiba wala asingekuwepo)........So the real power will remain with who..........FREEMAN MBOWE, Chairman and Prime Minister (The guy learned a lot from Lowassa)....utamalizia mwenyewe kitakachofuata.......
Just like in Zanzibar with Maalim as Pragmatic and bridge builder...but u know who will fill his position if anything happen???? Will the reconciliation agenda have chance to survive or IT WILL BE OUR TURN TO SUPPRESS and EAT ENOUGH?? Well, atleast CUF have more developed institutions and party discipline.
Maggid hazungumzii scenario ya "kupata ushindi",anazungumzia "baada ya ushindi" (soma kwa makini)...Kwamba Slaa atakufa halafu Mbowe ndiyo atakuwa kiongozi/mwenye nguvu/maamuzi.maggid, ahsante kwa mchango wako...ni kama kwenye mpira, huwezi kushinda ukitegemea mchezaji mmoja/wachache hodari..kushinda you need team work !
Makubwa haya mimi ningemuomba Maggid atuletee kipande cha hotuba ya Mandela aliposema hivyo!.. maanake haiingii akilini kabisa. I can bet Mandela hakuwahi kusema hivyo....
FMES, Hata kama mtu mmoja hawezi kuongoza kwani mti mrefu ndio huongoza msitu? Au maana yake nzuri ingekuwa kwamba Dr.Slaa pekee si msitu ni miongozi mwa wananchi (msitu) hivyo kumwonda yeye haina maana umeuvunja msitu...
FMES said:- Mti mmoja mrefu haufanyi msitu, ana maana Dr. Slaa peke yake hawezi kuongoza nchi anahitaji msaada ambao hana maana hana wengine, akiwa Mwanza Chadema nzima inakua huko, ndio maana ninasema waungane Wapinzani kama kweli nia yao ni moja yaani kutukomboa wa-Tanzania, na time ni sasa!
Es!
FMES,
..uliyoyasema ni kweli.
..watu kama Majjid hawakupaswa kuwajenga hofu wananchi.
..hapa Tanzania we have a chance to do what has been done in Kenya and Zimbabwe without shedding blood. we have an opportunity to form a government of national unity.
..hali inaelekea kwamba CCM watakuwa na majority bungeni, lakini CUF au Chadema have a shot at the Presidency.
..kwa misingi hiyo Raisi atakayetoka CUF au Chadema atalazimika kufanya kazi na wana CCM wasafi ktk serikali atakayounda.
..hiyo pia itakuwa fursa nzuri sana ya vyama vya siasa, haswa CCM, kujisaili na kujisahihisha.
FMES,
..uliyoyasema ni kweli.
..watu kama Majjid hawakupaswa kuwajenga hofu wananchi.
..hapa Tanzania we have a chance to do what has been done in Kenya and Zimbabwe without shedding blood. we have an opportunity to form a government of national unity.
..hali inaelekea kwamba CCM watakuwa na majority bungeni, lakini CUF au Chadema have a shot at the Presidency.
..kwa misingi hiyo Raisi atakayetoka CUF au Chadema atalazimika kufanya kazi na wana CCM wasafi ktk serikali atakayounda.
..hiyo pia itakuwa fursa nzuri sana ya vyama vya siasa, haswa CCM, kujisaili na kujisahihisha.
Na Maggid Mjengwa,
" One tall tree does not make a jungle"- Nelson Mandela.
Kuna mfano wa chama kisichokuwa na nguvu ya makada. Wakati John Garang wa SPLM alipouawa kwa ajali ya ndege, hakuna ndani ya SPLM aliyekuwa na hakika ya nini kifanyike. Kwamba ni mke na mtoto wa John Garang waliosimama mbele ya kamera za waandishi wa kimataifa kujaribu kuelekeza nini John Garang angependa kifanyike kilidhihirisha udhaifu wa SPLM. Kwamba SPLM ni John Garang na kinyume chake. SPLM ilikuwa ni chama mtu. Na hilo ni Neno La Leo.
Maggid,
Msamvu, Morogoro
Chama chenye makada wengi wenye kuielewa itikadi, malengo na shabaha ya chama, huwa hakimtegemei mtu mmoja katika kuwepo kwake. Hakimtegemei mtu mmoja katika kufanikisha ushindi wa chama. Hakimtegemei mtu mmoja katika kuhamasisha wanachama au umma.
jmushi1 said:Mh Joka Kuu,
unamaanisha Lipumba ana nafasi sawa na Dr Slaa when it comes to chances of winning presidential elections?Unaweza kutuwekea vigezo ulivyovitumia?Tafadhali mtuwekee data hapa kuhusiana na kampeni za urais coz sijaona wala sisikii lolote kuhusu Lipumba ambaye unadai both him and Slaa have a shot at the presidency?Ni vyema basi kama Lipumba na yeye anafanya vyema kwenye kampeni,basi mtuwekee taarifa ili tuweze kujadili fairly badala ya kuwa bias....Ili tuweze kusema wana nafasi sawa,ni vyema tukawa na vigezo madhubuti.