Easymutant
R I P
- Jun 3, 2010
- 2,564
- 1,129
Nitawaletea baadae imegoma kuattach...
Asante Rose kwa kuteleza huyu Sharobaro ni mtu gani maana kwa sisi tuliopitwa na mitaa tulikuwa hatuelewi.mbona kuna nying apa si za kisharobaro?
ni lugha tu za kimtaan za kawaida nyng ni za kisela zaid lakin si za ao wapaka poda...yaan kuna kiswahil cha kihun na kiswahili cha masharobaro/mabrazamen ao ambao wanaenda ulaya kwa kupitia tv..AKIONA MTU KASEMA DAMME KWENYE MOVIE BAS KESHO ANAYO ..ata mamake mzaz akimwita we john njo kula chakula tayar anajibu ... damme't....wanavaa km wapo majuuu,na swaga nyngne za majuuu...yes maan...yees bebb.....yees i wan popcon....:love:
rose kwa jinsi ulivyonichekesha kungekuwa na thanks hata kumi ningekugongea zotembona kuna nying apa si za kisharobaro?
ni lugha tu za kimtaan za kawaida nyng ni za kisela zaid lakin si za ao wapaka poda...yaan kuna kiswahil cha kihun na kiswahili cha masharobaro/mabrazamen ao ambao wanaenda ulaya kwa kupitia tv..AKIONA MTU KASEMA DAMME KWENYE MOVIE BAS KESHO ANAYO ..ata mamake mzaz akimwita we john njo kula chakula tayar anajibu ... damme't....wanavaa km wapo majuuu,na swaga nyngne za majuuu...yes maan...yees bebb.....yees i wan popcon....:love:
rose kwa jinsi ulivyonichekesha kungekuwa na thanks hata kumi ningekugongea zote
hivi hkuna masharobaro wa kike?