Payoneer Verification Document

Verification ni kwa ajili ya address?
Kama ni address jaribu kuwacheki vijana wa mjini wanatengeneza hizo utility bill fasta.
Kama huwezi lipa ili utengenezewe basi nenda bank husika urekebishe taarifa zako.
Zisomeke kwa mfumo huu;

KEROSINE BAL,
6 FOUR WAYS ROAD,NKUHUNGU
41XXX,
P.O.BOX 6788,
4144 DODOMA
Hizo taarifa zionekane. Address iwe inahusisha postal address sio P.O box pekee...
Good luck
 
Wengine wanaweza kuwa na njia tofauti na yangu, lakini kwa Payoneer hakikisha anwani uliyoandika kwenye website ya Payoneer na ile kwenye Bank Statement haina "P.O.Box" inapaswa iwe kwa mfano:

Michael Adam
Mbezi Salasala
Ilala
Dar es Salaam
Tanzania

Nenda uongee na Customer care wa benki yako wakupe process za kubadilisha, unaweza pia ukawaelezea jinsi unavyotaka bank statement yako ifanane kwenye upande wa Anwani na wanaweza kukusaidia. Mimi nilikaa nao na nikawaandikia jinsi inavyopaswa kuwa na wakanisaidia.
 
Verification ni kwa ajili ya address?
Kama ni address jaribu kuwacheki vijana wa mjini wanatengeneza hizo utility bill fasta.
Kama huwezi lipa ili utengenezewe basi nenda bank husika urekebishe taarifa zako.
Zisomeke kwa mfumo huu;

KEROSINE BAL,
6 FOUR WAYS ROAD,NKUHUNGU
41XXX,
P.O.BOX 6788,
4144 DODOMA
Hizo taarifa zionekane. Address iwe inahusisha postal address sio P.O box pekee...
Good luck
Asante sana, wakati nasubiri j4. Hao watoto wa mjini nawahitaji boss
 
Wengine wanaweza kuwa na njia tofauti na yangu, lakini kwa Payoneer hakikisha anwani uliyoandika kwenye website ya Payoneer na ile kwenye Bank Statement haina "P.O.Box" inapaswa iwe kwa mfano:

Michael Adam
Mbezi Salasala
Ilala
Dar es Salaam
Tanzania

Nenda uongee na Customer care wa benki yako wakupe process za kubadilisha, unaweza pia ukawaelezea jinsi unavyotaka bank statement yako ifanane kwenye upande wa Anwani na wanaweza kukusaidia. Mimi nilikaa nao na nikawaandikia jinsi inavyopaswa kuwa na wakanisaidia.
Asante boss. Ngoja nisubiri j4
 
Verification ni kwa ajili ya address?
Kama ni address jaribu kuwacheki vijana wa mjini wanatengeneza hizo utility bill fasta.
Kama huwezi lipa ili utengenezewe basi nenda bank husika urekebishe taarifa zako.
Zisomeke kwa mfumo huu;

KEROSINE BAL,
6 FOUR WAYS ROAD,NKUHUNGU
41XXX,
P.O.BOX 6788,
4144 DODOMA
Hizo taarifa zionekane. Address iwe inahusisha postal address sio P.O box pekee...
Good luck
Nawezaje kuwapata Vijana wa Mjini kwa ajili ya Utility bill ?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom