Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 62,818
- 105,615
Huyo alitakiwa abaki kwenye afya, huko kwingine atapuyanga sana
Hii inakuja kuwa wizara mbovu kuliko wizara zote na Ndugulile anakuja kupotea kwenye ramani ya watu waliodhaniwa wana akili ndani ya ccm.
Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app